Mitindo ya uongozi ya Hayati Magufuli, Makonda na Lissu imepitwa na wakati na ni hatari kwa maisha

Mitindo ya uongozi ya Hayati Magufuli, Makonda na Lissu imepitwa na wakati na ni hatari kwa maisha

Ukiniuliza kwa nini muziki wa reggae hauna vibe siku hizi jibu ni moja tu,dunia ya sasahivi hakuna ukoloni wala ubahuzi wa rangi.
Aina hiyo ya muziki ilikuwa kwa ajili ya ukombozi,sasa kama hakuna ubaguzi wala ukoloni unamuimbia nani.

Hawa niliowataja ingekuwakipindi cha kudai uhuru wangetufaa sana kuwafokea wakoloni,lakini kwa sasa dunia hatuwahitaji,unanifokeajemtanzania mwenzio,nchi sio ya baba yako hii,hii ni nchi yetu sote,big up kwaJakaya Kikwetena Freeman Mvowe miamba ya siasa nchini,hata ukiwatukana wao wanakuchekea tu na mkikutana anakupa mkono kukusalimia,hao ndio watoto wa mjini,wanaojua siasa za kizazi kipya,hawaboi hawapoi.

TAL,Makonda na JPM followers something to learn here.
Hizo sio siasabali harakati na mwisho wa wanaharakati huwa mbaya.

Nko na peter msechu studio tunarekodi wimbo
Msiache kionjo cha Ben Sanane kwenye kila ubeti
 
Ukiniuliza kwa nini muziki wa reggae hauna vibe siku hizi jibu ni moja tu,dunia ya sasahivi hakuna ukoloni wala ubahuzi wa rangi.
Aina hiyo ya muziki ilikuwa kwa ajili ya ukombozi,sasa kama hakuna ubaguzi wala ukoloni unamuimbia nani.

Hawa niliowataja ingekuwakipindi cha kudai uhuru wangetufaa sana kuwafokea wakoloni,lakini kwa sasa dunia hatuwahitaji,unanifokeajemtanzania mwenzio,nchi sio ya baba yako hii,hii ni nchi yetu sote,big up kwaJakaya Kikwetena Freeman Mvowe miamba ya siasa nchini,hata ukiwatukana wao wanakuchekea tu na mkikutana anakupa mkono kukusalimia,hao ndio watoto wa mjini,wanaojua siasa za kizazi kipya,hawaboi hawapoi.

TAL,Makonda na JPM followers something to learn here.
Hizo sio siasabali harakati na mwisho wa wanaharakati huwa mbaya.

Nko na peter msechu studio tunarekodi wimbo
Umeandika takataka
 
Nchi kama Tanzania inahitaji aina hiyo ya uongozi kupunguza ufisadi
Hiyo style ni very risky kwa wahuni wa nchii walivyo wakatili watakumaliza,tukia kula maisha utaacha watoto na mkeo wajuni watamuoa kabla hujaoza kaburini
 
Iwe roots ,ragga,sweet,whatever,reggae haina vibe siku hizi
Usiseme reggae haina vibe siku hizi, sema reggae haina vibe kwako siku hizi.

Mimi naenda concert ya Beres Hammond, sold out concert.

Hao watu tulionunua tiketi hatukubaliani na kauli yako.
 
Nchi kama Tanzania inahitaji aina hiyo ya uongozi kupunguza ufisadi
Hiyo style ni very risky kwa wahuni wa nchii walivyo wakatili watakumaliza,tukia kula maisha utaacha watoto na mkeo wajuni watamuoa kabla hujaoza kaburini
 
Ukiniuliza kwa nini muziki wa reggae hauna vibe siku hizi jibu ni moja tu,dunia ya sasahivi hakuna ukoloni wala ubahuzi wa rangi.
Aina hiyo ya muziki ilikuwa kwa ajili ya ukombozi,sasa kama hakuna ubaguzi wala ukoloni unamuimbia nani.

Hawa niliowataja ingekuwakipindi cha kudai uhuru wangetufaa sana kuwafokea wakoloni,lakini kwa sasa dunia hatuwahitaji,unanifokeajemtanzania mwenzio,nchi sio ya baba yako hii,hii ni nchi yetu sote,big up kwaJakaya Kikwetena Freeman Mvowe miamba ya siasa nchini,hata ukiwatukana wao wanakuchekea tu na mkikutana anakupa mkono kukusalimia,hao ndio watoto wa mjini,wanaojua siasa za kizazi kipya,hawaboi hawapoi.

TAL,Makonda na JPM followers something to learn here.
Hizo sio siasabali harakati na mwisho wa wanaharakati huwa mbaya.

Nko na peter msechu studio tunarekodi wimbo
Maybe wako so agressive lakin ndio style ambayo inahatijika kwa sasa ili kuivusha nchi mahali ilipo, else tutabali hapa hapa, na malaliko yale yale, miaka nenda rudi
 
Yani wewe unasikiliza muziki wa reggae ya kizamani halafu unalaumu muziki wa reggae hauna vibe siku hizi?

Unajua muziki wa reggae una sub genres zipi?
Hamjui yule mcanada martin na goma lake la rock me
 
Yani wewe unasikiliza muziki wa reggae ya kizamani halafu unalaumu muziki wa reggae hauna vibe siku hizi?

Unajua muziki wa reggae una sub genres zipi?
Ameanza hoja yake na mfano dhaifu sana. Tukiachana na ukweli kuwa huenda reggae haina vibe kwake binafsi, jambo lingine la kumkumbusha ni kuwa bado watu wengi wanahitaji ukombozi wa kifikra.
 
IMG-20240724-WA0101.jpg
 
Ukiniuliza kwa nini muziki wa Reggae hauna vibe siku hizi jibu ni moja tu, dunia ya sasa hivi hakuna ukoloni wala ubahuzi wa rangi.

Aina hiyo ya muziki ilikuwa kwa ajili ya ukombozi, sasa kama hakuna ubaguzi wala ukoloni unamuimbia nani.

Hawa niliowataja ingekuwakipindi cha kudai uhuru wangetufaa sana kuwafokea wakoloni,lakini kwa sasa dunia hatuwahitaji, unanifokeaje Mtanzania mwenzio, nchi sio ya baba yako hii. Hii ni nchi yetu sote, big up kwa Jakaya Kikwetena Freeman Mbowe, miamba ya siasa nchini, hata ukiwatukana wao wanakuchekea tu na mkikutana anakupa mkono kukusalimia.

Hao ndio watoto wa mjini wanaojua siasa za kizazi kipya, hawaboi hawapoi.

TAL, Makonda na JPM followers something to learn here. Hizo sio siasabali harakati na mwisho wa wanaharakati huwa mbaya.

Niko na Peter Msechu studio tunarekodi wimbo.
Wewe ndio umepitwa na wakati
 
Back
Top Bottom