Evax
Ningeshauri ueleze ni jinsi gani unatarajia kulitumia, katika mazingira gani, matarajio ya aina ya mizigo, concern kuhusu fuel consumption, whether you need 4WD or not, petrol engine or Diesel etc. Itakuwa rahisi kupata ushauri na wenye uhakika. Thats my advise
Exav, pajero io nsio nzuri sana kwani hata mitsubish japan walisema zilikosewa na sasa hawazitengenezi tena so spear parts zitakuwa shida sana, usione hao walizo nazo sema watafanyaje walishaingia mkenge.Mi nashauri sana kama unaweza pata Suzuki Vitara (Escudo) ni nzuri, cc zake ni kama 1800 hivi na fuel consumption ni minimal.
Exav, pajero io nsio nzuri sana kwani hata mitsubish japan walisema zilikosewa na sasa hawazitengenezi tena so spear parts zitakuwa shida sana, usione hao walizo nazo sema watafanyaje walishaingia mkenge.Mi nashauri sana kama unaweza pata Suzuki Vitara (Escudo) ni nzuri, cc zake ni kama 1800 hivi na fuel consumption ni minimal.
Exav na Tonge , Mimi nilinunua hiyo gari 2007 mpaka leo ni nzuri sijagusa chocho zaidi ya Pancha tu na Matairi yote yaleyale toka Japan na Spare tyre sijaitumia bado ,wengine nasikia wananiambia gari yako vipi haikusumbui nawaambia hawaamini , lakini mimi kwa upeo wangu Japan kuna magari mengi tu aina ya hiyo GDI Jipinde nunua gari isiyozidi Km 40,000-50,000 itakuwa bado bomba lakini ukinunua 80,000- 100,000 baada ya muda itakuwa shida tusinunue magari yaliyotembea sana , na spare zipo nyingi maana gari hizo sasa zipo nyingi ,ila zinaibiwa power window sana , Otherwise ni gari nzuri na Sasa nimemuachia Wife na bado iko bomba saana tuu!
Exav na Tonge , Mimi nilinunua hiyo gari 2007 mpaka leo ni nzuri sijagusa chocho zaidi ya Pancha tu na Matairi yote yaleyale toka Japan na Spare tyre sijaitumia bado ,wengine nasikia wananiambia gari yako vipi haikusumbui nawaambia hawaamini , lakini mimi kwa upeo wangu Japan kuna magari mengi tu aina ya hiyo GDI Jipinde nunua gari isiyozidi Km 40,000-50,000 itakuwa bado bomba lakini ukinunua 80,000- 100,000 baada ya muda itakuwa shida tusinunue magari yaliyotembea sana , na spare zipo nyingi maana gari hizo sasa zipo nyingi ,ila zinaibiwa power window sana , Otherwise ni gari nzuri na Sasa nimemuachia Wife na bado iko bomba saana tuu!
Exav na Tonge , Mimi nilinunua hiyo gari 2007 mpaka leo ni nzuri sijagusa chocho zaidi ya Pancha tu na Matairi yote yaleyale toka Japan na Spare tyre sijaitumia bado ,wengine nasikia wananiambia gari yako vipi haikusumbui nawaambia hawaamini , lakini mimi kwa upeo wangu Japan kuna magari mengi tu aina ya hiyo GDI Jipinde nunua gari isiyozidi Km 40,000-50,000 itakuwa bado bomba lakini ukinunua 80,000- 100,000 baada ya muda itakuwa shida tusinunue magari yaliyotembea sana , na spare zipo nyingi maana gari hizo sasa zipo nyingi ,ila zinaibiwa power window sana , Otherwise ni gari nzuri na Sasa nimemuachia Wife na bado iko bomba saana tuu!
I dont advise you to go for this. I had one but due to its intricases, I sold it out. Hizi gari kwa umbo ni nzuri na confortable hata kuendesha japo hazina speed sana, lakini zina mfumo wa umeme ambao mafundi wengi hapa bongo hawaujui. Hii gari ikifa kitu chochote cha umeme, unaweza kupaki uani. Mwaka jana zilikuwa zina uzwa kati ya TZS 12 - 15 mil, na hata ukiagiza Japan utalipa wastani wa kiasi hicho hicho hata leo, ila kutokana na ubovu huo hapa bongo wamezistukia na zimeshuka thamani mpaka TZS 7 mil (unaenda show room unalipa unaondoka nayo).
Really, the final decision is your but I dont advise.
fyi: Ukiagiza gari jiapan, Kama imezidi 100,000kms. Lazima ifanyiwe full overhaul. yaani unawekewa kila kitu kipya. did you know that?
Nope was not cause my policy is not to go for M/v beyond 50,000 km and way engine overhaul ? and also not a solution for such 100,000km old M/v because so many parts of it are worn out ie shock absorber , A/c ,body and so on ,
What is engine overhaul
I'm no mechanic, but from what I know , a complete engine overhaul involves replacing piston rings, reboring or honning cylinder walls, replacing pistons (if the cylinders are rebored), replacing main and connecting rod bearings, regriding the crankshaft to restore the journals (if needed), and restoring the valves. Rebuilding parts like the starter, distributor, carburetor and alternator while the engine is being overhauled is common to ensure that the entire runs like new but isn't always necessary.
Do you real believe the agents whose job is to sell second hand M/vehicles will do all these for you my dear ? forget it , may be if you buy a car from Dubai where you will be a third owner !
I dont advise you to go for this. I had one but due to its intricases, I sold it out. Hizi gari kwa umbo ni nzuri na confortable hata kuendesha japo hazina speed sana, lakini zina mfumo wa umeme ambao mafundi wengi hapa bongo hawaujui. Hii gari ikifa kitu chochote cha umeme, unaweza kupaki uani. Mwaka jana zilikuwa zina uzwa kati ya TZS 12 - 15 mil, na hata ukiagiza Japan utalipa wastani wa kiasi hicho hicho hata leo, ila kutokana na ubovu huo hapa bongo wamezistukia na zimeshuka thamani mpaka TZS 7 mil (unaenda show room unalipa unaondoka nayo).
Really, the final decision is your but I dont advise.
Pajero iO si nzuri sana; Na kwa mji weu wa Dar ulivyo na foleni nakushauri uchuke hata Toyota duet; cc 900! aaah na huu mfumuko wa bei za mafuta wewe utapeta tu! Na mizigo midogo utabeba tu bila shida; Ila kama huko Morogoro ni moja ya kazi zako; Fikiria gari kubwa Mzee; kwa usalama wa barabarani si vizuri hata kidogo kutembelea hivi vigari vidogo.
Maskini, huwezi amini mimi nina starlet sio new model ila ni ile ya nyuma kidogo, ni ya 1999.Nimesafiri nayo kwenda mbeya, mwanza na arusha mara kibao, Kaka hii gari ni save barabara kubwa kuliko escudo na pajero io.Kwanza inakaa barabarani ikikimbia inakuwa nzito kama benzi ila escudo na pajero ziko juu hupea kunoma na unaweza kuacha njia ukikumbwa na upepo wa basi kubwa au roli na pia ukikata kona kali kwa haraka zinahama barabarani, kwa duet sijawahi endesha ila ukiwa na starlet funga spoti rim na tyre pana kitu inatulia mbaya, shida ni huo udogo tu ila iko poa rodini.