Habari za leo wana JF!
Nina nia ya kununua gari dogo la kunisaidia kwenye mizunguko yangu ya maisha. Nafikiria kununua Mitusbishi Pajero iO (GDI), lakini kusema ukweli sifahamu uzuri na ubaya wa aina hii ya magari. Kama kuna anayefahamu/wanaofahamu naomba a/wa-nisaidie, sitaki kukurupuka. Unaweza pia kurecommend aina nyingine unayoimani kwa ubora.
Natanguliza shukrani za dhati sana.
Nina nia ya kununua gari dogo la kunisaidia kwenye mizunguko yangu ya maisha. Nafikiria kununua Mitusbishi Pajero iO (GDI), lakini kusema ukweli sifahamu uzuri na ubaya wa aina hii ya magari. Kama kuna anayefahamu/wanaofahamu naomba a/wa-nisaidie, sitaki kukurupuka. Unaweza pia kurecommend aina nyingine unayoimani kwa ubora.
Natanguliza shukrani za dhati sana.