Kuna mtu kaniita mjinga humu nilipoifananisha CCM ya Magufuli na Republican ya Trump. Kuna vilaza humu hawasomi habari za kimataifa wamebaki tu kumsema Magufuli
Hujaelewa bora ukae kimya hutaoneka mjinga kakaUSIPOTOSHE!.....alipiga kura kuunga mkono wademokratik,, na sio usaliti.
Duh! tweet ya mtuhumiwa.............Nimepotosha wapi? Soma hiyo tweet ya D.Trump Jr.
Kaitwa msaliti kila conservative talk show inamsulubu. Kaa kimya kama hujui mambo hutaitwa mjingaUS sio kama nchi za kusini mwa jangwa la sahara ambako ukiwa na mawazo tofauti ni msaliti..
Wapi sijaelewa? ameandika kichina?Hujaelewa bora ukae kimya hutaoneka mjinga kaka
We ni mjinga! Umesoma hyo tweet ya trump?USIPOTOSHE!.....alipiga kura kuunga mkono wademokratik,, na sio usaliti.
Pia wewe acha kujidai unajua....Kaitwa msaliti kila conservative talk show inamsulubu. Kaa kimya kama hujui mambo hutaitwa mjinga
Huyo mtuhumiwa yupo kusini mwa jangwa la sahara?Duh! tweet ya mtuhumiwa.............
Duh! tweet ya mtuhumiwa.............
Rudia wewe kusoma nilichoandika.. na wewe hujui lolote
Hujaelewa aliposema mitt anaitwa msaliti. Kama siyo msaliti kwanini wanamuandama? Jiulize haitakiwi degree haka kama una elimu kama ya Msukuma utajua anashambuliwa kwaajili ya kukisaliti chama chake. Trump anataka Mitt afukuzwe kwenye chama sasa wewe kama kweli umelewa tuambie sababu za Trump kuomba Mitt afukuzwe chamaniWapi sijaelewa? ameandika kichina?
Romney anatokea jimbo lenye watu wenye msimamo wa kati, na anajua kwamba lazima awavutie ili aendelee kuwa SenatorMitt Romney ni republican Senator pekee aliyekuwa upande wa Democrats kutaka Raisi D.Trump awe ,, impeached”, sasa baada ya Seneti linaloongozwa na Republicans kukataa kumvua Uraisi D. Trump, wamemgeukia Mitt Romney na kutaka afukuzwe Uanachama GOP kwa Usaliti, ...
HIVI UNAJUA TRUMP SIO MWENYEKITI WA CHAMA?Hujaelewa aliposema mitt anaitwa msaliti. Kama siyo msaliti kwanini wanamuandama? Jiulize haitakiwi degree haka kama una elimu kama ya Msukuma utajua anashambuliwa kwaajili ya kukisaliti chama chake. Trump anataka Mitt afukuzwe kwenye chama sasa wewe kama kweli umelewa tuambie sababu za Trump kuomba Mitt afukuzwe chamani
Mkuu mada hujaielewa acha walioielewa wachangie. Unanipotezea muda tuPia wewe acha kujidai unajua....
Wewe unachunga muda hapa......Mkuu mada hujaielewa acha walioielewa wachangie. Unanipotezea muda tu