Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,054
- 4,604
Siyo kweli alisema wakati akitoa hotuba kwamba watu wa jimboni kwake wsmemtaka aungane na wenzake lakini imani yake ya dini imemfanya aendane nayo sababu ameaapa kusema ukweliRomney anatokea jimbo lenye watu wenye msimamo wa kati, na anajua kwamba lazima awavutie ili aendelee kuwa Senator