Nasubiri Mitt apigwe risasi 38.Hujaelewa aliposema mitt anaitwa msaliti. Kama siyo msaliti kwanini wanamuandama? Jiulize haitakiwi degree haka kama una elimu kama ya Msukuma utajua anashambuliwa kwaajili ya kukisaliti chama chake. Trump anataka Mitt afukuzwe kwenye chama sasa wewe kama kweli umelewa tuambie sababu za Trump kuomba Mitt afukuzwe chamani
US sio kama nchi za kusini mwa jangwa la sahara ambako ukiwa na mawazo tofauti ni msaliti..
sindio usariti??? Huo niusariti au ww usariti unaujua wakimapenzi!!!USIPOTOSHE!.....alipiga kura kuunga mkono wademokratik,, na sio usaliti.
Nadhani impeachment ilifanyika kwenye congress(democrat ni majority) kilichokuwa kinafanyika jana senate(republican ni majority) ni conviction.
USIPOTOSHE!.....alipiga kura kuunga mkono wademokratik,, na sio usaliti.
Acha kutia chumvi,be professional in reporting.Mitt Romney ni republican Senator pekee aliyekuwa upande wa Democrats kutaka Raisi D.Trump awe ,, impeached”, sasa baada ya Seneti linaloongozwa na Republicans kukataa kumvua Uraisi D. Trump, wamemgeukia Mitt Romney na kutaka afukuzwe Uanachama GOP kwa Usaliti, ...
Sijaona popote huyo "masaliti" alipotishiwa kuuawa.Mitt Romney ni republican Senator pekee aliyekuwa upande wa Democrats kutaka Raisi D.Trump awe ,, impeached”, sasa baada ya Seneti linaloongozwa na Republicans kukataa kumvua Uraisi D. Trump, wamemgeukia Mitt Romney na kutaka afukuzwe Uanachama GOP kwa Usaliti, ...
Sasa baba wa demokrasia hiyo ndio demokrasia ambayo wanatushupalia tuifuate?Mitt Romney ni republican Senator pekee aliyekuwa upande wa Democrats kutaka Raisi D.Trump awe ,, impeached”, sasa baada ya Seneti linaloongozwa na Republicans kukataa kumvua Uraisi D. Trump, wamemgeukia Mitt Romney na kutaka afukuzwe Uanachama GOP kwa Usaliti, ...
Labda amesoma lakini hakipandi, you never know 😅😄😃Nimepotosha wapi? Soma hiyo tweet ya D.Trump Jr.
Senate haina mamlaka ya kum impeach rais. Kazi hiyo ilishafanywa na wakina Pelosi. Maamuzi ya Senate ya kukataa kumvua urais hakubadilishi status yake ya kuwa alikuwa impeached. Donald Trump Jr ni domo kaya. Hana mamlaka yeyote kwenye chama cha Republican. Kingine ni kuwa mtu hahitaji kuwa mwanachama wa chama chochote ili awe Senator. Republicans wakimvua uanachama itakula kwao maana kwa miaka minne ijayo ataendelea kuwa Senator na bila shaka watahitaji kura yake katika masuala mengine. Mwisho ni kuwa Romney anaheshimiwa sana na Mormons wenzake na kwa kufanya alivyofanya ndio kabisa kawaloga maana amethibitisha kuwa wao ni watu wenye msimamo. Kwa hali iliyopo sasa hakuna Republican Utah anayejitambua ambae atadiriki kum challenge kwenye primaries za mwaka 2024. Na mwaka huo, hata kama Trump atashinda mwaka huu, atakuwa bata kilema.Mitt Romney ni republican Senator pekee aliyekuwa upande wa Democrats kutaka Raisi D.Trump awe ,, impeached”, sasa baada ya Seneti linaloongozwa na Republicans kukataa kumvua Uraisi D. Trump, wamemgeukia Mitt Romney na kutaka afukuzwe Uanachama GOP kwa Usaliti, ...
Wewe kweli ni mjinga.Tena kabisa.Hizo habari za kimataifa unazosoma bado huzielewi.Hata unachoandika hakieleweki.Kuna mtu kaniita mjinga humu nilipoifananisha CCM ya Magufuli na Republican ya Trump. Kuna vilaza humu hawasomi habari za kimataifa wamebaki tu kumsema Magufuli
Wewe jamaa ni mpumbavu kweli, unataka kulinganisha siasa za US Na huku Shithole kwetu?!Hujaelewa aliposema mitt anaitwa msaliti. Kama siyo msaliti kwanini wanamuandama? Jiulize haitakiwi degree haka kama una elimu kama ya Msukuma utajua anashambuliwa kwaajili ya kukisaliti chama chake. Trump anataka Mitt afukuzwe kwenye chama sasa wewe kama kweli umelewa tuambie sababu za Trump kuomba Mitt afukuzwe chamani
Ukiwa na njaa huwezi waza tofauti ya tumbo lako linataka nini...kweli.
..hawataki kuona UZALENDO na MSIMAMO wa Senator Mitt Romney.
..hili ni somo zuri kwa wabunge wa CCM kwamba wakati mwingine waweke maslahi ya TAIFA mbele, na kusimamia UKWELI.