Mitume hawakuvaa kanzu au kufuga ndevu kwa sababu ya Uislamu

Braza hii hoja pia nzuri sana... Naipigia lamination kabisa naitunza
 
Unaona ulivyokuwa zezeta. Itakuwa babu zako ndiyo walikuwa hawajui kunyoa nywele. Unazungumzia Yesu halafu unachanganya mara Africa kuwa primitive.
Kuna sehemu ziliendelea Africa huyo Yesu hajazaliwa.
Unajaza server kwa kuleta ubishi wa kizezeta ulete uthibitisho watu walikuwa hawanyoi. Yaani kunyoa umeona ni teknolojia kubwa akili yako ilivyo ndogo.
 
Umeongea Vizuri sana ila umeshindwa kuongea kwa pande zote Mbili..
Wote waislamu na wakristo wanafanya mambo ya ajabu tu..
 
Wagalatia wanajikuta wako smart na educated sana af kumbe hamna kitu, wanashindwa na vitu basic kabisa.

We mtu mzima anaamini kwenye ndevu za sheikh kuna majini 12, huo si ukichaa
Mimi ni Mgalatia na ndo mara ya kwanza kusikia kwako.
 
Jamaa katoa hoja kajibiwa hoja kabadilisha gia angani..
Ni shida sana
ILi uweze kuwa na Akili timamu lazima utoke upande wa dini maana itabdi uwe muongo ili uwezs kutetea hoja..
🤣🤣🤣
 
Mbona hueleweki? We si umezungumzia technolojia?
 
Kanzu sio vazi la kiislam ni vazi la kiarabu
Uchi wa mwanaume ni kuanzia magotini mpk kitovuni...!!!baada ya hapo hauko uchi
Uchi wa mwanamke ni kila eneo isipokua uso na vitanga vya mkono,vazi lisiwe jepesi na lenye kuonesha maungo mengine na liswe na rangi za kuvutia

Muislam wa kume akivaa hvyo anafanya ibada,(angalia watu wanaoenda hijja)ndo mavazi ya kiislam yanapaswa kia vile brooo
 
Kanzu ni vazi la maeneo ya joto jangwani ambako nchi nyingi za kiarabu zipo ni.vazi kinaruhusu upepo kuingia na joto kuwa dogs

Sasa mtu unakuta katinga kanzu eneo lina baridi ajabu mpaka unamhurumia kuwa huyu kweli kichwani hazimo
 
Hujitambui
 
Ogopa mtu kuongeza kwa dhana ,Ogopa mjinga kujifanya mjuaji ,Ogopa mtu kufanya ku Kugeneralize mambo kutokana na uono wake binafsi na sio uhalisia wa Jambo .

Waislamu sio Wagalatia mtu kujiamulia kila kitu chakipo kwenye kitabu ..

1. Hiyo ya kukata masofa umeitoa wapi mbona ngeni katika Uislamu una dalili ? haipo kwa waislamuwala katika kitabu

2.Kaburi kumwagia maji umetoka wapi ?

3.Kuvaa kiremba kosa mbona Waislamu wengi Tu hawavai na sio lazima ? ni dalili mbaya mtu kuwa na husuda mpaka katika mavazi ya mwenzako .

4. Namba unaushahidi nalo wakati namna ya kuswali ipo kwenye kitabu ,kisujudu ,kurukuu nk ? na suala la kutokuwa na viti wala mikeka unaushidi nalo na vipi nikukupa ushahidi wa kuwepo kwake enzi hizo ?
 
Uislam umeanza jana tu,hizo tamaduni za mavaz na kufuga ndevu zilikuwepo tangu enzi za wayahudi
 
Kanzu ni vazi la maeneo ya joto jangwani ambako nchi nyingi za kiarabu zipo ni.vazi kinaruhusu upepo kuingia na joto kuwa dogs

Sasa mtu unakuta katinga kanzu eneo lina baridi ajabu mpaka unamhurumia kuwa huyu kweli kichwani hazimo
Sasa ulivyo mjinga jangwani hujui usiku ni baridi hasa.Kwa hiyo usiku wanavaa nini?
Kama mchana wanavaa kanzu kwa sababu ya joto?
 
Mavazi ya hijja mlikopi kwa wahindu ambao walikuwepo kabla ya mwamedi
 
Haha..
Ongezea kovu kwa paji la uso.
Mwarabu swala 5 ni mweupe lakini hana alama yoyote usoni, ila Mmatumbi mweusi tiii ana bonge la kovu kwenye paji la uso anaita Sigida !!
 
Niongezee hapo na mimi,kipindi hicho hata nywele za sehemu za siri watu walikuwa hawanyoi ,sababu it was the way of life kwa kipindi hicho na hakuna mtu aliye muona mwezake mchafu ila kwa sasa mfumo wa maisha wa ni wa kustarabika ni lazima uishi kama dunia inavyoenda hivyo kunyoa nywele za sehemu za siri na makwapani ni usafi sababu that's how we the way people live.
 

Uislam ni dini ya uncivilized,savage peoples,hata mwaka wapo mwaka 1445 wachukulie jinsi walivyo na kuwahurumia tu,mental hawapo katika ulimwengu wa 2024.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…