Mitume na manabii wa kileo ni viumbe waliojaa, ghiliba, uroho ubinafsi na uchoyo uliopitiliza

Mitume na manabii wa kileo ni viumbe waliojaa, ghiliba, uroho ubinafsi na uchoyo uliopitiliza

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kama kuna watu whuni, wanyama katili na wenye rohombaya sana basi hawa ndugu wanaongoza.

Wao wanachojua ni mashindano yq kukusanya pesa tuu na kuzitumia kwenye mambo binafsi ya kifahari na kufuru ya pesa.

Wanashindana kuvaa mavazi ya bei ghali
Wanashindana kumiliki magari ya kifahari na ya gharama kubwa.

Wanashindana kuwa na mijumba ya kifahari na kila aina ya kitu cha gharama kubwa na cha thamani unachojua wewe. Mtaji wao mkubwa ni waumini na naamini fukara hohehahe wanaowaamini sana!

Kwenye makanisa yao hakuna huduma inatolewa bure.. Hata ile nakala ya fomu ya shilingi 50 au mia ya kuandika shida yako inauzwa si chini ya elfu 50... Na kila fomu ina viwango vya gharama kwa kila huduma utakayo.

Wanaotoa dau kubwa ndio hupewa kipaumbele cha kuonana na mtumishi.. Na mapato yao hayo hayatozwi kodi yoyote ya serikali. Huwezi hata siku moja ukute
Wametoa sehemu ya mapato yao kuhudumia yatima na wajane wasiojiweza.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga vituo vya afya kuwahudumia wasio na uwezo.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga shule na vituo vya huduma za kielimu kama msaada kwa wasiojiweza
Huwezi hata siku moja wakiwa na programu mbalimbali za Kusaidia makundi mbalimbali kwenye Jamii kama wafanyavyo kina Malisa G.J na Lions clubs kwenye nyanja za elimu, makazi, lishe, tiba na matukio ya kibinadamu ya dharura.

Ni wepesi mno wa kufarakanisha na kugombanisha familia, wanandoa, ndugu na jamaa.. Hasa kwa wale wasiopenda mambo yao na kuharibu kuwaelimisha waliokwisha tekwa!

Kukupa tuhuma za uchawi, uongo uzinzi nk kwa wenza wa wengine wao ni fasta sana.. Wameharibu ndoa nyingi na kufarakanisha ndugu wengi sana!

Hawa si watumishi wa kweli maana hawahubiri upendo, amani na mshikamano kwa vitendo
Hawa ni watu wa makafara ya kutisha,ibada za siri, washirikina wakubwa!

Ni wachafu na ni walafi wanaofanya mambo machafu na mabaya kizani..
Kuwanyesha waumini wao vitu vichafu kwao ni kawaida kabisa.

Maji yaliyochanganywa na maji yaliyooshea maiti;
Maji yaliyochanganywa na manii au uchafu uliotoka ukeni;
Maji yaliyooshea miguu au mikono ya nabii au mtume nknk

Ni wezi wakubwa!

Udongo uliochimbwa na scavator na kuusafirisha kwa roli kisha kuwauzia Watu kijiko shilingi elfu moja.. Huu ni zaidi ya wizi na utapeli wa kiwango kikubwa sana

Kuna mafuta ya upako, sabuni za upako, leso za upako.. Nknk vyote hivyo ni biashara kubwa isiyochajiwa kodi yoyote na serikali

Naendelea…
 
Sehemu ya pili
Vyanzo vya mapato
1. Maombi maalum kwa watu maalum (wanasiasa, matajiri, watu maarufu) hapa kila kichwa si chini ya milion kumi
2. Maombi maalum kwa wahitaji wengine.. Hapa dau la chini ni laki 5
3. Form za maombi ya huduma mbalimbali elfu 10 mpaka 50
4. Huduma mbalimbali.. Kiwango cha chini ni laki moja
5. Sadaka... Sarafu haziruhusiwi.. Kiwango cha chini 2000
6. Kumtunza mtumishi. Kiwango cha chini elfu 5
7. Mchango wa ujenzi wa kanisa..( cash, vifaa nguvu Kazi)
8. Mauzo ya vifaa vya upako (leso, udongo, mafuta, maji nguo za ndani nk)
9. Fungu la kumi
10. Zawadi kwa mtumishi, (gari, nyumba, vyakula nk)
Mapato yote hayo hayakatwi kodi yoyote.
Hawa viumbe ni wachoyo na ni wabinafsi wa kupitiliza.. Wana watumwa wao wasiowalipa chochote wanawaita watenda Kazi.. Hawa ndio Hufanya mauzo yote na kukusanya sadaka ama mapato yoyote
Hawa ndio Hufanya usafi na shughuli zote ksnisani
Wanachoweza kuambulia sanasana ni chai ama chakula lakini hawapewi hata nauli
Ngoja niishie hapa kwanza😭
 
Ni kweli kabisa, Mwamposa kajenga hoteli Mbeya, halafu anamuombea muumini apate mtaji wa millioni moja. Hoteli yenyewe watu wanaingia na machangudoa kulala, mkononi wana chupa za pombe
 
Lakini tukiendelea kuwalaumu hawa Mitume na manabii tunakosea. Kelele zimeshapigwa sana kuuhabarisha umma juu ya UTAPELI na huo WIZI waufanyao hawa wanaojiita Mitume na Manabii, LAKINI jamii hii imeshindwa au imekataa KUWAKATAA.

Badala yake nyie mnaoendelea kutoa elimu kuwahusu hao matapeli nyie ndio mnakataliwa.

Jamii imekata tamaa kila mtu anatafuta shortcut, ukiwaambia wanasema wewe huna hofu ya Mungu, na hujawahi kumjua Mungu, au Hujapata matatizo.

Unadhani mtawaonya mpaka lini?

Wao wanao kamuliwa pesa, husema wanafanikiwa mambo yao, na hao wanaokamuliwa wanasema nyie mnamwaonea wivu mitume na manabii.
 
Lakini tukiendelea kuwalaumu hawa Mitume na manabii tunakosea. Kelele zimeshapigwa sana kuuhabarisha umma juu ya UTAPELI na huo WIZI waufanyao hawa wanaojiita Mitume na Manabii, LAKINI jamii hii imeshindwa au imekataa KUWAKATAA.

Badala yake nyie mnaoendelea kutoa elimu kuwahusu hao matapeli nyie ndio mnakataliwa.

Jamii imekata tamaa kila mtu anatafuta shortcut, ukiwaambia wanasema wewe huna hofu ya Mungu, na hujawahi kumjua Mungu, au Hujapata matatizo.

Unadhani mtawaonya mpaka lini?

Wao wanao kamuliwa pesa, husema wanafanikiwa mambo yao, na hao wanaokamuliwa wanasema nyie mnamwaonea wivu mitume na manabii.
Tatizo sio Jamii .. Tatizo lipo kwa waliokasimiwa kuiongoza Jamii.. Tulikosea pakubwa tulipoipa siasa hadhi kubwa kuliko taaluma..
downloadfile.jpg
 
Kama kondoo za kuchinja zipo, zita chinjwa tu.

Tatizo linaanzia kwa kondoo wenyewe, mtu mzima na akili zako timamu unaambiwa ili kuonana na nabii unatakiwa utoe kiasi kadhaa, sasa mtu anakosa hata akili ya ku reason vitu simple namna hii kwamba kutoka kwa hao waliotuletea hizo dini hapajawahi kuwa na nabii au mtu aliyewahi kuomba consultation fee ili asikilize shida ya mtu hawa manabii wa mwendokasi wanatoa wapi mamlaka hiyo??!!!

Mpuuzi wa namna hiyo ni rahisi kumdharau na kumkosea heshima kwa sababu ubongo wake haufanyi kazi, ni sawa sawa na wale matapeli wa 'Ile pesa tuma kwenye namba hii' wakisha mtapeli muhanga huwa wanaweza hata kumkejeli na kumtolea lugha chafu kwa sababu wanaona hili jitu lina consume oxygen ya bure tu hapa duniani.

Kondoo wa bwana amkeni.
Africa is the proof that religion cannot solve any problem.
 
Tatizo sio Jamii .. Tatizo lipo kwa waliokasimiwa kuiongoza Jamii.. Tulikosea pakubwa tulipoipa siasa hadhi kubwa kuliko taaluma..View attachment 3176214
Hahaha Umekosea sana, Tanzania HATUNA viongozi. Tanzania tunao WATAWALA, Viongozi huchagulliwa, lakini hawa ni watawala.

Mtawala huteuwa WAFUASI wake wanaotii AMRI zake ili kuendelea kutawala.

Viongozi wanachaguliwa, hawa waliopo hawachaguliwi, hivyo usiseme tulikosea, Sema tunachelewa kudai UHURU wetu wa kujiamulia.

Tuendelee kupaza sauti na kupambana kila mmoja kwa nafasi yake tupate uhuru, hakuna kutegeana.

Wao CCM/WATAWALA wanadanganya watu ohoo msidanganywe na wanasiasa, mara Siasa haziruhusiwi Mashuleni na vyuoni, lakini wao Wana matawi ya UVCC kila Chuo nchini na wanaendelea kuyafungua, Jana walimu wakuu wote nchi nzima walikuwa na bado wako Dodoma wanapigwa brush waendelee kutuumizia taifa.

CHADEMA wakifanya hayo utasikia msiwachanganye watoto au wanafunzi muwaache wasome, lakini wao ni sawa.

Pambana tupate UHURU, yote hayo yatakwisha.
 
Niseme tu watu wamekuwa na matatizo mengi sana mpaka wamepata depression wanaona sehemu sahihi ni kwa kuna Mwamposa tu ,hao huwaambii kitu hasa wakina mama wapo so stressed jamani na maisha ya ndoa ,na wengine single mother ,na wengine kukaa kwenye mahusiano muda mrefu halfu haolewi ,lazima wachanganyikiwe ndiyo unawakuta wengi huko vichwa havifanyi kazi
 
Kama kuna watu whuni, wanyama katili na wenye rohombaya sana basi hawa ndugu wanaongoza.

Wao wanachojua ni mashindano yq kukusanya pesa tuu na kuzitumia kwenye mambo binafsi ya kifahari na kufuru ya pesa.

Wanashindana kuvaa mavazi ya bei ghali
Wanashindana kumiliki magari ya kifahari na ya gharama kubwa.

Wanashindana kuwa na mijumba ya kifahari na kila aina ya kitu cha gharama kubwa na cha thamani unachojua wewe. Mtaji wao mkubwa ni waumini na naamini fukara hohehahe wanaowaamini sana!

Kwenye makanisa yao hakuna huduma inatolewa bure.. Hata ile nakala ya fomu ya shilingi 50 au mia ya kuandika shida yako inauzwa si chini ya elfu 50... Na kila fomu ina viwango vya gharama kwa kila huduma utakayo.

Wanaotoa dau kubwa ndio hupewa kipaumbele cha kuonana na mtumishi.. Na mapato yao hayo hayatozwi kodi yoyote ya serikali. Huwezi hata siku moja ukute
Wametoa sehemu ya mapato yao kuhudumia yatima na wajane wasiojiweza.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga vituo vya afya kuwahudumia wasio na uwezo.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga shule na vituo vya huduma za kielimu kama msaada kwa wasiojiweza
Huwezi hata siku moja wakiwa na programu mbalimbali za Kusaidia makundi mbalimbali kwenye Jamii kama wafanyavyo kina Malisa G.J na Lions clubs kwenye nyanja za elimu, makazi, lishe, tiba na matukio ya kibinadamu ya dharura.

Ni wepesi mno wa kufarakanisha na kugombanisha familia, wanandoa, ndugu na jamaa.. Hasa kwa wale wasiopenda mambo yao na kuharibu kuwaelimisha waliokwisha tekwa!

Kukupa tuhuma za uchawi, uongo uzinzi nk kwa wenza wa wengine wao ni fasta sana.. Wameharibu ndoa nyingi na kufarakanisha ndugu wengi sana!

Hawa si watumishi wa kweli maana hawahubiri upendo, amani na mshikamano kwa vitendo
Hawa ni watu wa makafara ya kutisha,ibada za siri, washirikina wakubwa!

Ni wachafu na ni walafi wanaofanya mambo machafu na mabaya kizani..
Kuwanyesha waumini wao vitu vichafu kwao ni kawaida kabisa.

Maji yaliyochanganywa na maji yaliyooshea maiti;
Maji yaliyochanganywa na manii au uchafu uliotoka ukeni;
Maji yaliyooshea miguu au mikono ya nabii au mtume nknk

Ni wezi wakubwa!

Udongo uliochimbwa na scavator na kuusafirisha kwa roli kisha kuwauzia Watu kijiko shilingi elfu moja.. Huu ni zaidi ya wizi na utapeli wa kiwango kikubwa sana

Kuna mafuta ya upako, sabuni za upako, leso za upako.. Nknk vyote hivyo ni biashara kubwa isiyochajiwa kodi yoyote na serikali

Naendelea…
Kinachohubiriwa sasa na wengi wa watumishi wa leo hii, ni injili bandia. Ni injili iliyokuwa kinyume kabisa na ile halisi na ya kweli iliyohubiriwa katika siku za mitume.

Wengi wa mitume na manabii wamekaa kimaslahi kwa ajili ya kupiga pesa kutoka kwa wafuasi wao na njia nyingine za utakatishaji wa fedha kutoka kwa mafisadi na wabadhirifu wa mali za umma.

Lakini maandiko matakatifu yanatupa elimu kubwa juu ya mambo wanayoyafanya. Nukuu ifuatayo inaweza kuwa na mafundisho makubwa sana kwetu,

WAGALATIA 1

6 Nashangaa kuona kwamba mnamwacha upesi hivyo yule aliye waita kwa neema ya Kristo mkaanza kufuata Injili nyingine.

7 Ukweli ni kwamba hakuna Injili nyingine, ila nafahamu kuwa wako watu wanaowavuruga, ambao wanataka kuipotosha Injili ya Kristo.

8 Lakini hata ikiwa ni sisi au ni malaika atokaye mbinguni, kama mtu akiwahubiria Injili ambayo ni tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo na alaaniwe.
 
Na wahanga wakubwa ni kina mama, yani wamekuwa brain washed kuwaona ni miungu, wapo radhi kutoa chochote kwa kukaririshwa ni upako
Halafu wamama hao hao hizo pesa wanazichuna kutoka kwa wanaume na kisha wanawapelekea Manabii uchwara.
Wanaume siku tukiamka na kuacha ujinga wa kuwapa pesa ovyo wanawake nakuhakikishia huenda 80% ya manabii uchwara wanayeyuka.
 
Hahaha Umekosea sana, Tanzania HATUNA viongozi. Tanzania tunao WATAWALA, Viongozi huchagulliwa, lakini hawa ni watawala.

Mtawala huteuwa WAFUASI wake wanaotii AMRI zake ili kuendelea kutawala.

Viongozi wanachaguliwa, hawa waliopo hawachaguliwi, hivyo usiseme tulikosea, Sema tunachelewa kudai UHURU wetu wa kujiamulia.

Tuendelee kupaza sauti na kupambana kila mmoja kwa nafasi yake tupate uhuru, hakuna kutegeana.

Wao CCM/WATAWALA wanadanganya watu ohoo msidanganywe na wanasiasa, mara Siasa haziruhusiwi Mashuleni na vyuoni, lakini wao Wana matawi ya UVCC kila Chuo nchini na wanaendelea kuyafungua, Jana walimu wakuu wote nchi nzima walikuwa na bado wako Dodoma wanapigwa brush waendelee kutuumizia taifa.

CHADEMA wakifanya hayo utasikia msiwachanganye watoto au wanafunzi muwaache wasome, lakini wao ni sawa.

Pambana tupate UHURU, yote hayo yatakwisha.
Last Sunday mchana nilikuwa mitaa ya Kawe ile barabara ya chini mara magari yakazuiwa! Hi dereva aliyenibeba wa bajaj kuna nini? Akasema ni mtumishi anatoka kwenye ibada.. Jamaa ana ulinzi mkubwa na msafara wake unasindikizwa na traffic
 
Kama kuna watu whuni, wanyama katili na wenye rohombaya sana basi hawa ndugu wanaongoza.

Wao wanachojua ni mashindano yq kukusanya pesa tuu na kuzitumia kwenye mambo binafsi ya kifahari na kufuru ya pesa.

Wanashindana kuvaa mavazi ya bei ghali
Wanashindana kumiliki magari ya kifahari na ya gharama kubwa.

Wanashindana kuwa na mijumba ya kifahari na kila aina ya kitu cha gharama kubwa na cha thamani unachojua wewe. Mtaji wao mkubwa ni waumini na naamini fukara hohehahe wanaowaamini sana!

Kwenye makanisa yao hakuna huduma inatolewa bure.. Hata ile nakala ya fomu ya shilingi 50 au mia ya kuandika shida yako inauzwa si chini ya elfu 50... Na kila fomu ina viwango vya gharama kwa kila huduma utakayo.

Wanaotoa dau kubwa ndio hupewa kipaumbele cha kuonana na mtumishi.. Na mapato yao hayo hayatozwi kodi yoyote ya serikali. Huwezi hata siku moja ukute
Wametoa sehemu ya mapato yao kuhudumia yatima na wajane wasiojiweza.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga vituo vya afya kuwahudumia wasio na uwezo.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga shule na vituo vya huduma za kielimu kama msaada kwa wasiojiweza
Huwezi hata siku moja wakiwa na programu mbalimbali za Kusaidia makundi mbalimbali kwenye Jamii kama wafanyavyo kina Malisa G.J na Lions clubs kwenye nyanja za elimu, makazi, lishe, tiba na matukio ya kibinadamu ya dharura.

Ni wepesi mno wa kufarakanisha na kugombanisha familia, wanandoa, ndugu na jamaa.. Hasa kwa wale wasiopenda mambo yao na kuharibu kuwaelimisha waliokwisha tekwa!

Kukupa tuhuma za uchawi, uongo uzinzi nk kwa wenza wa wengine wao ni fasta sana.. Wameharibu ndoa nyingi na kufarakanisha ndugu wengi sana!

Hawa si watumishi wa kweli maana hawahubiri upendo, amani na mshikamano kwa vitendo
Hawa ni watu wa makafara ya kutisha,ibada za siri, washirikina wakubwa!

Ni wachafu na ni walafi wanaofanya mambo machafu na mabaya kizani..
Kuwanyesha waumini wao vitu vichafu kwao ni kawaida kabisa.

Maji yaliyochanganywa na maji yaliyooshea maiti;
Maji yaliyochanganywa na manii au uchafu uliotoka ukeni;
Maji yaliyooshea miguu au mikono ya nabii au mtume nknk

Ni wezi wakubwa!

Udongo uliochimbwa na scavator na kuusafirisha kwa roli kisha kuwauzia Watu kijiko shilingi elfu moja.. Huu ni zaidi ya wizi na utapeli wa kiwango kikubwa sana

Kuna mafuta ya upako, sabuni za upako, leso za upako.. Nknk vyote hivyo ni biashara kubwa isiyochajiwa kodi yoyote na serikali

Naendelea…
Sema BABA sema.... Sema usiogope3e
 
Hawa watu mbona wametajwa kwenye Quran. Quran imetaja wakristo ambao ni kweli na hawa wanaokula mali za watu pia wametajwa. Ukisoma Quran utapata majibu yote yanayohusu Ukristo. Nawakaribisha ndugu zangu wakristo someni Quran ya kiswahili itawasaidia hata katika kuifahamu ukweli wa dini yenu na viongozi wenu.


QURAN 9: 34
"Enyi mlio amini! Hakika wengi katika makuhani na wamonaki wanakula mali za watu kwa batili na wanazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu. Na wanao kusanya dhahabu na fedha, wala hawazitumii katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wabashirie habari ya adhabu iliyo chungu."
 
Hawa watu mbona wametajwa kwenye Quran. Quran imetaja wakristo ambao ni kweli na hawa wanaokula mali za watu pia wametajwa. Ukisoma Quran utapata majibu yote yanayohusu Ukristo. Nawakaribisha ndugu zangu wakristo someni Quran ya kiswahili itawasaidia hata katika kuifahamu ukweli wa dini yenu na viongozi wenu.


QURAN 9: 34
"Enyi mlio amini! Hakika wengi katika makuhani na wamonaki wanakula mali za watu kwa batili na wanazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu. Na wanao kusanya dhahabu na fedha, wala hawazitumii katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wabashirie habari ya adhabu iliyo chungu."
Enyi mlio amini! Hakika wengi katika makuhani na wamonaki wanakula mali za watu kwa batili na wanazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu. Na wanao kusanya dhahabu na fedha, wala hawazitumii katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wabashirie habari ya adhabu iliyo chungu."🔨📌
 
Back
Top Bottom