Mitume na manabii wa kileo ni viumbe waliojaa, ghiliba, uroho ubinafsi na uchoyo uliopitiliza

Mitume na manabii wa kileo ni viumbe waliojaa, ghiliba, uroho ubinafsi na uchoyo uliopitiliza

Kama kuna watu whuni, wanyama katili na wenye rohombaya sana basi hawa ndugu wanaongoza.

Wao wanachojua ni mashindano yq kukusanya pesa tuu na kuzitumia kwenye mambo binafsi ya kifahari na kufuru ya pesa.

Wanashindana kuvaa mavazi ya bei ghali
Wanashindana kumiliki magari ya kifahari na ya gharama kubwa.

Wanashindana kuwa na mijumba ya kifahari na kila aina ya kitu cha gharama kubwa na cha thamani unachojua wewe. Mtaji wao mkubwa ni waumini na naamini fukara hohehahe wanaowaamini sana!

Kwenye makanisa yao hakuna huduma inatolewa bure.. Hata ile nakala ya fomu ya shilingi 50 au mia ya kuandika shida yako inauzwa si chini ya elfu 50... Na kila fomu ina viwango vya gharama kwa kila huduma utakayo.

Wanaotoa dau kubwa ndio hupewa kipaumbele cha kuonana na mtumishi.. Na mapato yao hayo hayatozwi kodi yoyote ya serikali. Huwezi hata siku moja ukute
Wametoa sehemu ya mapato yao kuhudumia yatima na wajane wasiojiweza.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga vituo vya afya kuwahudumia wasio na uwezo.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga shule na vituo vya huduma za kielimu kama msaada kwa wasiojiweza
Huwezi hata siku moja wakiwa na programu mbalimbali za Kusaidia makundi mbalimbali kwenye Jamii kama wafanyavyo kina Malisa G.J na Lions clubs kwenye nyanja za elimu, makazi, lishe, tiba na matukio ya kibinadamu ya dharura.

Ni wepesi mno wa kufarakanisha na kugombanisha familia, wanandoa, ndugu na jamaa.. Hasa kwa wale wasiopenda mambo yao na kuharibu kuwaelimisha waliokwisha tekwa!

Kukupa tuhuma za uchawi, uongo uzinzi nk kwa wenza wa wengine wao ni fasta sana.. Wameharibu ndoa nyingi na kufarakanisha ndugu wengi sana!

Hawa si watumishi wa kweli maana hawahubiri upendo, amani na mshikamano kwa vitendo
Hawa ni watu wa makafara ya kutisha,ibada za siri, washirikina wakubwa!

Ni wachafu na ni walafi wanaofanya mambo machafu na mabaya kizani..
Kuwanyesha waumini wao vitu vichafu kwao ni kawaida kabisa.

Maji yaliyochanganywa na maji yaliyooshea maiti;
Maji yaliyochanganywa na manii au uchafu uliotoka ukeni;
Maji yaliyooshea miguu au mikono ya nabii au mtume nknk

Ni wezi wakubwa!

Udongo uliochimbwa na scavator na kuusafirisha kwa roli kisha kuwauzia Watu kijiko shilingi elfu moja.. Huu ni zaidi ya wizi na utapeli wa kiwango kikubwa sana

Kuna mafuta ya upako, sabuni za upako, leso za upako.. Nknk vyote hivyo ni biashara kubwa isiyochajiwa kodi yoyote na serikali

Naendelea…
Hawa manabii wa uongo waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu. Watu huangamia kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6
 
Na ndio maana ccm inashinda kila chaguzi.
Ndio maana maccm wako karibu na mitume na manabii.
 
MWANAMKE NDIYO KIUMBE CHENYE AKILI DUNI ZAIDI KATI YA WANADAMU .... Wanawake hawafai kupewa kazi za uongozi kwa sababu HAWANA AKILI YOYOTE YA UONGOZI ....NI UPUMBAVU NA UHALIBIFU ULIO DHAHILI KUMPA UONGOZI MWANAMKE KATIKA NGAZI YOYOTE HATA NGAZI YA FAMILIA NI KOSA KUBWA SANA.
We akili yako inatumika ya kichwa cha chini sio cha juu
 
We akili yako inatumika ya kichwa cha chini sio cha juu
Kwana unadhani mimi ni mmoja wapo ya wale matoto mapumbavu yanayo sema bora unitukanie baba yangu kuliko mama yangu?
 

Hao muwachukulie kuwa ni wateja maalum wa daraja la kwanza(First class) na hivyo wanastahili kulipia Huduma kwa mtindo wa Fast Track i.e. Tozo heavy na kwa muda mfupi.
Na usiri mkubwa😀😀😀
 
Kama kuna watu whuni, wanyama katili na wenye rohombaya sana basi hawa ndugu wanaongoza.

Wao wanachojua ni mashindano yq kukusanya pesa tuu na kuzitumia kwenye mambo binafsi ya kifahari na kufuru ya pesa.

Wanashindana kuvaa mavazi ya bei ghali
Wanashindana kumiliki magari ya kifahari na ya gharama kubwa.

Wanashindana kuwa na mijumba ya kifahari na kila aina ya kitu cha gharama kubwa na cha thamani unachojua wewe. Mtaji wao mkubwa ni waumini na naamini fukara hohehahe wanaowaamini sana!

Kwenye makanisa yao hakuna huduma inatolewa bure.. Hata ile nakala ya fomu ya shilingi 50 au mia ya kuandika shida yako inauzwa si chini ya elfu 50... Na kila fomu ina viwango vya gharama kwa kila huduma utakayo.

Wanaotoa dau kubwa ndio hupewa kipaumbele cha kuonana na mtumishi.. Na mapato yao hayo hayatozwi kodi yoyote ya serikali. Huwezi hata siku moja ukute
Wametoa sehemu ya mapato yao kuhudumia yatima na wajane wasiojiweza.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga vituo vya afya kuwahudumia wasio na uwezo.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga shule na vituo vya huduma za kielimu kama msaada kwa wasiojiweza
Huwezi hata siku moja wakiwa na programu mbalimbali za Kusaidia makundi mbalimbali kwenye Jamii kama wafanyavyo kina Malisa G.J na Lions clubs kwenye nyanja za elimu, makazi, lishe, tiba na matukio ya kibinadamu ya dharura.

Ni wepesi mno wa kufarakanisha na kugombanisha familia, wanandoa, ndugu na jamaa.. Hasa kwa wale wasiopenda mambo yao na kuharibu kuwaelimisha waliokwisha tekwa!

Kukupa tuhuma za uchawi, uongo uzinzi nk kwa wenza wa wengine wao ni fasta sana.. Wameharibu ndoa nyingi na kufarakanisha ndugu wengi sana!

Hawa si watumishi wa kweli maana hawahubiri upendo, amani na mshikamano kwa vitendo
Hawa ni watu wa makafara ya kutisha,ibada za siri, washirikina wakubwa!

Ni wachafu na ni walafi wanaofanya mambo machafu na mabaya kizani..
Kuwanyesha waumini wao vitu vichafu kwao ni kawaida kabisa.

Maji yaliyochanganywa na maji yaliyooshea maiti;
Maji yaliyochanganywa na manii au uchafu uliotoka ukeni;
Maji yaliyooshea miguu au mikono ya nabii au mtume nknk

Ni wezi wakubwa!

Udongo uliochimbwa na scavator na kuusafirisha kwa roli kisha kuwauzia Watu kijiko shilingi elfu moja.. Huu ni zaidi ya wizi na utapeli wa kiwango kikubwa sana

Kuna mafuta ya upako, sabuni za upako, leso za upako.. Nknk vyote hivyo ni biashara kubwa isiyochajiwa kodi yoyote na serikali

Naendelea…

I think they also process the demons of making their followers idiots.

Majority ya wafuasi hawako sawa.
 
Haya ndiyo wafanyayo

The powerful magic ring to help you get more people/ congregations in your church, grow your church into a bigger one, heal people, perform miracles Call 0r whatsapp me......
FB_IMG_1735614252639.jpg
FB_IMG_1735614255743.jpg
to purchase the ring.
#juju #charm #spell #mystic #babalawo #nativedoctor #herbalist #orisha #voodoo #santeria #pagan #occult #shaman #lucumi #oshun #oya #yemaya #ifa #shango #olokun #power #ochosi #goddess #gods #ogun #wicca #witch #witchcraft #ase #psychic
 
Hawa manabii wa uongo waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu. Watu huangamia kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6
The powerful magic ring to help you get more people/ congregations in your church, grow your church into a bigger one, heal people, perform miracles Call 0r whatsapp me 072 070 1000 to purchase the ring.
#juju #charm #spell #mystic #babalawo #nativedoctor #herbalist #orisha #voodoo #santeria #pagan #occult #shaman #lucumi #oshun #oya #yemaya #ifa #shango #olokun #power #ochosi #goddess #gods #ogun #wicca #witch #witchcraft #ase #psychic
 
Sehemu ya pili
Vyanzo vya mapato
1. Maombi maalum kwa watu maalum (wanasiasa, matajiri, watu maarufu) hapa kila kichwa si chini ya milion kumi
2. Maombi maalum kwa wahitaji wengine.. Hapa dau la chini ni laki 5
3. Form za maombi ya huduma mbalimbali elfu 10 mpaka 50
4. Huduma mbalimbali.. Kiwango cha chini ni laki moja
5. Sadaka... Sarafu haziruhusiwi.. Kiwango cha chini 2000
6. Kumtunza mtumishi. Kiwango cha chini elfu 5
7. Mchango wa ujenzi wa kanisa..( cash, vifaa nguvu Kazi)
8. Mauzo ya vifaa vya upako (leso, udongo, mafuta, maji nguo za ndani nk)
9. Fungu la kumi
10. Zawadi kwa mtumishi, (gari, nyumba, vyakula nk)
Mapato yote hayo hayakatwi kodi yoyote.
Hawa viumbe ni wachoyo na ni wabinafsi wa kupitiliza.. Wana watumwa wao wasiowalipa chochote wanawaita watenda Kazi.. Hawa ndio Hufanya mauzo yote na kukusanya sadaka ama mapato yoyote
Hawa ndio Hufanya usafi na shughuli zote ksnisani
Wanachoweza kuambulia sanasana ni chai ama chakula lakini hawapewi hata nauli
Ngoja niishie hapa kwanza😭
 
Wazeee washakula mgao wa kwanza wa kampeni, ni moja ya kundi litakalo kula mpunga mwingi kipindi cha uchaguzi.

Kila siku zinavyoenda wasanii ushawishi wao unapungua, naamini Team za kariakoo( hasa hasa Yanga na uongozi) pamoja na hawa manabii wamewekewa gawio kubwa zaidi ya wasanii wataneemeka 2025.
 
Back
Top Bottom