Mitume na manabii wa kileo ni viumbe waliojaa, ghiliba, uroho ubinafsi na uchoyo uliopitiliza

Mitume na manabii wa kileo ni viumbe waliojaa, ghiliba, uroho ubinafsi na uchoyo uliopitiliza

Sikujua kumbe umaskin uko bado sana nchini..anyway chama fulani mtaji wake ni watu wajinga ..hiko chama kinafanya kazi na hawa matapeli ili ki maintain idadi ya wajinga isipungue ili waendeleee kuwamiliki nakuwatawala huku matokeo yakiwa ni kupata utajiri wa kutisha.
 
Kama kuna watu whuni, wanyama katili na wenye rohombaya sana basi hawa ndugu wanaongoza.

Wao wanachojua ni mashindano yq kukusanya pesa tuu na kuzitumia kwenye mambo binafsi ya kifahari na kufuru ya pesa.

Wanashindana kuvaa mavazi ya bei ghali
Wanashindana kumiliki magari ya kifahari na ya gharama kubwa.

Wanashindana kuwa na mijumba ya kifahari na kila aina ya kitu cha gharama kubwa na cha thamani unachojua wewe. Mtaji wao mkubwa ni waumini na naamini fukara hohehahe wanaowaamini sana!

Kwenye makanisa yao hakuna huduma inatolewa bure.. Hata ile nakala ya fomu ya shilingi 50 au mia ya kuandika shida yako inauzwa si chini ya elfu 50... Na kila fomu ina viwango vya gharama kwa kila huduma utakayo.

Wanaotoa dau kubwa ndio hupewa kipaumbele cha kuonana na mtumishi.. Na mapato yao hayo hayatozwi kodi yoyote ya serikali. Huwezi hata siku moja ukute
Wametoa sehemu ya mapato yao kuhudumia yatima na wajane wasiojiweza.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga vituo vya afya kuwahudumia wasio na uwezo.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga shule na vituo vya huduma za kielimu kama msaada kwa wasiojiweza
Huwezi hata siku moja wakiwa na programu mbalimbali za Kusaidia makundi mbalimbali kwenye Jamii kama wafanyavyo kina Malisa G.J na Lions clubs kwenye nyanja za elimu, makazi, lishe, tiba na matukio ya kibinadamu ya dharura.

Ni wepesi mno wa kufarakanisha na kugombanisha familia, wanandoa, ndugu na jamaa.. Hasa kwa wale wasiopenda mambo yao na kuharibu kuwaelimisha waliokwisha tekwa!

Kukupa tuhuma za uchawi, uongo uzinzi nk kwa wenza wa wengine wao ni fasta sana.. Wameharibu ndoa nyingi na kufarakanisha ndugu wengi sana!

Hawa si watumishi wa kweli maana hawahubiri upendo, amani na mshikamano kwa vitendo
Hawa ni watu wa makafara ya kutisha,ibada za siri, washirikina wakubwa!

Ni wachafu na ni walafi wanaofanya mambo machafu na mabaya kizani..
Kuwanyesha waumini wao vitu vichafu kwao ni kawaida kabisa.

Maji yaliyochanganywa na maji yaliyooshea maiti;
Maji yaliyochanganywa na manii au uchafu uliotoka ukeni;
Maji yaliyooshea miguu au mikono ya nabii au mtume nknk

Ni wezi wakubwa!

Udongo uliochimbwa na scavator na kuusafirisha kwa roli kisha kuwauzia Watu kijiko shilingi elfu moja.. Huu ni zaidi ya wizi na utapeli wa kiwango kikubwa sana

Kuna mafuta ya upako, sabuni za upako, leso za upako.. Nknk vyote hivyo ni biashara kubwa isiyochajiwa kodi yoyote na serikali

Naendelea…
Subiri uambiwe we ni kobazi,subiria kula bikira 72, wakristo acha wapigwe,wajanja wanatajirika kupitia wakristo
 
Kama kuna watu whuni, wanyama katili na wenye rohombaya sana basi hawa ndugu wanaongoza.

Wao wanachojua ni mashindano yq kukusanya pesa tuu na kuzitumia kwenye mambo binafsi ya kifahari na kufuru ya pesa.

Wanashindana kuvaa mavazi ya bei ghali
Wanashindana kumiliki magari ya kifahari na ya gharama kubwa.

Wanashindana kuwa na mijumba ya kifahari na kila aina ya kitu cha gharama kubwa na cha thamani unachojua wewe. Mtaji wao mkubwa ni waumini na naamini fukara hohehahe wanaowaamini sana!

Kwenye makanisa yao hakuna huduma inatolewa bure.. Hata ile nakala ya fomu ya shilingi 50 au mia ya kuandika shida yako inauzwa si chini ya elfu 50... Na kila fomu ina viwango vya gharama kwa kila huduma utakayo.

Wanaotoa dau kubwa ndio hupewa kipaumbele cha kuonana na mtumishi.. Na mapato yao hayo hayatozwi kodi yoyote ya serikali. Huwezi hata siku moja ukute
Wametoa sehemu ya mapato yao kuhudumia yatima na wajane wasiojiweza.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga vituo vya afya kuwahudumia wasio na uwezo.

Huwezi hata siku moja kuwakuta wakijenga shule na vituo vya huduma za kielimu kama msaada kwa wasiojiweza
Huwezi hata siku moja wakiwa na programu mbalimbali za Kusaidia makundi mbalimbali kwenye Jamii kama wafanyavyo kina Malisa G.J na Lions clubs kwenye nyanja za elimu, makazi, lishe, tiba na matukio ya kibinadamu ya dharura.

Ni wepesi mno wa kufarakanisha na kugombanisha familia, wanandoa, ndugu na jamaa.. Hasa kwa wale wasiopenda mambo yao na kuharibu kuwaelimisha waliokwisha tekwa!

Kukupa tuhuma za uchawi, uongo uzinzi nk kwa wenza wa wengine wao ni fasta sana.. Wameharibu ndoa nyingi na kufarakanisha ndugu wengi sana!

Hawa si watumishi wa kweli maana hawahubiri upendo, amani na mshikamano kwa vitendo
Hawa ni watu wa makafara ya kutisha,ibada za siri, washirikina wakubwa!

Ni wachafu na ni walafi wanaofanya mambo machafu na mabaya kizani..
Kuwanyesha waumini wao vitu vichafu kwao ni kawaida kabisa.

Maji yaliyochanganywa na maji yaliyooshea maiti;
Maji yaliyochanganywa na manii au uchafu uliotoka ukeni;
Maji yaliyooshea miguu au mikono ya nabii au mtume nknk

Ni wezi wakubwa!

Udongo uliochimbwa na scavator na kuusafirisha kwa roli kisha kuwauzia Watu kijiko shilingi elfu moja.. Huu ni zaidi ya wizi na utapeli wa kiwango kikubwa sana

Kuna mafuta ya upako, sabuni za upako, leso za upako.. Nknk vyote hivyo ni biashara kubwa isiyochajiwa kodi yoyote na serikali

Naendelea…
Nahisi jana kilinge kilicatch fire!
 
Sehemu ya pili
Vyanzo vya mapato
1. Maombi maalum kwa watu maalum (wanasiasa, matajiri, watu maarufu) hapa kila kichwa si chini ya milion kumi
2. Maombi maalum kwa wahitaji wengine.. Hapa dau la chini ni laki 5
3. Form za maombi ya huduma mbalimbali elfu 10 mpaka 50
4. Huduma mbalimbali.. Kiwango cha chini ni laki moja
5. Sadaka... Sarafu haziruhusiwi.. Kiwango cha chini 2000
6. Kumtunza mtumishi. Kiwango cha chini elfu 5
7. Mchango wa ujenzi wa kanisa..( cash, vifaa nguvu Kazi)
8. Mauzo ya vifaa vya upako (leso, udongo, mafuta, maji nguo za ndani nk)
9. Fungu la kumi
10. Zawadi kwa mtumishi, (gari, nyumba, vyakula nk)
Mapato yote hayo hayakatwi kodi yoyote.
Hawa viumbe ni wachoyo na ni wabinafsi wa kupitiliza.. Wana watumwa wao wasiowalipa chochote wanawaita watenda Kazi.. Hawa ndio Hufanya mauzo yote na kukusanya sadaka ama mapato yoyote
Hawa ndio Hufanya usafi na shughuli zote ksnisani
Wanachoweza kuambulia sanasana ni chai ama chakula lakini hawapewi hata nauli
Ngoja niishie hapa kwanza😭
11. Michango ya safari za mtumishi (uinjilishaji +kwaya).
 
Kilinge kikishika moto vinavyoungua ni vitu yabisi. Vile vinavyoonekana
 
Wanajifanya wanawaonea huruma wakati mtaani kwao hata kutoa msaada kwa wenye njaa na dhiki hawajawahi kufanya,ila likija suala la manabii na mitume mishipa inawatoka,mi nawaona ni wapumbafu na wanafiki.
Inashangaza lakini ndio ukweli, eti unaye muhurumia anakutolea povu " Mtuache na mtume/Nabii wetu, kaletwa na Mungu..blah blah".
Waachwe wapigwe, mpaka watie akili.
 
Tatizo sio Jamii .. Tatizo lipo kwa waliokasimiwa kuiongoza Jamii.. Tulikosea pakubwa tulipoipa siasa hadhi kubwa kuliko taaluma..View attachment 3176214

Hii nukta kubwa sana, ndio maana sisi wengine tunasema siasa ya Kidemokrasia ni ushetani.

Kuna mambo yanaondoshwa na utawala yaani uongozi wa juu. Mfano utapeli kama huu serikali ilitakiwa iingilie kati na kuutokomeza sababu ni wizi wa Bure na Kuna Ushirikina wa wazi ndani yake.
 
Last Sunday mchana nilikuwa mitaa ya Kawe ile barabara ya chini mara magari yakazuiwa! Hi dereva aliyenibeba wa bajaj kuna nini? Akasema ni mtumishi anatoka kwenye ibada.. Jamaa ana ulinzi mkubwa na msafara wake unasindikizwa na traffic
Hahaha, Nchi ya wajinga hii, subiri tupate Uhuru halafu nigombee Urais na nishinde, watahama nchi hii. Hakuna tabaka la wezi wa juu wala wa chini, ukiwa mwizi ni jela tu basi.
 
Huwa tunawaangalia kwa dharau na kebehi kubwa sana
Hao muwachukulie kuwa ni wateja maalum wa daraja la kwanza(First class) na hivyo wanastahili kulipia Huduma kwa mtindo wa Fast Track i.e. Tozo heavy na kwa muda mfupi.
 
Back
Top Bottom