Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mamlaka gani inasimamia biashara hiyo?Na makahaba nao wasajiliwe, si wanauza nanilihiii ya katerero
Pale Kawe pana utajiri mkubwaKweli bwana na huku kwetu EWURA wachangamkie chanzo kipya cha kipato
Yatamkuta yaliyomkuta kamandaMitume na manabii wanaitoa huduma za maombezi kwa kutumia mafuta na maji wametakiwa kujisajili kwenye mamlaka rasmi zinazosimamia huduma hizo.
wale wanaouza maji wametakiwa kujisajili kwenue mamlaka ya maji na wanaouza mafuta wametakiwa kujisajili Food and Drugs Authority.
View attachment 2495170
Asante sana na huku kwetu Tz wakora ni wengi sana makanisani wasiachwe salama walipe kodiMitume na manabii wanaitoa huduma za maombezi kwa kutumia mafuta na maji wametakiwa kujisajili kwenye mamlaka rasmi zinazosimamia huduma hizo.
wale wanaouza maji wametakiwa kujisajili kwenue mamlaka ya maji na wanaouza mafuta wametakiwa kujisajili Food and Drugs Authority.
View attachment 2495170
Afrika moto 🔥Ruto ongeza sauti.....View attachment 2495246
Kweli kabisa.. Nakumbuka nilitumia mafuta ya mwamposa nikapata UTI [emoji23][emoji23][emoji23]Mitume na manabii wanaitoa huduma za maombezi kwa kutumia mafuta na maji wametakiwa kujisajili kwenye mamlaka rasmi zinazosimamia huduma hizo.
wale wanaouza maji wametakiwa kujisajili kwenue mamlaka ya maji na wanaouza mafuta wametakiwa kujisajili Food and Drugs Authority.
View attachment 2495170
Tatizo ulipigia puli mafuta ya upakoKweli kabisa.. Nakumbuka nilitumia mafuta ya mwamposa nikapata UTI [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapaswa kufungiwa na kufungwa kwani ni criminals kama Ruto mwenyeweMitume na manabii wanaitoa huduma za maombezi kwa kutumia mafuta na maji wametakiwa kujisajili kwenye mamlaka rasmi zinazosimamia huduma hizo.
wale wanaouza maji wametakiwa kujisajili kwenue mamlaka ya maji na wanaouza mafuta wametakiwa kujisajili Food and Drugs Authority.
View attachment 2495170
Hapana mkuu.. Nilitumia kama kilainishi tuu[emoji23][emoji23]Tatizo ulipigia puli mafuta ya upako
Hapo hata UTI umeonewa huruma, ilitakiwa gegedo litoke na matawi matawiHapana mkuu.. Nilitumia kama kilainishi tuu[emoji23][emoji23]
Wakitaka wawasajili ni sharti waihalalishe kwanza biashara yenyewe. Kwasasa biashara ya ukahaba bado ni biashara kharam katika mataifa mengi hasa ya kiafrika. Hakuna biashara kharam iliyosajiliwa🙂Na makahaba nao wasajiliwe, si wanauza nanilihiii ya katerero