Machizi nchi hii ni mengi mpaka kero.Mkazi mmoja wa mkoa wa kigoma jina kapuni ametangaza kukimbia kutoka kigoma Hadi Dar kwa miguu kuja kutazama mechi ya Simba na Yanga tarehe 8 June mwaka guy
Huu ni muujiza anataka kutuaminisha nn huyu bandugu kukimbia kilometers 1088 na miles 676 kwa mguu ndani ya siku 18 ni maajabu. Nachokiwaza hapa huyu mtua atamaintain vp hizo kilometers ndani ya siku hizo 18 ili aweze kufika Dar .Kwa kiuhalisia nadhani ni jambo amabalo haliwez kutokea nadharia. Hii hakuna kbsàa
Wana jf unamsemaje katika hili je unadhani atauweza kwa kigezo kipi labda.
View attachment 1753401View attachment 1753402
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila jambo huanzia kwenye ubongo...lazima uliweze kwanza ndani ya nafsi yako ndio utatekeleza kwenye ulimwengu wa uhalisiaMkazi mmoja wa mkoa wa kigoma jina kapuni ametangaza kukimbia kutoka kigoma Hadi Dar kwa miguu kuja kutazama mechi ya Simba na Yanga tarehe 8 June mwaka guy
Huu ni muujiza anataka kutuaminisha nn huyu bandugu kukimbia kilometers 1088 na miles 676 kwa mguu ndani ya siku 18 ni maajabu. Nachokiwaza hapa huyu mtua atamaintain vp hizo kilometers ndani ya siku hizo 18 ili aweze kufika Dar .Kwa kiuhalisia nadhani ni jambo amabalo haliwez kutokea nadharia. Hii hakuna kbsàa
Wana jf unamsemaje katika hili je unadhani atauweza kwa kigezo kipi labda.
View attachment 1753401View attachment 1753402
Sent using Jamii Forums mobile app