Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,788
Mkazi mmoja wa mkoa wa kigoma jina kapuni ametangaza kukimbia kutoka kigoma Hadi Dar kwa miguu kuja kutazama mechi ya Simba na Yanga tarehe 8 June mwaka huu
Huu ni muujiza anataka kutuaminisha nini huyu bandugu kukimbia kilometers 1088 na miles 676 kwa mguu ndani ya siku 18 ni maajabu. Nachokiwaza hapa huyu mtua atamaintain vp hizo kilometers ndani ya siku hizo 18 ili aweze kufika Dar .Kwa kiuhalisia nadhani ni jambo amabalo haliwez kutokea nadharia. Hii hakuna kbsàa
Wana jf unamsemaje katika hili je unadhani atauweza kwa kigezo kipi labda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni muujiza anataka kutuaminisha nini huyu bandugu kukimbia kilometers 1088 na miles 676 kwa mguu ndani ya siku 18 ni maajabu. Nachokiwaza hapa huyu mtua atamaintain vp hizo kilometers ndani ya siku hizo 18 ili aweze kufika Dar .Kwa kiuhalisia nadhani ni jambo amabalo haliwez kutokea nadharia. Hii hakuna kbsàa
Wana jf unamsemaje katika hili je unadhani atauweza kwa kigezo kipi labda.
Sent using Jamii Forums mobile app