Miujiza: Atangaza kukimbia kutoka Kigoma hadi Dar kwa miguu ndani ya siku 18

Huyu mwamba kafika WAP ? Mara ya mwisho nilisikia yupo Moro , analalamika kua anaumwa tumbo,
Mungu amfanyie wepesi atimize adhma yake
 
GSM wamfanyie wepesi huyu shabiki kindakindaki wa Yanga maana kukimbia kuto kule alafu Yanga wamekimbia kwà mkapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…