Miujiza: Atangaza kukimbia kutoka Kigoma hadi Dar kwa miguu ndani ya siku 18

Miujiza: Atangaza kukimbia kutoka Kigoma hadi Dar kwa miguu ndani ya siku 18

Heee naona humu watu wanaweka 60km kwa siku.. hata utumie baiskeli chamoto lazima ukione. Tena mfululizo?

Mpaka leo hatujui anaendelea ama ameghairi
 
Mkazi mmoja wa mkoa wa kigoma jina kapuni ametangaza kukimbia kutoka kigoma Hadi Dar kwa miguu kuja kutazama mechi ya Simba na Yanga tarehe 8 June mwaka huu

Huu ni muujiza anataka kutuaminisha nini huyu bandugu kukimbia kilometers 1088 na miles 676 kwa mguu ndani ya siku 18 ni maajabu. Nachokiwaza hapa huyu mtua atamaintain vp hizo kilometers ndani ya siku hizo 18 ili aweze kufika Dar .Kwa kiuhalisia nadhani ni jambo amabalo haliwez kutokea nadharia. Hii hakuna kbsàa

Wana jf unamsemaje katika hili je unadhani atauweza kwa kigezo kipi labda.

View attachment 1753401View attachment 1753402

Sent using Jamii Forums mobile app
Google map wanasema ni Kigoma to Dar ni Kilometers 1238 ,kwa gari masaa 18,kwa kutembea ni siku 10.

Iwapo Google inasema kweli basi jamaa kukimbia siku 18 inawezekana maana Google imeeleza kutembea na siyo kukimbia ni siku 10
 
Hivi nyie mnafanya masihara kutoka kigoma to dar, ...ndio maana alivofika gairo watu wakasema ngoja tumfuatilie ...kipande Cha gairo to Moro kafika hoi ndio the end...Kuna possibility huyu bwana alikuwa anadanganya..kama kweli kakimbia angeonyesha prove kupitia app ziko kibao hata maeneo aliyopita yenye mtandao tungemfanyia analysis ya pace au Kama simu hana tungepata prove. Nyingine . ......waulizeni nguli wa Goba runners walitoka dar Moro kwa pace 8 lakini wengine waliishia chalinze few wakamaliza wakiwa hoi bin taabani.....huyo jamaa hana prove kafanya usanii sanaaaaa kupanda maroli.
 
Isije ikawa kafika, kumbe ni kileleni...😂
 
Back
Top Bottom