Miujiza ya jero ya zamani (mia tano ya noti)

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ndio waulizee ma sheikh kama hivo vitu havipo kwenye kitabu ??? Kiufupi kile kitabuu kione vile vile
Hakuna uhusiano kati ya uchawi/ushirikina /ulozi na uislamu au quran sikulaumu maana hauna elimu juu ya hii dini na mashaikh baadhi kwa sababu ya ugumu wa maisha au kutafuta unafuu wanajikuta wanaichafua dini zaidi kwa kuinasibisha na mambo yao ya ulozi QURAN imepinga na kukemea ushirikina/uchawi kwa aya nyingi sana ni kitendo cha kusoma tu.
 
Kisomo cha Ahlul Badri inapatikana wapi ??? Uislamu au kwa wenzetu wakristo ! Tukubali ukweli kitabu cha Quran ukisoma in deep na kufuata mambo mengi lazma utaonekana mchawiii [emoji174]
Nioneshe kwenye Qur'an nzima kisomo icho cha Albadiri au Al bajoto na kikikuwemo natoa 10k on the spot sisemi uongo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Fanya kazi kijana,achana na illusions.
 
Wewe unalako jambo na imani za watu.
Eti usikae karibu na mahubiri ya biblia! Unafq tu unatuaminisha nini hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…