Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
mungu nyoo si ndio yule mungu wa kufanya ma2C? Acha kabisa hiki kiumbemungu Pombe
mungu Uke
mungu Nyama (BBQ).
Pascal Mayalla, MBITIYAZA, Nyani Ngabu,
walwa, nyoo Na nyama.
_____&&&_______________________________
1; mungu Pombe (walwa)
anatumika kwenye kutambika, anatumika kwenye kupatanisha waliokosana Na pia anatumika kuburudisha Na kuwafariji watu baada ya kazi ngumu za kutwa nzima.
2; mungu Uke (nyoo)
Anatumika kuzaa, kuburudisha Na kufurahisha. Kuondoa stress Na kuifanya Dunia kuwa Paradise ndogo. Fikirieni Dunia Bila mwanamke ingekuwa ukiwa kiasi gani.
3; mungu Nyama
Mambo hayaendi Bila finyango za nyama. iwe choma, rosti, ili mradi pembeni una mtoto mkali Na bapa la Konyagi.
Hayo ndio maisha ya ndugu zangu
shekeli sio mungu ni mungu mtoto mwenye nguvu sana kuliko wazazi wake. Hii miungu mingine imekuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Leo kuna jamii nyingi zinaishi primitive life hazitumii shekeli lakini hiyo miungu mitatu ipo inadundamungu nyoo si ndio yule mungu wa kufanya ma2C? Acha kabisa hiki kiumbe
Ila Buji kuna mmoja umemsahau mungu shekeli... Bila huyu hao wengine wote wanapumulia mashine... Uhai unakuwa nusu na robo
Bila kueleza hayo matatizo makubwa ya kiakili ni yepi, nadhani wewe utakuwa Na tatizo kubwa zaidiWe jamaa una matatizo makubwa ya akili
AiseehHii sio kweli, Wasukuma sio wachawi, bali wanauchukia mno uchawi mpaka mtu akituhumiwa tuu kwa uchawi, huuliwa. Kesi ya Mauji Mwanza na Shinyanga, ni uthibitisho wa chuki ya Wasukuma dhidi ya vitendo vya uchawi.
Tabia mbaya za Wasukuma, ungesema
1. kupenda wanawake weupe matokeo yake wanapenda zaidi ya mwanamke mmoja.
2. Kuwa na moyo wa upendo kupindukia, matokeo yake mioyo yao inakudondokea, hawaoni, hawasikii.
3. Wana roho nzuri kuvuka mipaka, matokeo yake ni watu wa kutumia, mwaga offa na kuhonga sana, hivyo kupata maendeleo kidogo.
4. Wanapenda sana lile somo kupindukia, matokeo yake, wewe kama ni mwanamke, ameolewa na Msukuma chapa ng'ombe, 'rigwaride rinaweza kumshinda'.
5. Wanawake wa Kisukuma, hawana wivu, hali inaopelekea kuwaachia waume zao kujivinjari watakavyo.
6. Wanapenda kufurahi sana, matokeo yake hupenda sana starehe, kujirusha, na kilaji
7. Hawajali, ni ma don't care, matokeo yake wakilewa lazima waimbe, wakiimba lazima wapige kelele ambazo hugeuka bugudha kwa wenzao.
Mazuri yao.
Ni kabila linaloongoza kwa watu wenye roho nzuri Tanzania, wanaume wanaaongoza kwa kupenda, wanajua kuoa tuu, kuacha hawajui labda waachwe wao, na wanawake wanaaoongoza kwa uvumilivu, kushindia maji, kulala njaa na huku hawana wivu, Wasukuma wanaongoza!
Paskali a.k.a Pascal Mayalla
serikali ni gizaaiseee.......mungu serikali vp hakai hapo
sina uhusiano Na avatar yako. Nimeikataa avatar yako Na mambo yake yoteHuu ndo ubujibuji sasa.
Aje Na kaka yake Deogratius KisanduAiseeh
MBITIYAZA embu njoo huku mama
Na kweli huo uvumilivu wa kushindia maji ndio ulionivutia zaidi, hivi mbiti anaweza kweli kushinda njaa [emoji23][emoji23][emoji23]Aje Na kaka yake Deogratius Kisandu
Mkuu hapo ni miungu au Mungu,,yaan unathubutu kulitaja hili jina kimasihala hivi , Mungu uke duuuu noma sanamungu Pombe
mungu Uke
mungu Nyama (BBQ).
Pascal Mayalla, MBITIYAZA, Nyani Ngabu,
walwa, nyoo Na nyama.
_____&&&_______________________________
1; mungu Pombe (walwa)
anatumika kwenye kutambika, anatumika kwenye kupatanisha waliokosana Na pia anatumika kuburudisha Na kuwafariji watu baada ya kazi ngumu za kutwa nzima.
2; mungu Uke (nyoo)
Anatumika kuzaa, kuburudisha Na kufurahisha. Kuondoa stress Na kuifanya Dunia kuwa Paradise ndogo. Fikirieni Dunia Bila mwanamke ingekuwa ukiwa kiasi gani.
3; mungu Nyama
Mambo hayaendi Bila finyango za nyama. iwe choma, rosti, ili mradi pembeni una mtoto mkali Na bapa la Konyagi.
Hayo ndio maisha ya ndugu zangu