Miungu mitatu yenye nguvu

Miungu mitatu yenye nguvu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
mungu Pombe
mungu Uke
mungu Nyama (BBQ).
Pascal Mayalla, MBITIYAZA, Nyani Ngabu,
walwa, nyoo Na nyama.
_____&&&_______________________________
1; mungu Pombe (walwa)
anatumika kwenye kutambika, anatumika kwenye kupatanisha waliokosana Na pia anatumika kuburudisha Na kuwafariji watu baada ya kazi ngumu za kutwa nzima.

2; mungu Uke (nyoo)
Anatumika kuzaa, kuburudisha Na kufurahisha. Kuondoa stress Na kuifanya Dunia kuwa Paradise ndogo. Fikirieni Dunia Bila mwanamke ingekuwa ukiwa kiasi gani.

3; mungu Nyama
Mambo hayaendi Bila finyango za nyama. iwe choma, rosti, ili mradi pembeni una mtoto mkali Na bapa la Konyagi.
Hayo ndio maisha ya ndugu zangu
 
Aisee.

Hao memba mbona hujawaelezea hapa
 
mungu Pombe
mungu Uke
mungu Nyama (BBQ).
Pascal Mayalla, MBITIYAZA, Nyani Ngabu,
walwa, nyoo Na nyama.
_____&&&_______________________________
1; mungu Pombe (walwa)
anatumika kwenye kutambika, anatumika kwenye kupatanisha waliokosana Na pia anatumika kuburudisha Na kuwafariji watu baada ya kazi ngumu za kutwa nzima.

2; mungu Uke (nyoo)
Anatumika kuzaa, kuburudisha Na kufurahisha. Kuondoa stress Na kuifanya Dunia kuwa Paradise ndogo. Fikirieni Dunia Bila mwanamke ingekuwa ukiwa kiasi gani.

3; mungu Nyama
Mambo hayaendi Bila finyango za nyama. iwe choma, rosti, ili mradi pembeni una mtoto mkali Na bapa la Konyagi.
Hayo ndio maisha ya ndugu zangu
mungu nyoo si ndio yule mungu wa kufanya ma2C? Acha kabisa hiki kiumbe
Ila Buji kuna mmoja umemsahau mungu shekeli... Bila huyu hao wengine wote wanapumulia mashine... Uhai unakuwa nusu na robo
 
mungu nyoo si ndio yule mungu wa kufanya ma2C? Acha kabisa hiki kiumbe
Ila Buji kuna mmoja umemsahau mungu shekeli... Bila huyu hao wengine wote wanapumulia mashine... Uhai unakuwa nusu na robo
shekeli sio mungu ni mungu mtoto mwenye nguvu sana kuliko wazazi wake. Hii miungu mingine imekuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Leo kuna jamii nyingi zinaishi primitive life hazitumii shekeli lakini hiyo miungu mitatu ipo inadunda
 
Mwaka 2018 jifunze jambo hili upate neema katika maisha yako

Muungwana Blog · 8 hours ago



Dada mmoja akiwa ofisini alipigiwa simu kuwa mwanae amepata ajali wakati anatoka shule, alikuwa ameumia sana. Kwa harakaharaka yule dada aliwasha gari na kuanza safari kuelekea hospitali ili kumuona mwanae.

Akiwa njiani katika mistari ya Zebra huku akiwa na mawazo alitaka kumgonga Kaka mmoja ambaye alikuwa akivuka barabara kwa kukimbia. Katika kumkwepa gari iligonga ukingo wa barabara na kukwarui zika kidogo.

Kwa hasira yule dada alishuka na kuanza kumtukana yule kijana kuwa kamsababishia ajali na kumchelewesha. Alimtukana sana, hali iliyowafanya watu kujaa. Watu walipofika walianza kuuliza nini ndipo yule dada kwa uoga alidanganya kuwa yule kaka alitaka kumuibia.

Watu walianza kumpiga Kaka wa watu kama mwizi, kuona vile yule dada aliingia kwenye gari na kuelekea hospitalini kumuona mwanae. Huku nyuma Polisi walikuja na kumuokoa yule kijana lakini akiwa ameumizwa sana.

Alifika hospitalini na kumkuta binti yake akiwa katika hali mbaya, alikuwa akitakiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka ili kuokoa maisha yake, manesi walishamuandaa mtoto na alikuwa akisubiriwa Daktari ambaye alipigiwa simu na alikuwa njiani.

Wakati wakimsubiri Daktari, Nesi alikuja na kuwamabia kuwa, wampeleke hospitali nyingine kwani Daktari waliyekuwa wakimsubiri asingeweza kumfanyia upasuaji mtoto wao kwani alikuwa amepigwa na wananchi wakati akija hospitalini wakimuita mwizi.

Dada na mumewe walichanganyikiwa, mtoto kutokana na hali yake mbaya alichukuliwa harakaharaka na gari la wagonjwa ili kuhamishwiwa hospitalini nyingine. Wakati wanatoka kuelekea kwenye gari kulikuwa na gari ya Polisi inaingia.

Kijana mmoja akiwa hoi alishushwa, yule Dada alimtambua ni yule kijana ambaye alimuitia mwizi kule barabarani. Kwa hasira yule Dada alimuambia Mume wake.
“Huyu Kaka namfahamu ni kibaka tu alitaka kuniibia, ndiyo amenichelewesha kufika huku hospitalini!”

Nesi ambaye alikuwa akimsaidia kumpandisha mtoto katika gari la wagonjwa alimkatisha na kusema.
“Hapana Dada huyu kaka si kibaka, ni Daktari ambaye alipaswa kumfanyia upasuaji mwanao. Amepigwa wakati akikimbia kuja hospitalini, mimi ndiyo nimempigia simu kuja…”

Dada wawatu nguvu zilimuishia ilibidi anyamaze, walifika hospitali nyingine, mtoto alikuwa katika hali mbaya. Aliandaliwa na kuingizwa katika chumba cha upasuaji lakini kabla hajafanyiwa chochote yule mtoto alifariki.

Baada ya uchunguzi ilionekana damu ilishaingia kwenye ubongo. Wangeweza kuokoa maisha yake kama angefanyiwa upasuaji katika hospitali ya mwanzo, kule kusafirishwa tena na kurushwa rushwa barabarani kulisababisha damu kuendelea kuvuja kwa kasi ndani.

Yule dada alizimia baada ya kupata habari zile, maneno yake yalisababisha kuondoa maisha ya mwanae.

FUNZO
katika mwaka huu wa 2018 jitahidi na ujifunze kutomdharau mtu kutokana na hali yake kwani hujui ni kitu gani anaweza kukusaidia, hajalishi ni mtoto au mkubwa. Hivyo hata wahenga walituchia maneno matamu sana hivyo Muungwana blog inakukumbusha ya kwamba heshima ni kitu cha bure.
 
Hii sio kweli, Wasukuma sio wachawi, bali wanauchukia mno uchawi mpaka mtu akituhumiwa tuu kwa uchawi, huuliwa. Kesi ya Mauji Mwanza na Shinyanga, ni uthibitisho wa chuki ya Wasukuma dhidi ya vitendo vya uchawi.



Tabia mbaya za Wasukuma, ungesema

1. kupenda wanawake weupe matokeo yake wanapenda zaidi ya mwanamke mmoja.

2. Kuwa na moyo wa upendo kupindukia, matokeo yake mioyo yao inakudondokea, hawaoni, hawasikii.

3. Wana roho nzuri kuvuka mipaka, matokeo yake ni watu wa kutumia, mwaga offa na kuhonga sana, hivyo kupata maendeleo kidogo.

4. Wanapenda sana lile somo kupindukia, matokeo yake, wewe kama ni mwanamke, ameolewa na Msukuma chapa ng'ombe, 'rigwaride rinaweza kumshinda'.

5. Wanawake wa Kisukuma, hawana wivu, hali inaopelekea kuwaachia waume zao kujivinjari watakavyo.

6. Wanapenda kufurahi sana, matokeo yake hupenda sana starehe, kujirusha, na kilaji

7. Hawajali, ni ma don't care, matokeo yake wakilewa lazima waimbe, wakiimba lazima wapige kelele ambazo hugeuka bugudha kwa wenzao.

Mazuri yao.

Ni kabila linaloongoza kwa watu wenye roho nzuri Tanzania, wanaume wanaaongoza kwa kupenda, wanajua kuoa tuu, kuacha hawajui labda waachwe wao, na wanawake wanaaoongoza kwa uvumilivu, kushindia maji, kulala njaa na huku hawana wivu, Wasukuma wanaongoza!

Paskali a.k.a Pascal Mayalla
 
Hii sio kweli, Wasukuma sio wachawi, bali wanauchukia mno uchawi mpaka mtu akituhumiwa tuu kwa uchawi, huuliwa. Kesi ya Mauji Mwanza na Shinyanga, ni uthibitisho wa chuki ya Wasukuma dhidi ya vitendo vya uchawi.



Tabia mbaya za Wasukuma, ungesema

1. kupenda wanawake weupe matokeo yake wanapenda zaidi ya mwanamke mmoja.

2. Kuwa na moyo wa upendo kupindukia, matokeo yake mioyo yao inakudondokea, hawaoni, hawasikii.

3. Wana roho nzuri kuvuka mipaka, matokeo yake ni watu wa kutumia, mwaga offa na kuhonga sana, hivyo kupata maendeleo kidogo.

4. Wanapenda sana lile somo kupindukia, matokeo yake, wewe kama ni mwanamke, ameolewa na Msukuma chapa ng'ombe, 'rigwaride rinaweza kumshinda'.

5. Wanawake wa Kisukuma, hawana wivu, hali inaopelekea kuwaachia waume zao kujivinjari watakavyo.

6. Wanapenda kufurahi sana, matokeo yake hupenda sana starehe, kujirusha, na kilaji

7. Hawajali, ni ma don't care, matokeo yake wakilewa lazima waimbe, wakiimba lazima wapige kelele ambazo hugeuka bugudha kwa wenzao.

Mazuri yao.

Ni kabila linaloongoza kwa watu wenye roho nzuri Tanzania, wanaume wanaaongoza kwa kupenda, wanajua kuoa tuu, kuacha hawajui labda waachwe wao, na wanawake wanaaoongoza kwa uvumilivu, kushindia maji, kulala njaa na huku hawana wivu, Wasukuma wanaongoza!

Paskali a.k.a Pascal Mayalla
Aiseeh
MBITIYAZA embu njoo huku mama
 
mungu Pombe
mungu Uke
mungu Nyama (BBQ).
Pascal Mayalla, MBITIYAZA, Nyani Ngabu,
walwa, nyoo Na nyama.
_____&&&_______________________________
1; mungu Pombe (walwa)
anatumika kwenye kutambika, anatumika kwenye kupatanisha waliokosana Na pia anatumika kuburudisha Na kuwafariji watu baada ya kazi ngumu za kutwa nzima.

2; mungu Uke (nyoo)
Anatumika kuzaa, kuburudisha Na kufurahisha. Kuondoa stress Na kuifanya Dunia kuwa Paradise ndogo. Fikirieni Dunia Bila mwanamke ingekuwa ukiwa kiasi gani.

3; mungu Nyama
Mambo hayaendi Bila finyango za nyama. iwe choma, rosti, ili mradi pembeni una mtoto mkali Na bapa la Konyagi.
Hayo ndio maisha ya ndugu zangu
Mkuu hapo ni miungu au Mungu,,yaan unathubutu kulitaja hili jina kimasihala hivi , Mungu uke duuuu noma sana
 
Back
Top Bottom