Miungu mitatu yenye nguvu

Nasikitika mleta mada hajaelewa maana ya mungu..ple sana
 
Bujibuji nilikuwa sikujui kumbe ngosha ulipotamka walwa, na nyoo
 
Nasikitika mleta mada hajaelewa maana ya mungu..ple sana
Mungu muumba jina lake linaandikwa kwa herufi M kubwa. miungu Na tumiungu tudogo (miungu ni wingi, umoja ni mungu) alitojufanyia mwanadamu tunaandikwa kwa herufi ndogo.
kumbukumbu la torati : Mlango 5

7 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
 
Kwa ufikiri huo kila kitu mtu akipendacho kitakua mungu.
Chochote anachokipenda zaidi kuliko umpendavyo Mungu Basi automatically kinageuka Na kuwa mungu wako. Ibrahim alimpenda sana mwanawe Isaac hata upendo ule ulizidi jinsi alivyompenda Mungu, ndipo Mungu akamwambia Ibrahim amchinje mwanaye kwasababu Mungu aliona Ibrahim alimpenda zaidi mwanaye kuliko anavyompenda Mungu. Tukisema Aya ya tano utaona Mungu amesema yeye ni Mungu mwenye wivu
 
Niyo guku!!! Uko sawasawa ngosha
 
Wanyantuzu kama Nyani Ngabu, @beira baby boy na Pascal Mayalla wanajifariji tu. Utajiri wa Usukumani unaliwa na watu wa nje
 
Mkuu hapo ni miungu au Mungu,,yaan unathubutu kulitaja hili jina kimasihala hivi , Mungu uke duuuu noma sana
Tofautisha Mungu na mungu! Mbona jamaa kaandika mungu uke?
 
Yesu fukuza mashetani haya yanayoitwa miungu
 
Mkuu bujibuji no1 kuna ukweli kwa %nyingi. Sisi wachagga hapo ndio petu.
 
Kwa kweli hawajali. Fikiria unamwona rafiki yako Ngosha kafungwa pingu na anasindikizwa na askari. Ukimuuliza "vipi Ngosha?“, jibu lake ni "doho tabhu, doho shida".
 
Sebha walwa
Sebha nyoo

kinehe usebha mabholo na madouma? Ateho umwene?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…