Duuh kwa hyo jamaa katufanyia punguzo la 450,000Juzi nilipita pale mlimani city kuna duka moja lipo karibu na mlango wa kutokea mkono wa kulia nikawaonesha hizi picha wakaniambia fremu pamoja na lens yake ni laki 5 cash...
Sasa boss naomba unieleze why wale jamaa pale mlimani wauze ghali tofouti na wewe ama zina utofouti? Maana nilimuonesha picha zako hizi hizi...
Juzi nilipita pale mlimani city kuna duka moja lipo karibu na mlango wa kutokea mkono wa kulia nikawaonesha hizi picha wakaniambia fremu pamoja na lens yake ni laki 5 cash...
Sasa boss naomba unieleze why wale jamaa pale mlimani wauze ghali tofouti na wewe ama zina utofouti? Maana nilimuonesha picha zako hizi hizi...
Duuh kwa hyo jamaa katufanyia punguzo la 450,000
Ina vitu vya ziada, hii ni Photochromic ina uwezo wa kuzuia hadi mwanga wa jua kali kwa kubadilika rangi na kuwa nyeusi pale tu unapopigwa na mwanga mkali.Mbona Anti blue light zipo hadi 25k au hiyo unayouza ina ubora zaidi?
Yeah hiyo ipo naona baadhi ya maeneo inapatikana hadi kwa 35kIna vitu vya ziada, hii ni Photochromic ina uwezo wa kuzuia hadi mwanga wa jua kali kwa kubadilika rangi na kuwa nyeusi pale tu unapopigwa na mwanga mkali.
Jibu liko dhahiri kuwa ulipaniki. Mjasiriamali lazima ujue kudeal na wateja tofauti tofauti.Hapana viongozi nilirelax wakati najibu hilo swali nikijua ataniletea ushahidi kuwa kuna sehemu amepata kwa rahisi, na mimi nilimtega kusudi wala sikuwa nimepaniki.
Mkuu mbona kama una hasira za haraka?!
je nikija na tochi ya mwanga wa blue itazuia usitokee au usipitilize.....kwa sababu kinachoumiza macho ni blue rays hasa kwenye vifaa vya bei nafuu vya kichina.....simu na tvNOTE: Hizi ni goggles hazina lenzi na hazina athari yoyote na macho
______________________
_______________________
- Miwani hii ni maalum kwa ajili ya kuzuia mionzi mikali itokanayo na KOMPYUTA, SIMU pamoja na TV.
- Kama wewe ni muathirika wa tatizo hili utaona dalili mbaya kama zifuatazo:
- Kichwa kuuma chenyewe, macho kutoa machozi, macho kuuma kila unapotumia KOMPYUTA, SIMU au TV.
- Ukiona dalili hizo jua unaathiriwa na mionzi mikali ya kompyuta.
Napatikana: DAR ES SALAAM, duka lipo Kinondoni Studio
________________________
BEI: Tshs. 50,000
Tuwasiliane: 0659-358-599
_______________________
MIKOANI tunatuma kwa njia salama na ya uhakika ya magari, haujawahi kupotea mzigo wa mtu katika mikono yetu.
Mikoani tunatuma kwa njia salama ya magari.
Inazuia nakuhakikishia, ndio miwani ambayo naitumia hata ofisini kwangu. Ni ya uhakika sana.je nikija na tochi ya mwanga wa blue itazuia usitokee au usipitilize.....kwa sababu kinachoumiza macho ni blue rays hasa kwenye vifaa vya bei nafuu vya kichina.....simu na tv
Hapana mkuu, sijawahi kuwa na hasira niko sawa kabisa.Mkuu mbona kama una hasira za haraka?!
Au biashara mbaya? Vumilia mkuu hali ni mbaya kote hata mimi muuza majeneza biashara sio nzuri kabisa msimu huu!