Miwivu waliosema SGR ya Kenya ni white Elephant, tazameni hapa kwa makini

Miwivu waliosema SGR ya Kenya ni white Elephant, tazameni hapa kwa makini

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Serikali tukufu la jamhuri ya Kenya imetangaza kuwa mizigo inayokwenda Nairobi haitakanyaga ardhi ya Mombasa. Mizigo ya Nairobi itakuwa inapakiwa kwenye train na kufika Nairobi hiyo hiyo siku. Hii ni tofauti na hapo awali ambapo mizigo inayokwenda Nairobi ilikuwa inashushwa Mombasa na kukaa hapo kwa siku tatu. Sasa mizigo inafika Mombasa leo asubuhi na jioni ishafika Nairobi. Hakuna kupoteza muda kwa port. LDC mjifunze kitu hapo
 

Attachments

  • 315415_2e3c8ecf179b84098da2c035e5774ca5.jpg
    315415_2e3c8ecf179b84098da2c035e5774ca5.jpg
    126.2 KB · Views: 41
A shanty multi billion infrastructure, when evaluate the real thing and the actual money used is like heaven and hell, of course it's going to nowhere 😁😁😁😁😁 machakani 😢

We have nothing to take a serious note from this scam thank you.
 
Safi sana, yaani hapa tunachukua hata Tanzania kaskazini na kanda ya ziwa.
 
Hakuna jipya la kujifunza hapa. Hiyo ni kwa local imports unaongelea. Sasa Nairobi hakuna bandari. Dar kama business city kuna bandari. Mzigo unashuka melini usiku, asubuhi una clear unapeleka ghalani. Halafu mko lazy sana, local import mnapewa Siku 21 ndio mzigo unaenda bonded customs? Huku ni Siku 14 tu mkuu... Tanzania ni mlango wa nchi nyingi kuliko Kenya.
 
A shanty multi billion infrastructure, when evaluate the real thing and the actual money used is like heaven and hell, of course it's going to nowhere 😁😁😁😁😁 machakani 😢
We have nothing to take a serious note from this scam thank you.
wivu
 
Hakuna jipya la kujifunza hapa. Hiyo ni kwa local imports unaongelea. Sasa Nairobi hakuna bandari. Dar kama business city kuna bandari. Mzigo unashuka melini usiku, asubuhi una clear unapeleka ghalani. Halafu mko lazy sana, local import mnapewa Siku 21 ndio mzigo unaenda bonded customs? Huku ni Siku 14 tu mkuu... Tanzania ni mlango wa nchi nyingi kuliko Kenya.
RUN!! they're coming after you..
 
Serikali tukufu la jamhuri ya Kenya imetangaza kuwa mizigo inayokwenda Nairobi haitakanyaga ardhi ya Mombasa. Mizigo ya Nairobi itakuwa inapakiwa kwenye train na kufika Nairobi hiyo hiyo siku. Hii ni tofauti na hapo awali ambapo mizigo inayokwenda Nairobi ilikuwa inashushwa Mombasa na kukaa hapo kwa siku tatu. Sasa mizigo inafika Mombasa leo asubuhi na jioni ishafika Nairobi. Hakuna kupoteza muda kwa port. LDC mjifunze kitu hapo
Thanks to sgr Mombasa is now so so near Nairobi than ever..Tumetoka mbali
 
Serikali tukufu la jamhuri ya Kenya imetangaza kuwa mizigo inayokwenda Nairobi haitakanyaga ardhi ya Mombasa. Mizigo ya Nairobi itakuwa inapakiwa kwenye train na kufika Nairobi hiyo hiyo siku. Hii ni tofauti na hapo awali ambapo mizigo inayokwenda Nairobi ilikuwa inashushwa Mombasa na kukaa hapo kwa siku tatu. Sasa mizigo inafika Mombasa leo asubuhi na jioni ishafika Nairobi. Hakuna kupoteza muda kwa port. LDC mjifunze kitu hapo
Hahahaha, maana ya "White elephant project", huijui au unapotosha kwa makusudi ili kujipa MOYO baada ya kugundua kwamba wachina wamewaingiza machakani.

Kwa ufupi SGR yenu hakuna mfanyabiashara anayetaka kuitumia kutokana na gharama kubwa za usafirishaji ukilinganisha na usafiri wa barabara. Serikali ya Kenya inalazimisha wafanyabiashara kuitumia kwa lazima, WFP wameamua kuikimbia Mombasa port na kutumia Dar kusafirisha mizigo kwenda Kampala na South Sudan kwa sababu hiyo hiyo.

Wateja watakao baki kutumia Mombasa port ni wale Wateja wa ndani ambao watakuwa hawana " alternative". Ona Wateja wakubwa kama hawa hawataki kutumia "white elephant" lenu.
 
Mkishamaliza ku order vichwa na mabeha njooni tuwapigie hesabu tuone mlivyopigwa na mturuki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
A shanty multi billion infrastructure, when evaluate the real thing and the actual money used is like heaven and hell, of course it's going to nowhere [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] machakani [emoji22]

We have nothing to take a serious note from this scam thank you.
 
Heheheee!!!habari za vijiweni kaa nazo..sgr lini umeskia imesafiri empty mombasa nairobi...m.r ali kujua...hujambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha, maana ya "White elephant project", huijui au unapotosha kwa makusudi ili kujipa MOYO baada ya kugundua kwamba wachina wamewaingiza machakani.

Kwa ufupi SGR yenu hakuna mfanyabiashara anayetaka kuitumia kutokana na gharama kubwa za usafirishaji ukilinganisha na usafiri wa barabara. Serikali ya Kenya inalazimisha wafanyabiashara kuitumia kwa lazima, WFP wameamua kuikimbia Mombasa port na kutumia Dar kusafirisha mizigo kwenda Kampala na South Sudan kwa sababu hiyo hiyo.

Wateja watakao baki kutumia Mombasa port ni wale Wateja wa ndani ambao watakuwa hawana " alternative". Ona Wateja wakubwa kama hawa hawataki kutumia "white elephant" lenu.
 
Safi sana, yaani hapa tunachukua hata Tanzania kaskazini na kanda ya ziwa.
Your dreaming? Perhaps mchukue UG kwa Wanyankole not Tanzania we have everything na vingine nyinyi hamna
 
The project is on it's deathbed ndio maana you use dictatorial approach to save the already failed con
Mkishamaliza ku order vichwa na mabeha njooni tuwapigie hesabu tuone mlivyopigwa na mturuki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kenya does not have free trade, why are you forcing people to use SGR while they don't want to? 😅😅😅😅 Hii con itawapeleka the Hague
 
The project is on it's deathbed ndio maana you use dictatorial approach to save the already failed con

Kenya does not have free trade, why are you forcing people to use SGR while they don't want to? 😅😅😅😅 Hii con itawapeleka the Hague
No one is been forced to use Sgr get you facts right.
 
Back
Top Bottom