Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 999
- 1,683
Wadau mpaka sasa nasikia CCM imeshachukua majimbo nane
Wanaenda Bungeni kumsifu na kumuabudu Mtukufu Yesu wa Lugola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau mpaka sasa nasikia CCM imeshachukua majimbo nane
Nyie wawili mnajuana mimi siwaingilii mambo yenuWanaenda Bungeni kumsifu na kumuabudu Mtukufu Yesu wa Lugola
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma kimepita bila kupingwa katika vijiji, mitaa na vitongoji 3,905 kati ya 4,032 vilivyopo sawa na asilimia 96.85.Wengine wanaingia gharama kwa ajili ya fasheni tu,wekeza pale mfuko wako unapokuruhusu; kama unataka mwanao aje kuwa Director wa World bank pambania huko upande wa pili, mwanzo mpaka mwisho; na akasome mojawapo ya vyuo (top 10 ) vinavyotambulika huko duniani.
Equation x huyu jamaa yako angegombea udiwani CCM angefaa sanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma kimepita bila kupingwa katika vijiji, mitaa na vitongoji 3,905 kati ya 4,032 vilivyopo sawa na asilimia 96.85.
Long live JPM Rais bora africa na dunia kwajumla.kwa kuishinda corona.Primary school ndo msingi
Amen...Long live JPM Rais bora africa na dunia kwajumla.
Mkuu, una maana kuanzia chekechea mpaka form 4 (12 years) yote katika private schools?...Hivi imekaaje mtoto anasoma private hadi form 4
Jambo la kwanza la msingi ni mtoto kujua kiingereza mkuu.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu watanzania;
Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini? Primary Level au Secondary Level?
View attachment 1527163
Ninapoongelea mzazi wa kipato cha chini kwenye muktadha huu nina maana kwamba ni yule ambaye anatamani mtoto wake asome katika Private School ila hawezi kumudu gharama za kuanzia darasa la kwanza mpaka form six. Yeye anaweza kumudu Level moja tu baaas.
Kama mtoto atasoma primary level katika Private School basi secondary level atasomea katika shule ya Serikali na vice versa.
Kuna jirani yangu nipo nae hapa anadai ni bora mtoto aanzie elimu ya msingi katika Private School ili apate msingi bora wa lugha ya kiingereza hata akienda secondary anaelewa masomo kwa ufasaha.
View attachment 1527164
Classmate wangu Beautiful Nkosazana yeye alikuwa anadai eti ni bora mtoto akaanza Primary Level katika shule ya serikali ili akienda Secoary katika Private School anakuwa tayari amekomaa vema kiakili na anaweza kujimudi.
HII IMEKAA VP NDUGU ZANGU?
WEWE UNANISHAURIJE KAKA/DADA YANGU?
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Sawa...Jambo la kwanza la msingi ni mtoto kujua kiingereza mkuu.
Rais Magufuli ameweka rekodi ya kupeleka umeme kila kijiji Tanzania Hii haijawahi kutokea kwa Africa Ahsante Magufuli kwa kuwatumikia Watanzania.Hivi imekaaje mtoto anasoma private hadi form 4 anaenda government form 5 & 6 akiomba mkopo ananyimwa?
Hakika...Rais Magufuli ameweka rekodi ya kupeleka umeme kila kijiji
Njoo CCM au wewe ndio wale ambao hawana vyama?Hakika...
Sawa...Hakikisha anajua kiingereza kwa kila hali kabla hajafika sekondari.
Umemaliza mkuu🤝Shule ya msingi asome private. Ukiangalia syllabus za primary private zinacover secondary Kwa asilimia zaidi ya 70. Mtafute alie darasa la sita mpe paper za form 2, civics,geography, English, biology uone atakachotenda. Pia secondary hapambani kukariri, lugha anaijua hivyo masomo hayawi magumu sana kwake
Good. Ngoja tupate mawazo ya wengine pia mkuu.Umemaliza mkuu🤝
Naaam boss...Sekondari sio sehemu ya kujua kiingereza,sekondari ni sehemu unayotakiwa uchambue mambo yaani ukifika sekondari logically inatakiwa kiingereza iwe tayari ni lugha yako tokea zamani sana.
Wapinzani wanokosa adabu wanapotaka kujilinganisha na Rais Magufuli. Huyu JP Magufuli ana uwezo mkubwa sana ujue?Umemaliza mkuu🤝