Mixed Education System: Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini?

Mixed Education System: Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini?

Wengine wanaingia gharama kwa ajili ya fasheni tu,wekeza pale mfuko wako unapokuruhusu; kama unataka mwanao aje kuwa Director wa World bank pambania huko upande wa pili, mwanzo mpaka mwisho; na akasome mojawapo ya vyuo (top 10 ) vinavyotambulika huko duniani.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma kimepita bila kupingwa katika vijiji, mitaa na vitongoji 3,905 kati ya 4,032 vilivyopo sawa na asilimia 96.85.
 
Hivi imekaaje mtoto anasoma private hadi form 4 anaenda government form 5 & 6 akiomba mkopo ananyimwa?
 
Primary nilisoma private - riverside ipo mbeya

secondary nlisoma private - pandahill ipo mbeya

Form 5 na 6 nikasoma private ya chama cha wazazi - Sangu ipo mbeya

Chuo nikasoma chuo cha uhasibu arusha cha serikali - I.A.A

Englisha ilinibeba tangu primary nlisoma bila kukariri, Na kwa kweli kulikuwa kuna watu waliosoma kwa kukariri walifaulu kuzidi mimi ila ukiwaambia wakuelekeze unagundua wamekariri tu.

Yote kwq yote kama pesa ipo peleka mtoto private sema ziwe ngangari kidogo zisiwe za kulea watoto kama mayai
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini? Primary Level au Secondary Level?

View attachment 1527163

Ninapoongelea mzazi wa kipato cha chini kwenye muktadha huu nina maana kwamba ni yule ambaye anatamani mtoto wake asome katika Private School ila hawezi kumudu gharama za kuanzia darasa la kwanza mpaka form six. Yeye anaweza kumudu Level moja tu baaas.

Kama mtoto atasoma primary level katika Private School basi secondary level atasomea katika shule ya Serikali na vice versa.

Kuna jirani yangu nipo nae hapa anadai ni bora mtoto aanzie elimu ya msingi katika Private School ili apate msingi bora wa lugha ya kiingereza hata akienda secondary anaelewa masomo kwa ufasaha.

View attachment 1527164

Classmate wangu Beautiful Nkosazana yeye alikuwa anadai eti ni bora mtoto akaanza Primary Level katika shule ya serikali ili akienda Secoary katika Private School anakuwa tayari amekomaa vema kiakili na anaweza kujimudi.

HII IMEKAA VP NDUGU ZANGU?

WEWE UNANISHAURIJE KAKA/DADA YANGU?

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Jambo la kwanza la msingi ni mtoto kujua kiingereza mkuu.

Hakikisha anajua kiingereza kwa kila hali kabla hajafika sekondari.

Sekondari sio sehemu ya kujua kiingereza,sekondari ni sehemu unayotakiwa uchambue mambo yaani ukifika sekondari logically inatakiwa kiingereza iwe tayari ni lugha yako tokea zamani sana.

Sasa wazazi wengi wanadharau hili,mtoto anaenda shule anakariri tu ukimuuliza swali la kawaida tu ambalo anatakiwa atumie concept ya topic fulani basi anaona maneno mageni anakosa swali.

Mfano kuna mtihani uliulizwa wa biology,kwamba familia ilihama kutoka mikoa ya baridi kwenda mikoa ya joto kali,ilipofika mikoa ya joto kali ikawa inakojoa kidogo sana ile familia.

Wakaona ni ugonjwa bwana wakaenda kwa dokta,je sababu ya wao kukojoa kidogo kwenye mikoa ya joto kali ni ipi ?

Sasa hapa mwanafunzi kama anakariri tu ataangukia pua,hawezi kujibu hili swali katu kwa sababu shida ya kukariri usitolewe swali nje ya vile ulivyo kariri.

Mzazi ahakikishe mwanae anaongea kiingereza na kukiandika na kuelewa kabla hajafika hata darasa la sita au la saba hivi.

Kwa sababu kwa mujibu wa utafiti nilioifanya mdogo ni kuwa vichwa wa darasani wanakuwa wanajua kiingereza na wanaelewa wanachosoma.

Japokuwa kiingereza pekee hakikufanyi uwe moja kwa moja unaongoza masomo.

Yaani kiingereza na juhudi na motivation iwepo pia pamoja na kumuambia mtoto achague anataka kuwa nani kwa mujibu wa anavyosoma.
 
Hivi imekaaje mtoto anasoma private hadi form 4 anaenda government form 5 & 6 akiomba mkopo ananyimwa?
Rais Magufuli ameweka rekodi ya kupeleka umeme kila kijiji Tanzania Hii haijawahi kutokea kwa Africa Ahsante Magufuli kwa kuwatumikia Watanzania.
 
Mimi msimamo wangu siku zote elimu ya msingi ifundishwe kwa Kiingereza ili kuwe na coordination ya lugha na levels zingine za elimu. So ushauri wangu elimu ya msingi mtoto asome private.
 
Shule ya msingi asome private. Ukiangalia syllabus za primary private zinacover secondary Kwa asilimia zaidi ya 70. Mtafute alie darasa la sita mpe paper za form 2, civics,geography, English, biology uone atakachotenda. Pia secondary hapambani kukariri, lugha anaijua hivyo masomo hayawi magumu sana kwake
Umemaliza mkuu🤝
 
Back
Top Bottom