Miyeyusho: Kwa hii speed ya tigo kuna mtu anaefaidi internet yao?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Hawa jamaa naona ni zaidi ya miyeyusho, kwa kipindi kirefu hawataki kubadilika.

Na hapa ni jioni tu, ukitaka kuijua speed ya kobe subiri ifike saa mbili usiku.

 
Bongo mtandao ni mmoja tu nao ni TiGO ~ Live it Love it

unless unakaa Maeneo ya vijijini

Kweli kwa mitandao ya 4G Tigo hana mpinzani kwenye spidi ya Internet yake, hii ninaongelea kwa experience yangu hapa ninapoishi (Kama mtoa mada anavyoongelea eneo lake analoishi).

Kwenye peak hours (muda ambao watu wengi wametoka maofisini na wapo majumbani wanatumia Internet kwenye simu zao, tuseme kuanzia saa 12 jioni hadi saa 4 usiku hivi) internet ipo vizuri na inacheza kwenye 30mbps hadi 40 mbps


Kwenye mida ya kawaida wasipokuwepo watu wengi tuseme usiku wa manane hadi mida ya saa 10 jioni tunacheza 60 mbps kukaribia 90 mbps.

 
Tigo wapo slowslow kama wale jamaa wa upinde 😁

Tigo haina tofauti na mashabiki wa NATO
 
Nahisi kasi ya hii mitandao inadepend pia na location, mfano nimewahi kukaa Arusha mjini nikawa natumia line ya Airtel ilikua na kasi kama ya 5G wakati ilikua 2019 tu iyo, unagusa tu unateleza.

Kwa sasa nishafanya tathmini yangu mwenyewe baada ya kutumia mitandao yote ya simu hapa nchini ila Tigo hawana mpinzani kwenye suala la Internet na wala sio wezi, inshort wamenyooka haswaa.!!

TiGo
Live it Love it
 
Au Tigo wamejikita mjini huku Ruvuma mbona makandokando sana[emoji16]
 
Tigo mnayoizungumzia ni mtandao huu wa Tz au kuna mwingine?
Binafsi tigo kwangu iko slow Sana yani hata sasahvi ni 0.0kbs et 4g
Tigo hakuna kitu na mmi niko mjini centre kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…