halfcastmangi
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 605
- 1,644
Kuna suala linawaumiza kichwa sana madereva walio wengi wanaondesha vyombo vya moto vyenye uzito kuanzia tani 3.5 au zaidi,
Labda nianze kwa kusema mizani mingi sana Tanzania iliwekwa sensa na foleni ktk mizani kwa kiasi kikubwa ilipungua, ila baada ya kifo cha mpendwa wetu Hayati Magufuli shida imerudi tena kubwa, foleni kubwa hata gari ikiwa na nusu ya uzito taa inawaka gari iingie mizani, hata saa ingine ikiwa haina mzigo taa inawaka iingie mizani, inaudhi sana.
Sasa swali ni hili, kama serikali iliwekeza fedha nyingi katika mizani kwanini wananchi wateseke? Kuna mizani sugu na ina sensa, vigwaza, tanangozi, mpemba na mingine wadau wataongezea.
Waziri mwenye dhamana, tunaomba fuatilia hili kwa usiri, pana rushwa kali sana ktk mizani. Kuzimwa taa ya sensa na kadhalika.
Labda nianze kwa kusema mizani mingi sana Tanzania iliwekwa sensa na foleni ktk mizani kwa kiasi kikubwa ilipungua, ila baada ya kifo cha mpendwa wetu Hayati Magufuli shida imerudi tena kubwa, foleni kubwa hata gari ikiwa na nusu ya uzito taa inawaka gari iingie mizani, hata saa ingine ikiwa haina mzigo taa inawaka iingie mizani, inaudhi sana.
Sasa swali ni hili, kama serikali iliwekeza fedha nyingi katika mizani kwanini wananchi wateseke? Kuna mizani sugu na ina sensa, vigwaza, tanangozi, mpemba na mingine wadau wataongezea.
Waziri mwenye dhamana, tunaomba fuatilia hili kwa usiri, pana rushwa kali sana ktk mizani. Kuzimwa taa ya sensa na kadhalika.