Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuruuu sana ndugu yangu kwa kujipendekeza.ni jambo jema sana na heshima kubwa kwangu hata kama umeandika kwa utani lakini Nashukuruuu sana.Maana humu tupo wengi lakini umenipa heshima hiyo mimi.asante sana .Kiongozi mbona tumependekeza jina lako halafu Kama unatukataa vile
GENTAMYCINE huyu kiongozi aliomba kuelimishwa siyo kwamba alikuwa anabisha hoja yakoNaomba kuelimishwa
Kauliza tu Kinafiki na ndiyo maana sijamchelewesha na nimempa Dozi yake.GENTAMYCINE huyu kiongozi aliomba kuelimishwa siyo kwamba alikuwa anabisha hoja yako
Ila eneweyi Lucas Mwashambwa anafaa kuchukua kiti
Hakuna nilipochanganya mambo hayo .Unachanganya Urais na uenyekiti wa chama
Sasa hapa upo wapi uchawa ndugu yangu mtanzania uliyechanganyikiwaShida kubwa nchi hii ni haya majitu majinga manafiki yanjiita machawa siku watu wakiwa wakweli wakaacha upuuzi wa uchawa hii nchi ina watu wa kuiongoza wengi
Basi kiongozi naona na me naelekea kupewa dozi😆😆😆Kauliza tu Kinafiki na ndiyo maana sijamchelewesha na nimempa Dozi yake.
Hata Mheshimiwa Mizengo Pinda ni MsomiKatiba yenu..HAISTAAFISHI ?. tengeneza DAMU Mpya...KABUDI anatosha msomi mwenye macho makubwa..muongo kiasi na chawa kiasi Ila msomi mjanja mjanja
Na kwa maoni yangu naona Mheshimiwa Mizengo Pinda atafaa sana kumsaidia Mama. Au unasemaje britanicca? Naomba maoni na mawazo yako.Hapa watu wa kumsaidia hawatakiwi Tena kuwa tishio !
Katibu mkuu ndo uwa kila kitu ndani ya CCM hawa Wengine nje ya mwenyekiti ni mashati tu
Britanicca
Pinda ni kati ya viongozi very humble hana Makuu. Na ni mchukia rushwaNa kwa maoni yangu naona Mheshimiwa Mizengo Pinda atafaa sana kumsaidia Mama. Au unasemaje britanicca? Naomba maoni na mawazo yako.
Ni mshauri wa Rais masuala ya siasa.Lukuvi vipi?