Mizengo Pinda anazunguka mikoani akifanya mikutano kama nani ?

Mizengo Pinda anazunguka mikoani akifanya mikutano kama nani ?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huyu Mzee ni miongoni mwa viongozi niliowaheshimu sana , hasa ule uwezo wake wa kujibu maswali alipokuwa TAMISEMI , lakini sasa naanza kudhani labda ile heshima nilimpa kimakosa , maana sasa ameamua mwenyewe kutukwaza wote tuliomheshimu.

Anazurula kwenye mikoa na majimbo kuhangaikia ccm huku akifahamu ukandamizaji mkubwa wa demokrasia na haki za kidemokrasia , anafahamu kwamba kuna katazo la kinyama la kuzuia wanasiasa wa upinzani majukwaani , anafahamu kwamba yeye mwenyewe hana jimbo lakini anashiriki uchafuzi wa akina Humphrey Polepole huku akiiweka kando heshima yake kwa jamii , je amelogwa ?

Nikuambie tu mzee wangu Pinda umeamua kuwachokoza wananchi , sasa wakiamua kujibu mapigo usimlilie mtu , endelea na mipango yako

Umeelewa nini kwenye kibonzo hiki na @masoudkipanya.jpg
 
Badala ya kupambania haki yako huko kuzunguka na kuzungumza unapambana ili mwenzako naye azuiwe muwe sawa.
Ndio maana mimi ninawaogopa zaidi madikteta ambao bado hawana madaraka.
tumemtahadharisha makusudi asije kuleta lawama , akiwa kiongozi hakuwahi kutegemea polisi , lakini sasa inaonekana anachanganyika na wategemea polisi .
 
Back
Top Bottom