Mizengo Pinda anazunguka mikoani akifanya mikutano kama nani ?

Mizengo Pinda anazunguka mikoani akifanya mikutano kama nani ?

Huku zitto huku pinda nadhani wana ajenda ya pamoja
Huyu Mzee ni miongoni mwa viongozi niliowaheshimu sana , hasa ule uwezo wake wa kujibu maswali alipokuwa TAMISEMI , lakini sasa naanza kudhani labda ile heshima nilimpa kimakosa , maana sasa ameamua mwenyewe kutukwaza wote tuliomheshimu.

Anazurula kwenye mikoa na majimbo kuhangaikia ccm huku akifahamu ukandamizaji mkubwa wa demokrasia na haki za kidemokrasia , anafahamu kwamba kuna katazo la kinyama la kuzuia wanasiasa wa upinzani majukwaani , anafahamu kwamba yeye mwenyewe hana jimbo lakini anashiriki uchafuzi wa akina Humphrey Polepole huku akiiweka kando heshima yake kwa jamii , je amelogwa ?

Nikuambie tu mzee wangu Pinda umeamua kuwachokoza wananchi , sasa wakiamua kujibu mapigo usimlilie mtu , endelea na mipango yako

View attachment 1051342
 
Huyu Mzee ni miongoni mwa viongozi niliowaheshimu sana , hasa ule uwezo wake wa kujibu maswali alipokuwa TAMISEMI , lakini sasa naanza kudhani labda ile heshima nilimpa kimakosa , maana sasa ameamua mwenyewe kutukwaza wote tuliomheshimu.

Anazurula kwenye mikoa na majimbo kuhangaikia ccm huku akifahamu ukandamizaji mkubwa wa demokrasia na haki za kidemokrasia , anafahamu kwamba kuna katazo la kinyama la kuzuia wanasiasa wa upinzani majukwaani , anafahamu kwamba yeye mwenyewe hana jimbo lakini anashiriki uchafuzi wa akina Humphrey Polepole huku akiiweka kando heshima yake kwa jamii , je amelogwa ?

Nikuambie tu mzee wangu Pinda umeamua kuwachokoza wananchi , sasa wakiamua kujibu mapigo usimlilie mtu , endelea na mipango yako

View attachment 1051342
Me nimemuona Manyara akiwa kama mlezi wa chama wa mkoa. Huko mikoa mingine sijui.

Mbinguni hakuna bia.
 
Huyu Mzee ni miongoni mwa viongozi niliowaheshimu sana , hasa ule uwezo wake wa kujibu maswali alipokuwa TAMISEMI , lakini sasa naanza kudhani labda ile heshima nilimpa kimakosa , maana sasa ameamua mwenyewe kutukwaza wote tuliomheshimu.

Anazurula kwenye mikoa na majimbo kuhangaikia ccm huku akifahamu ukandamizaji mkubwa wa demokrasia na haki za kidemokrasia , anafahamu kwamba kuna katazo la kinyama la kuzuia wanasiasa wa upinzani majukwaani , anafahamu kwamba yeye mwenyewe hana jimbo lakini anashiriki uchafuzi wa akina Humphrey Polepole huku akiiweka kando heshima yake kwa jamii , je amelogwa ?

Nikuambie tu mzee wangu Pinda umeamua kuwachokoza wananchi , sasa wakiamua kujibu mapigo usimlilie mtu , endelea na mipango yako

View attachment 1051342
Kwani alishapona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Mzee ni miongoni mwa viongozi niliowaheshimu sana , hasa ule uwezo wake wa kujibu maswali alipokuwa TAMISEMI , lakini sasa naanza kudhani labda ile heshima nilimpa kimakosa , maana sasa ameamua mwenyewe kutukwaza wote tuliomheshimu.

Anazurula kwenye mikoa na majimbo kuhangaikia ccm huku akifahamu ukandamizaji mkubwa wa demokrasia na haki za kidemokrasia , anafahamu kwamba kuna katazo la kinyama la kuzuia wanasiasa wa upinzani majukwaani , anafahamu kwamba yeye mwenyewe hana jimbo lakini anashiriki uchafuzi wa akina Humphrey Polepole huku akiiweka kando heshima yake kwa jamii , je amelogwa ?

Nikuambie tu mzee wangu Pinda umeamua kuwachokoza wananchi , sasa wakiamua kujibu mapigo usimlilie mtu , endelea na mipango yako

View attachment 1051342
Analisha mtoto wa mwenzake, wakati mtoto wake anakufa kwa njaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ukimchukia Mzee Pinda ambaye tena ni Waziri Mkuu Mstaafu nchini atapungukiwa na nini? Hivi Wewe una Hadhi gani au ipi Kwake hadi udhani kuwa kwa Kumchukia Kwako Wewe au Kumdharau basi ndiyo halalisho la kwa Watanzania wote tuliopo hapa ndani na nje? CCM ndiyo Chama Tawala na Chama Dola pia hivyo sioni tatizo kwa Mzee Pinda kupita huku na kule Kukijenga Chama cha Mapinduzi huku akihimiza Maendeleo na Kukiongezea Ushawishi zaidi. Subiri nawe Chama chako Kikipata dhamana ya Kuwaongoza Watanzania labda hapo mwaka wa 9000 ndipo mtakuja kuyafanya hayo ambayo Wewe na Wenzako mnayaota ila kwa sasa CCM ndiyo Serikali na Serikali ndiyo CCM halafu hata Mzee Pinda nae ni CCM na bado ' Kiitifaki ' ni Mtu wa Serikali vile vile. Tumewachokeni sasa Wapinzani na Majungu, Upuuzi na Makelele yenu yasiyo na Mantiki, Tija wala Manufaa kwa nchi.
Hawa watu wanatakiwa watambue kuwa na heshima kwa viongozi waliopita,mizengo pinda alikuwa waziri mkuu tena alikuwa akifanya kazi zake vizuri,sidhani kama hatakiwi kutoa mchango wake eti kwa vile cheo chake hakipo kwa sasa.Yeye bado yupo ccm na bado ccm imeshika dola anahaki zote za kufanya hivyo.wapinzani muache chonganishi tafuteni point za kuwafanya watanzania wakawaelewa na sio kuleta maneno ya uchochezi.
 
Kwenye mkutano mkuu wa ccm wa kumchagua mgombea wake nafasi ya urais 2015 camera zilimnasa huyu Mzee akidondosha chozi baada ya matokeo kutangazwa. Je, chozi lile lilikuwa la furaha au huzuni?
 
Hana madhara huyu mzee sijui kama watu kwenye akili timamu wanaweza poteza muda kumsikiliza, amejaribu kufuga nyuki ameshindwa life limemgonga nae anaganga njaa kwenye chama.
 
2015 kwenye mchakato wa urais nasikia alikatwa kwenye kamati ya maadili. Hivi waziri mkuu kufyekelewa mbali kwenye kamati ya maadili manake nini!!
 
Mna oppose nini? ni vyama mbadala wa kuongoza nchi, maaana vyote hayo ndiyo malengo yao. Hili la kuikosoa serikali ni ujinga tu, mnamkosoa manyetaka atoke muingie nyie, kila siku atafanya marekebisho nyie mtaendelea kukaa nje na kuchungulia madirishani.
Opposition sio maana yake tu kupinga kwenye muktadha wa vyama vya siasa,maana hauwezi sema chama mbadala wakati kikishika nchi je kile cha mwanzo nacho kitakuwa mbadala wakati kilikuwa madarakani na kikaondolewa?
 
Back
Top Bottom