GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAVICHA bwana eti Mizengo hana future yoyote,wewe una futuer gani?ni kweli , lakini mbona tukizunguka tunakamatwa , huku mizengo pinda asiye na future yoyote akiachwa ?
Kanuni ya kidunia inasema ni lazima wazee wafe kabla ya vijanaBAVICHA bwana eti Mizengo hana future yoyote,wewe una futuer gani?
Ha ha haaa,kifo hakina kanuni wewe...!!!Kanuni ya kidunia inasema ni lazima wazee wafe kabla ya vijana
Huyu Mzee ni miongoni mwa viongozi niliowaheshimu sana , hasa ule uwezo wake wa kujibu maswali alipokuwa TAMISEMI , lakini sasa naanza kudhani labda ile heshima nilimpa kimakosa , maana sasa ameamua mwenyewe kutukwaza wote tuliomheshimu.
Anazurula kwenye mikoa na majimbo kuhangaikia ccm huku akifahamu ukandamizaji mkubwa wa demokrasia na haki za kidemokrasia , anafahamu kwamba kuna katazo la kinyama la kuzuia wanasiasa wa upinzani majukwaani , anafahamu kwamba yeye mwenyewe hana jimbo lakini anashiriki uchafuzi wa akina Humphrey Polepole huku akiiweka kando heshima yake kwa jamii , je amelogwa ?
Nikuambie tu mzee wangu Pinda umeamua kuwachokoza wananchi , sasa wakiamua kujibu mapigo usimlilie mtu , endelea na mipango yako
View attachment 1051342
Katiba hii inayosiginwa?Acha kumtisha wewe.... nawe si uzunguke kama unaweza, hilo si liko kikatiba?
Me nimemuona Manyara akiwa kama mlezi wa chama wa mkoa. Huko mikoa mingine sijui.Huyu Mzee ni miongoni mwa viongozi niliowaheshimu sana , hasa ule uwezo wake wa kujibu maswali alipokuwa TAMISEMI , lakini sasa naanza kudhani labda ile heshima nilimpa kimakosa , maana sasa ameamua mwenyewe kutukwaza wote tuliomheshimu.
Anazurula kwenye mikoa na majimbo kuhangaikia ccm huku akifahamu ukandamizaji mkubwa wa demokrasia na haki za kidemokrasia , anafahamu kwamba kuna katazo la kinyama la kuzuia wanasiasa wa upinzani majukwaani , anafahamu kwamba yeye mwenyewe hana jimbo lakini anashiriki uchafuzi wa akina Humphrey Polepole huku akiiweka kando heshima yake kwa jamii , je amelogwa ?
Nikuambie tu mzee wangu Pinda umeamua kuwachokoza wananchi , sasa wakiamua kujibu mapigo usimlilie mtu , endelea na mipango yako
View attachment 1051342
Mlezi wa CCM mkoa wa Manyara.anazunguka kama nani? yeye ni mwakilishi wa jimbo gani? juzi alikuwa mirerani anazurura zuruza
Anajiaibisha sana ! hakutakiwa kuwa sehemu ya uchafu wa awamu ya 5
Kwani alishapona?Huyu Mzee ni miongoni mwa viongozi niliowaheshimu sana , hasa ule uwezo wake wa kujibu maswali alipokuwa TAMISEMI , lakini sasa naanza kudhani labda ile heshima nilimpa kimakosa , maana sasa ameamua mwenyewe kutukwaza wote tuliomheshimu.
Anazurula kwenye mikoa na majimbo kuhangaikia ccm huku akifahamu ukandamizaji mkubwa wa demokrasia na haki za kidemokrasia , anafahamu kwamba kuna katazo la kinyama la kuzuia wanasiasa wa upinzani majukwaani , anafahamu kwamba yeye mwenyewe hana jimbo lakini anashiriki uchafuzi wa akina Humphrey Polepole huku akiiweka kando heshima yake kwa jamii , je amelogwa ?
Nikuambie tu mzee wangu Pinda umeamua kuwachokoza wananchi , sasa wakiamua kujibu mapigo usimlilie mtu , endelea na mipango yako
View attachment 1051342
anaumwa nini mkuu
Kama mkosaji wa ile dhambi ya wapigwe tu. Ko anapita kutubu.Si kwa vitisho hivyo. Utafikiri mna uwezo wa kumfanya lolote. Mange anawajua sana ninyi.
Analisha mtoto wa mwenzake, wakati mtoto wake anakufa kwa njaa.Huyu Mzee ni miongoni mwa viongozi niliowaheshimu sana , hasa ule uwezo wake wa kujibu maswali alipokuwa TAMISEMI , lakini sasa naanza kudhani labda ile heshima nilimpa kimakosa , maana sasa ameamua mwenyewe kutukwaza wote tuliomheshimu.
Anazurula kwenye mikoa na majimbo kuhangaikia ccm huku akifahamu ukandamizaji mkubwa wa demokrasia na haki za kidemokrasia , anafahamu kwamba kuna katazo la kinyama la kuzuia wanasiasa wa upinzani majukwaani , anafahamu kwamba yeye mwenyewe hana jimbo lakini anashiriki uchafuzi wa akina Humphrey Polepole huku akiiweka kando heshima yake kwa jamii , je amelogwa ?
Nikuambie tu mzee wangu Pinda umeamua kuwachokoza wananchi , sasa wakiamua kujibu mapigo usimlilie mtu , endelea na mipango yako
View attachment 1051342
Hawa watu wanatakiwa watambue kuwa na heshima kwa viongozi waliopita,mizengo pinda alikuwa waziri mkuu tena alikuwa akifanya kazi zake vizuri,sidhani kama hatakiwi kutoa mchango wake eti kwa vile cheo chake hakipo kwa sasa.Yeye bado yupo ccm na bado ccm imeshika dola anahaki zote za kufanya hivyo.wapinzani muache chonganishi tafuteni point za kuwafanya watanzania wakawaelewa na sio kuleta maneno ya uchochezi.Hata ukimchukia Mzee Pinda ambaye tena ni Waziri Mkuu Mstaafu nchini atapungukiwa na nini? Hivi Wewe una Hadhi gani au ipi Kwake hadi udhani kuwa kwa Kumchukia Kwako Wewe au Kumdharau basi ndiyo halalisho la kwa Watanzania wote tuliopo hapa ndani na nje? CCM ndiyo Chama Tawala na Chama Dola pia hivyo sioni tatizo kwa Mzee Pinda kupita huku na kule Kukijenga Chama cha Mapinduzi huku akihimiza Maendeleo na Kukiongezea Ushawishi zaidi. Subiri nawe Chama chako Kikipata dhamana ya Kuwaongoza Watanzania labda hapo mwaka wa 9000 ndipo mtakuja kuyafanya hayo ambayo Wewe na Wenzako mnayaota ila kwa sasa CCM ndiyo Serikali na Serikali ndiyo CCM halafu hata Mzee Pinda nae ni CCM na bado ' Kiitifaki ' ni Mtu wa Serikali vile vile. Tumewachokeni sasa Wapinzani na Majungu, Upuuzi na Makelele yenu yasiyo na Mantiki, Tija wala Manufaa kwa nchi.
Opposition sio maana yake tu kupinga kwenye muktadha wa vyama vya siasa,maana hauwezi sema chama mbadala wakati kikishika nchi je kile cha mwanzo nacho kitakuwa mbadala wakati kilikuwa madarakani na kikaondolewa?Mna oppose nini? ni vyama mbadala wa kuongoza nchi, maaana vyote hayo ndiyo malengo yao. Hili la kuikosoa serikali ni ujinga tu, mnamkosoa manyetaka atoke muingie nyie, kila siku atafanya marekebisho nyie mtaendelea kukaa nje na kuchungulia madirishani.