Mizengo Pinda anazunguka mikoani akifanya mikutano kama nani ?

Mizengo Pinda anazunguka mikoani akifanya mikutano kama nani ?

Ukiwa SISIEMU hata mkutano Posta Mpya unaruhusiwa kufanya ila kama ukiwa mpinzani hata ukifanya meeting na ndugu zako sebuleni kwako MINJINGU Ndani ndani Difenda zitakuja "KAMA ZOTE" kukuzuia.
Mnakosea kujiita WAPINZANI. Ni vyama vyote wanapinga inategemea unaongelea nini.
Viite vyama mbadala.
 
Azunguke tuu huyo hana madhara kuongea kwenyewe shida...... labda anatafuta wanunuzi wa asali iliyotengenezwa kitaalamu na wauza mizinga ya nyuki........................... akili zangu za week end hizo
 
tumemtahadharisha makusudi asije kuleta lawama , akiwa kiongozi hakuwahi kutegemea polisi , lakini sasa inaonekana anachanganyika na wategemea polisi .
Nadhani amekusikia, ameogopa na amerudi nyumbani kwake.
Nyie mkishika nchi vibali vya ku-smile tutaenda kuviomba serikali ya mtaa.
 
Anatumwa na bwana yule wa Magogoni!
akumbuke kwamba kila mtu atabeba mzigo wake , halafu inakuwaje mtu uliyemkataza kuvunja ghorofa la Tanesco ukiwa waziri mkuu leo akutumikishe kama tarishi ?
 
Ukweli.ni kwamba kagunduwa kuwa kilimo hakilipi juu ya ukweli wa.kwamba anapata pensheni nene lakini bado kaona ngoma ngumu. Njia pekee ya kujiengezea kipato basi ni kurudi kwenye siasa. Hii inaonesha namna gani wakulima Tanzania wanakuwa na hali ngumu kimaisha!
 
Back
Top Bottom