Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Waziri mkuu mstaafu wa awamu ya nne, Mizengo Pinda akiwa kwenye kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa baba wa Taifa, hayati Mwl. Nyerere ameongelea misaada na masharti yanayokuja nayo. Pinda amesema mwalimu alikataa katakata misaada yenye masharti yasioendana na Maslahi ya Taifa.
========
Mizengo Pinda: Kwenye uchumi pamoja na mambo mengine yote, vita ya Uganda na vinginevyo lakini wale mnaojua kilichokuwa kimetokea, nilipenda mimi binafsi, jeuri yake alikuwa anakataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje just because kuna misaada anataka akupatie. Mwalimu alikuwa mgumu sana, alikataa kabisa. Bora nikafe na umasikini wangu lakini hilo unalotaka nifanye siwezi.
Leo wangapi, tukibanwa na mambo hayo mazuri yanayotaka kuja na hili na lile, how many of us wako tayari kutoa masharti ambayo unaona hayaendani maslahi ya Taifa? Lakini yeye aliweza na nakumbuka mzee Mwinyi alipoingia kama Rais wa pili alikutana na hilo jambo, sasa ikawa ngombo. Mwalimu alikuwa na uwezo wa kulibeba hata kama hamjui litaishaje lakini tutafika huko.
=> Kuhusu Mkapa, Pinda amesema pamoja na kuleta 'Ukapa' alipomaliza miaka kumi watu walitamani aendelee.
========
Mizengo Pinda: Kwenye uchumi pamoja na mambo mengine yote, vita ya Uganda na vinginevyo lakini wale mnaojua kilichokuwa kimetokea, nilipenda mimi binafsi, jeuri yake alikuwa anakataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje just because kuna misaada anataka akupatie. Mwalimu alikuwa mgumu sana, alikataa kabisa. Bora nikafe na umasikini wangu lakini hilo unalotaka nifanye siwezi.
Leo wangapi, tukibanwa na mambo hayo mazuri yanayotaka kuja na hili na lile, how many of us wako tayari kutoa masharti ambayo unaona hayaendani maslahi ya Taifa? Lakini yeye aliweza na nakumbuka mzee Mwinyi alipoingia kama Rais wa pili alikutana na hilo jambo, sasa ikawa ngombo. Mwalimu alikuwa na uwezo wa kulibeba hata kama hamjui litaishaje lakini tutafika huko.
=> Kuhusu Mkapa, Pinda amesema pamoja na kuleta 'Ukapa' alipomaliza miaka kumi watu walitamani aendelee.