Mizengo Pinda: Mwalimu alikataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje kwa sababu ya misaada

Mizengo Pinda: Mwalimu alikataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje kwa sababu ya misaada

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Waziri mkuu mstaafu wa awamu ya nne, Mizengo Pinda akiwa kwenye kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa baba wa Taifa, hayati Mwl. Nyerere ameongelea misaada na masharti yanayokuja nayo. Pinda amesema mwalimu alikataa katakata misaada yenye masharti yasioendana na Maslahi ya Taifa.

========

Mizengo Pinda: Kwenye uchumi pamoja na mambo mengine yote, vita ya Uganda na vinginevyo lakini wale mnaojua kilichokuwa kimetokea, nilipenda mimi binafsi, jeuri yake alikuwa anakataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje just because kuna misaada anataka akupatie. Mwalimu alikuwa mgumu sana, alikataa kabisa. Bora nikafe na umasikini wangu lakini hilo unalotaka nifanye siwezi.

Leo wangapi, tukibanwa na mambo hayo mazuri yanayotaka kuja na hili na lile, how many of us wako tayari kutoa masharti ambayo unaona hayaendani maslahi ya Taifa? Lakini yeye aliweza na nakumbuka mzee Mwinyi alipoingia kama Rais wa pili alikutana na hilo jambo, sasa ikawa ngombo. Mwalimu alikuwa na uwezo wa kulibeba hata kama hamjui litaishaje lakini tutafika huko.

=> Kuhusu Mkapa, Pinda amesema pamoja na kuleta 'Ukapa' alipomaliza miaka kumi watu walitamani aendelee.
 
Waziri mkuu mstaafu wa awamu ya nne, Mizengo Pinda akiwa kwenye kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa baba wa Taifa, hayati Mwl. Nyerere ameongelea misaada na masharti yanayokuja nayo. Pinda amesema mwalimu alikataa katakata misaada yenye masharti yasioendana na Maslahi ya Taifa.

========

Mizengo Pinda: Kwenye uchumi pamoja na mambo mengine yote, vita ya Uganda na vinginevyo lakini wale mnaojua kilichokuwa kimetokea, nilipenda mimi binafsi, jeuri yake alikuwa anakataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje just because kuna misaada anataka akupatie. Mwalimu alikuwa mgumu sana, alikataa kabisa. Bora nikafe na umasikini wangu lakini hilo unalotaka nifanye siwezi.

Leo wangapi, tukibanwa na mambo hayo mazuri yanayotaka kuja na hili na lile, how many of us wako tayari kutoa masharti ambayo unaona hayaendani maslahi ya Taifa? Lakini yeye aliweza na nakumbuka mzee Mwinyi alipoingia kama Rais wa pili alikutana na hilo jambo, sasa ikawa ngombo. Mwalimu alikuwa na uwezo wa kulibeba hata kama hamjui litaishaje lakini tutafika huko.

Alikataa lakini Mwinyi alikuta nchi haina kitu kabisa zaidi ya kiswahili na mbuga. Sera za uchumi zilikuwa mbaya sana
 
Waziri mkuu mstaafu wa awamu ya nne, Mizengo Pinda akiwa kwenye kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa baba wa Taifa, hayati Mwl. Nyerere ameongelea misaada na masharti yanayokuja nayo. Pinda amesema mwalimu alikataa katakata misaada yenye masharti yasioendana na Maslahi ya Taifa.

========

Mizengo Pinda: Kwenye uchumi pamoja na mambo mengine yote, vita ya Uganda na vinginevyo lakini wale mnaojua kilichokuwa kimetokea, nilipenda mimi binafsi, jeuri yake alikuwa anakataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje just because kuna misaada anataka akupatie. Mwalimu alikuwa mgumu sana, alikataa kabisa. Bora nikafe na umasikini wangu lakini hilo unalotaka nifanye siwezi.

Leo wangapi, tukibanwa na mambo hayo mazuri yanayotaka kuja na hili na lile, how many of us wako tayari kutoa masharti ambayo unaona hayaendani maslahi ya Taifa? Lakini yeye aliweza na nakumbuka mzee Mwinyi alipoingia kama Rais wa pili alikutana na hilo jambo, sasa ikawa ngombo. Mwalimu alikuwa na uwezo wa kulibeba hata kama hamjui litaishaje lakini tutafika huko.
Maoni ya kizamani kwenye Zama mpya.
Wakae kimya wale pensheni zao na wajukuu zao.
Watuache bhana....
 
Yeye wakati wake aliifanyia nini Tanzania, mwacheni mama atuletee hela za saccos.
 
..Mwalimu hakuwahi kukataa misaada au masharti ya mataifa makubwa ili apate nafasi ya kuvuruga chaguzi, na kukiuka haki za binaadamu.

..Mwalimu alikuwa amenyooka kimaadili na alikuwa akiya-challenge mataifa makubwa ktk masuala ya haki za binaadamu, ukoloni, na ubaguzi wa rangi.

..Kwa mfano, Mwalimu aliwahi kukataa msaada toka serikali ya Uingereza kwasababu ya kupinga serikali hiyo kuwasaidia walowezi wa Rhodesi[ Zimbabwe] kutwaa madaraka.

..Mwalimu hakuwahi kutengwa au kuwekewa vikwazo kwasababu ya kukiuka na kuvunja haki za kikatiba za Watanzania.

..Mwaka 2016 Wamarekani walisitisha program ya misaada hapa Tanzania kwasababu ya kuvurugwa kwa UCHAGUZI wa Zanzibar.

..Jambo hilo ni la aibu kwa Watanzania kwani huko nyuma tulijulikana kama taifa linalozingatia HAKI.
 
Huyu naona ana mawazo Kama ya Kabudi na jiwe...
Ukiwauliza masharti yenyewe ni yapi wataanza kukuambia kuruhusu ushoga, kwa hiyo nchi inapewa msaada Sasa hivi kwa sababu imeruhusu ushoga?

Wakataka waongoze nchi kwa ukatili wa kuua na kutekwa watu, kubaka demokrasia Kisha wakikemewa wanakimbilia kusema Hawa wanataka turuhusu ushoga.
 
..Mwalimu hakuwahi kukataa misaada au masharti ya mataifa makubwa ili apate nafasi ya kuvuruga chaguzi, na kukiuka haki za binaadamu.

..Mwalimu alikuwa amenyooka kimaadili na alikuwa akiya-challenge mataifa makubwa ktk masuala ya haki za binaadamu, ukoloni, na ubaguzi wa rangi.

..Kwa mfano, Mwalimu aliwahi kukataa msaada toka serikali ya Uingereza kwasababu ya kupinga serikali hiyo kuwasaidia walowezi wa Rhodesi[ Zimbabwe] kutwaa madaraka.

..Mwalimu hakuwahi kutengwa au kuwekewa vikwazo kwasababu ya kukiuka na kuvunja haki za kikatiba za Watanzania.

..Mwaka 2016 Wamarekani walisitisha program ya misaada hapa Tanzania kwasababu ya kuvurugwa kwa UCHAGUZI wa Zanzibar.

..Jambo hilo ni la aibu kwa Watanzania kwani huko nyuma tulijulikana kama taifa linalozingatia HAKI.


Hivi akili zako nzima kweli wewe...?

Hata umeelewa kile kilichozungumzwa hapo?....

Anazungumziwa mwalimu Nyerere na misimamo yake,wewe unaleta mambo ya awamu ya JPM

NB: ni lini JPM alitengwa au kuwekewa vikwazo kwa sababu ulizozitaja hapa?
 
Hivi akili zako nzima kweli wewe...?

Hata umeelewa kile kilichozungumzwa hapo?....

Anazungumziwa mwalimu Nyerere na misimamo yake,wewe unaleta mambo ya awamu ya JPM

NB: ni lini JPM alitengwa au kuwekewa vikwazo kwa sababu ulizozitaja hapa?

..Magufuli alikuwa akiiabisha Tanzania kutokana na matendo yake ya kikatili na kidikteta.
 
..Mwalimu hakuwahi kukataa misaada au masharti ya mataifa makubwa ili apate nafasi ya kuvuruga chaguzi, na kukiuka haki za binaadamu.

..Mwalimu alikuwa amenyooka kimaadili na alikuwa akiya-challenge mataifa makubwa ktk masuala ya haki za binaadamu, ukoloni, na ubaguzi wa rangi.

..Kwa mfano, Mwalimu aliwahi kukataa msaada toka serikali ya Uingereza kwasababu ya kupinga serikali hiyo kuwasaidia walowezi wa Rhodesi[ Zimbabwe] kutwaa madaraka.

..Mwalimu hakuwahi kutengwa au kuwekewa vikwazo kwasababu ya kukiuka na kuvunja haki za kikatiba za Watanzania.

..Mwaka 2016 Wamarekani walisitisha program ya misaada hapa Tanzania kwasababu ya kuvurugwa kwa UCHAGUZI wa Zanzibar.

..Jambo hilo ni la aibu kwa Watanzania kwani huko nyuma tulijulikana kama taifa linalozingatia HAKI.
Je Marekani ametengwa na nani hata pale Trump alipolalamikia kanuni za uchaguzi kulalamikiwa?

Je hukuona kwa mara ya kwanza maandamano hadi kwenye Bunge la nchi hiyo kubwa Duniani na hata baadhi ya wabunge kutekwa na waandamanaji?

Nani anaikemea Marekani?

Uongozi thabiti wa nchi ya kiafrika sio mpaka usifiwe na wazungu.

Wasomi wa sasa hivi ndio mmekariri kuliko mahitaji yenu.
 
Ni kwasababu aliikuta hazina imejaa pesa za wakoloni, pia wakoloni walimuachia mali nyingi mashamba, viwanda, nk ambazo vilikuja kufa sababu ya sera zake za ujamaa.
 
Back
Top Bottom