Je Marekani ametengwa na nani hata pale Trump alipolalamikia kanuni za uchaguzi kulalamikiwa?
Je hukuona kwa mara ya kwanza maandamano hadi kwenye Bunge la nchi hiyo kubwa Duniani na hata baadhi ya wabunge kutekwa na waandamanaji?
Nani anaikemea Marekani?
Uongozi thabiti wa nchi ya kiafrika sio mpaka usifiwe na wazungu.
Wasomi wa sasa hivi ndio mmekariri kuliko mahitaji yenu.
..kama Magufuli alikuwa anaamini Donald Trump ameibiwa kura basi alitakiwa kukataa kumtambua Joe Biden.
..Nyerere alikataa kuzitambua serikali za Rhodesia na Afrika Kusini kwasababu aliamini hazikuchaguliwa kihalali.