Mizengo Pinda: Mwalimu alikataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje kwa sababu ya misaada


..kama Magufuli alikuwa anaamini Donald Trump ameibiwa kura basi alitakiwa kukataa kumtambua Joe Biden.

..Nyerere alikataa kuzitambua serikali za Rhodesia na Afrika Kusini kwasababu aliamini hazikuchaguliwa kihalali.
 
Tatizo letu kubwa ni mambo muhimu kuamuliwa na mtu mmoja.
 
Wazee wa kula kwa urefu wa kamba yako wanahisi wanasemwa wao. Hawataki mtu yeyote kutoa maoni yake. Wanataka tu kulamba asali.
 
Sawa alikataa kuwa dictated,atuambie basi miaka 25 ya mwalimu ilikuwa na tija ipi kiuchumi kwa Tzn ukilinganishwa na waliokuwa dicteted kwa ajili ya misaada?
 
Umewambia ukweli hawa viroboto!
 
Sawa alikataa kuwa dictated,atuambie basi miaka 25 ya mwalimu ilikuwa na tija ipi kiuchumi kwa Tzn ukilinganishwa na waliokuwa dicteted kwa ajili ya misaada?
Hata mama inabidi umwambie uchumi haujengwi kwa pesa. Cash do not build neither structure our economy.
Pesa haijengi uchumi.
 
Maoni ya kizamani kwenye Zama mpya.
Wakae kimya wale pensheni zao na wajukuu zao.
Watuache bhana....

Hawawezi kuwaacha hivi sasa kazi yao ni kuwasimika watoto wao ili warithi vyeo vyao!! Mtoto wa Pinda nae ni Mbunge na ni naibu Waziri!!!
 
Sawa alikataa kuwa dictated,atuambie basi miaka 25 ya mwalimu ilikuwa na tija ipi kiuchumi kwa Tzn ukilinganishwa na waliokuwa dicteted kwa ajili ya misaada?
Mbali ya uchumi, Mwalimu alikuwa na kazi ngumu sana kuliunganisha Taifa kuwa moja na ukabila ukafutika, hiyo ilikuwa kazi ya kutukuka sana, Cha ajabu, ikaharibiwa ndani ya kipindi kifupi tu cha m iaka 6.
 
Mwalimu atakumbukwa kwa kuleta umoja wa kitaifa ila uchumi alivurunda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…