Je Marekani ametengwa na nani hata pale Trump alipolalamikia kanuni za uchaguzi kulalamikiwa?
Je hukuona kwa mara ya kwanza maandamano hadi kwenye Bunge la nchi hiyo kubwa Duniani na hata baadhi ya wabunge kutekwa na waandamanaji?
Nani anaikemea Marekani?
Uongozi thabiti wa nchi ya kiafrika sio mpaka usifiwe na wazungu.
Wasomi wa sasa hivi ndio mmekariri kuliko mahitaji yenu.
Jiwe Gizani mkuu. Mama amesikia kuuuKwahiyo hakubaliana na Mama kufungua nchi?
Sawa alikataa kuwa dictated,atuambie basi miaka 25 ya mwalimu ilikuwa na tija ipi kiuchumi kwa Tzn ukilinganishwa na waliokuwa dicteted kwa ajili ya misaada?Waziri mkuu mstaafu wa awamu ya nne, Mizengo Pinda akiwa kwenye kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa baba wa Taifa, hayati Mwl. Nyerere ameongelea misaada na masharti yanayokuja nayo. Pinda amesema mwalimu alikataa katakata misaada yenye masharti yasioendana na Maslahi ya Taifa.
========
Mizengo Pinda: Kwenye uchumi pamoja na mambo mengine yote, vita ya Uganda na vinginevyo lakini wale mnaojua kilichokuwa kimetokea, nilipenda mimi binafsi, jeuri yake alikuwa anakataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje just because kuna misaada anataka akupatie. Mwalimu alikuwa mgumu sana, alikataa kabisa. Bora nikafe na umasikini wangu lakini hilo unalotaka nifanye siwezi.
Leo wangapi, tukibanwa na mambo hayo mazuri yanayotaka kuja na hili na lile, how many of us wako tayari kutoa masharti ambayo unaona hayaendani maslahi ya Taifa? Lakini yeye aliweza na nakumbuka mzee Mwinyi alipoingia kama Rais wa pili alikutana na hilo jambo, sasa ikawa ngombo. Mwalimu alikuwa na uwezo wa kulibeba hata kama hamjui litaishaje lakini tutafika huko.
=> Kuhusu Mkapa, Pinda amesema pamoja na kuleta 'Ukapa' alipomaliza miaka kumi watu walitamani aendelee.
Umewambia ukweli hawa viroboto!Huyu naona ana mawazo Kama ya Kabudi na jiwe...
Ukiwauliza masharti yenyewe ni yapi wataanza kukuambia kuruhusu ushoga, kwa hiyo nchi inapewa msaada Sasa hivi kwa sababu imeruhusu ushoga?
Wakataka waongoze nchi kwa ukatili wa kuua na kutekwa watu, kubaka demokrasia Kisha wakikemewa wanakimbilia kusema Hawa wanataka turuhusu ushoga.
Umemjibu vema Sana! Pimbi sn!Mimba ya Lisu haijakutoka tu?
Kipindi cha Mwalimu kilikuwa cha Establishments.Sawa alikataa kuwa dictated,atuambie basi miaka 25 ya mwalimu ilikuwa na tija ipi kiuchumi kwa Tzn ukilinganishwa na waliokuwa dicteted kwa ajili ya misaada?
Hata mama inabidi umwambie uchumi haujengwi kwa pesa. Cash do not build neither structure our economy.Sawa alikataa kuwa dictated,atuambie basi miaka 25 ya mwalimu ilikuwa na tija ipi kiuchumi kwa Tzn ukilinganishwa na waliokuwa dicteted kwa ajili ya misaada?
Maoni ya kizamani kwenye Zama mpya.
Wakae kimya wale pensheni zao na wajukuu zao.
Watuache bhana....
Ila nini kinajenga? Maneno?Hata mama inabidi umwambie uchumi haujengwi kwa pesa. Cash do not build neither structure our economy.
Pesa haijengi uchumi.
Kwa hiyo alivyoondoka hiyo establishment ilikwisha?Kipindi cha Mwalimu kilikuwa cha Establishments.
Eti ole wake Mkurugenzi uchague mpinzani wakati nakulipa vizuri....! Mambo haya, Mungu ni fundi.Alikubaguaje?
Mbali ya uchumi, Mwalimu alikuwa na kazi ngumu sana kuliunganisha Taifa kuwa moja na ukabila ukafutika, hiyo ilikuwa kazi ya kutukuka sana, Cha ajabu, ikaharibiwa ndani ya kipindi kifupi tu cha m iaka 6.Sawa alikataa kuwa dictated,atuambie basi miaka 25 ya mwalimu ilikuwa na tija ipi kiuchumi kwa Tzn ukilinganishwa na waliokuwa dicteted kwa ajili ya misaada?
Huo ndio ubaguzi?Eti ole wake Mkurugenzi uchague mpinzani wakati nakulipa vizuri....! Mambo haya, Mungu ni fundi.