The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Labda hiyo tui ndio Kazi pekee ya kitukuka aliyoifanya..Mbali ya uchumi, Mwalimu alikuwa na kazi ngumu sana kuliunganisha Taifa kuwa moja na ukabila ukafutika, hiyo ilikuwa kazi ya kutukuka sana, Cha ajabu, ikaharibiwa ndani ya kipindi kifupi tu cha m iaka 6.
Haja sikia yupo Washington ana aftari na Kula dakuJiwe Gizani mkuu. Mama amesikia kuuu
Chama kuvutia kwake ni sawa, lakini viongozi wanaosimamia uchaguzi kutishwa eneo lake akipita mpinzani ataona, haliko sawa. Chaguzi za CCM Sasa tunaziona ni 100%. Ndugai 100%, Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM 100%, uchaguzi wa Spika Tulia 100%, uchaguzi wa naibu Spika 100%. Mwenyezi Mungu mwenyewe hawezi kupata 100% kwa sababu mpinzani shetani yupo, Sasa tumejengewa utamaduni wa CCM 100%. Kupita bila kupingwa ni upuuzi wa awamu ya 5.Huo ndio ubaguzi?
Mbona chadema huwa mnasema tusichague ccm?
Kwa Mwalimu👍,lakini kwa Mkapa simuungi mkono.Ila Pinda anajua yaliyomtokea Ndugai?Shauri yake.Waziri mkuu mstaafu wa awamu ya nne, Mizengo Pinda akiwa kwenye kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa baba wa Taifa, hayati Mwl. Nyerere ameongelea misaada na masharti yanayokuja nayo. Pinda amesema mwalimu alikataa katakata misaada yenye masharti yasioendana na Maslahi ya Taifa.
========
Mizengo Pinda: Kwenye uchumi pamoja na mambo mengine yote, vita ya Uganda na vinginevyo lakini wale mnaojua kilichokuwa kimetokea, nilipenda mimi binafsi, jeuri yake alikuwa anakataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje just because kuna misaada anataka akupatie. Mwalimu alikuwa mgumu sana, alikataa kabisa. Bora nikafe na umasikini wangu lakini hilo unalotaka nifanye siwezi.
Leo wangapi, tukibanwa na mambo hayo mazuri yanayotaka kuja na hili na lile, how many of us wako tayari kutoa masharti ambayo unaona hayaendani maslahi ya Taifa? Lakini yeye aliweza na nakumbuka mzee Mwinyi alipoingia kama Rais wa pili alikutana na hilo jambo, sasa ikawa ngombo. Mwalimu alikuwa na uwezo wa kulibeba hata kama hamjui litaishaje lakini tutafika huko.
=> Kuhusu Mkapa, Pinda amesema pamoja na kuleta 'Ukapa' alipomaliza miaka kumi watu walitamani aendelee.
nyie ndowalamba asali?Maoni ya kizamani kwenye Zama mpya.
Wakae kimya wale pensheni zao na wajukuu zao.
Watuache bhana....
Vikoba eti.Yeye wakati wake aliifanyia nini Tanzania, mwacheni mama atuletee hela za saccos.
Ni lini viongozi wa ccm hawajawahi kupita bila kupingwa,?Chama kuvutia kwake ni sawa, lakini viongozi wanaosimamia uchaguzi kutishwa eneo lake akipita mpinzani ataona, haliko sawa. Chaguzi za CCM Sasa tunaziona ni 100%. Ndugai 100%, Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM 100%, uchaguzi wa Spika Tulia 100%, uchaguzi wa naibu Spika 100%. Mwenyezi Mungu mwenyewe hawezi kupata 100% kwa sababu mpinzani shetani yupo, Sasa tumejengewa utamaduni wa CCM 100%. Kupita bila kupingwa ni upuuzi wa awamu ya 5.