Mizengo Pinda: Mwalimu alikataa kuwa 'dictated' na watu kutoka nje kwa sababu ya misaada

Mbali ya uchumi, Mwalimu alikuwa na kazi ngumu sana kuliunganisha Taifa kuwa moja na ukabila ukafutika, hiyo ilikuwa kazi ya kutukuka sana, Cha ajabu, ikaharibiwa ndani ya kipindi kifupi tu cha m iaka 6.
Labda hiyo tui ndio Kazi pekee ya kitukuka aliyoifanya..

Dhalimu shujaa wa Africa akapanda tena mbegu ya chuki ,ukabila,ukanda na migawanyiko mingine
 
Huo ndio ubaguzi?

Mbona chadema huwa mnasema tusichague ccm?
Chama kuvutia kwake ni sawa, lakini viongozi wanaosimamia uchaguzi kutishwa eneo lake akipita mpinzani ataona, haliko sawa. Chaguzi za CCM Sasa tunaziona ni 100%. Ndugai 100%, Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM 100%, uchaguzi wa Spika Tulia 100%, uchaguzi wa naibu Spika 100%. Mwenyezi Mungu mwenyewe hawezi kupata 100% kwa sababu mpinzani shetani yupo, Sasa tumejengewa utamaduni wa CCM 100%. Kupita bila kupingwa ni upuuzi wa awamu ya 5.
 
Kwa Mwalimu👍,lakini kwa Mkapa simuungi mkono.Ila Pinda anajua yaliyomtokea Ndugai?Shauri yake.
 
Ni lini viongozi wa ccm hawajawahi kupita bila kupingwa,?

Ok.. Hiyo ni awamu ya tano vipi hii ni ya ngapi?
 
Mwalimu nyerere, Magufuli ndio Marais bora kuwahi kutokea Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…