Mizengo Pinda: Serikali ilivyotekeleza Maazimio ya Bunge Richmond

Mizengo Pinda: Serikali ilivyotekeleza Maazimio ya Bunge Richmond

Ofisi yangu tayari imepata maoni ya Wanasheria mbalimbali wakiwemo Mheshimiwa Andrew Chenge, Mbunge wa Bariadi Magharibi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mstaafu; Mheshimiwa Johnson Mwanyika - Mwanasheria Mkuu wa Serikali; na Mheshimiwa Nimrod Mkono Mbunge wa Musoma Vijijini. Maoni yao yatatusaidia sana katika kuimarisha Mfumo wetu wa Majadiliano ya Mikataba. Naomba nitumie nafasi hii kuwashukuru Waheshimiwa Wabunge hawa kwa maoni na ushauri wao mzuri sana.

What a crap is this? Hakuna kipya hapo....

Inakuwaje wanachukuwa ushauri kwa walewale walioshindwa kutoa ushauri. Wanantiaa hasira hawa jamaa!! Huyu Pinda kweli amepinda.
 
Kuna aina za wizi ambazo ushahidi au uchunguzi wake unatakiwa uwe fruction of a second la sivyo case closed. Lets cite an example mtoto kaiba sukari na iko mdomoni ukisubiri kufanya uchunguzi obviously ataimeza na circumstancial evidence itapotea na akibisha atakuwa right na aki-claim uonevu atashinda. Sasa hawa mabwana wanasubiri sukari iishe yote pyuu! Then waanze case. Jamani tunashindwa hata na wamakonde mtanisamehe lakini kuna kamsemo naomba ku-quote "Uchiteme uchimumunye, Ukikimbia nchale, Ukichimama nchale" Hawa hawajasoma sheria wala tabia za binadamu wala hawana ufahamu wa kifisadi lakini wanajua ku-manage uhalifu the best way. Nafikiri kikubwa ni kulindana heshima kizamani kwamba baba akilewa sana akafanya mambo kinyume na maadili basi wana-term tu mfano baba kafurahi sana jana. Uzamani huo. Tuamke heshima ya mtu mmoja isilindwe over manufaa wazi ya umma. This is bull****
 
mbona mzee Pinda hujasema majibu ya izo barua za utetezi ni lini? unaanza kupinda na wewe sio? weka time frame kwenye hilo.
 
Yaani pinda weye na uerevu wako wezi waliotuibia unaenda kuwaomba ushauri na usivyo na adabu wala aibu ya kuzaliwa unatutangazia na majina yao kabisa

huu ufirauni umeeuanza lini kijana jamani tanzania mimi basi wacha nikabebe mabox
na wenzangu mhh uku siko
 
izo barua za kujitetea lini zinajibiwaaaaaaaaaa? we pinda acha kupinda....
 
uc
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
hunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
 
HIVI WATANZANIA walikuwa na matarajio kuwa Bw. Pinda atapindua mambo yaliyomzidi kima?

Walijidanganya basi kama walifanza hivyo. Maana kama wengine walivyowahi kusema kina Richmond ni dalili tu lakini sio chanzo cha gonjwa linalokabili uongozi na Chama tawala hapa nchini.

Inawezekanaje wakala akashtakiwa kwa uwakala? Sasa mnachotakiwa nyie kukifichua ni kuwa anayemtuma wakala ni nani? Na hata usipoenda mbali jibu liko karibu tu. Huyo huyo anayemlinda wakala ndiye aliyemuagiza wakala.

Dawa nawaambieni sio nyingine ila katiba mpya ambayo pamoja na mambo mengine itakuwa na vidhibiti vya wapi vyama na wanasiasa wanapata fedha zao; kutenga biashara na siasa; kutoruhusu wanasiasa kuwaonea wafanyabiashara pale wanapokataa kuwachangia; na kuwalinda watumishi wa umma wasiweze kufukuzwa pia na wanasiasa wanaowatilia ngumu kufisadi mali ya umma.

Na wallahi hakitakaa kieleweke. Waliokosa uzalendo kuwapromoti mafisadi kuwa madarakani ndio hao h ao wanaowajibika kuwaporomosha tena kwa kasi ya radi!
 
HUU UPUMBAVU WA SERIKALI UTAISHA LINI JAMANI RAIS BOMU
HATA WAZIRI MKUU NAE JAMANI!!!!!TURDISHIENI KASA LETU LOWASSA KAMA NDIO HIVI

uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
hunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
uchunguzi bado unaendelea jamani tusiulize tena....---pinda
 
Yaani pinda weye na uerevu wako wezi waliotuibia unaenda kuwaomba ushauri na usivyo na adabu wala aibu ya kuzaliwa unatutangazia na majina yao kabisa

huu ufirauni umeeuanza lini kijana jamani tanzania mimi basi wacha nikabebe mabox
na wenzangu mhh uku siko


...Wanafanya makusudi kuwataja hao. haingii akilini katika watu woote SAFI ambao Waziri Mkuu angeweza kuwaomba ushauri aende kuwaomba ushauri
CHENGE?
MWANYIKA?
MKONO?

lazima kuna ujumbe hapo watanzania tunakejeliwa nao....!
 
PINDA kweli KAPINDA Sikutegemea usanii kama huu.

Unaomba ushauri kwa Mafisadi, unategemea nini,

Halafu unasema kwa kujikosha " Niliongea pia na Mwakyembe" Unafiki na uzandiki mkubwa.

Hawa CCM wasifikiri wana hati miliki ya nchi hii.

Hakika msipotoka 2010, 215 lazima mtoke kwani kizazi cha watoto kilichoandama kitakuwa kimefikia umri wa kulisogelea sanduku
 
Du!!! Hii ndiyo nchi ya Wadanganyika!!! tumekwisha. Hapa kila andiko la maelezo litakuwa safi na hakuna wa kufukuzwa. Si katibu Mkuu Kiongozi wala Pinda atathubutu kwenda kinyume na masuahiba wa bosi wao (JK). Mjadala umefungwa sasa. Period.
 
Good and encoraging work.
What is left is finishing the unfinished business.
Let us witness the conclusion and not stories.
Kweku
 
Baba desi tufanyeje sasa naona hawa watu wanatuchezea kabisa na nchi yetuu

punda wakubwa

kumradhi
 
Nilipoisikia hotuba ya muungwana, nilitarajia vitu kama hivi. Serikali inashauriwa na mtu anayechunguzwa kwa rushwa!!!!!
 
Yaani hii nimeshindwa la kusema, Badala ya Kumuwajibisha mtu kwa kumpeleka mahakamani unamstaafisha.Sasa hebu niulize,kumstaafisha mtu kwa maslahi ya umma si atalipwa na kiinua mgongo?

Kwa hiyo tutakua tuna-encourage watu kuiba kwani hakutakua na madhara makubwa as long as watastaafishwa kwa maslahi ya umma.

Halafu Chenge ni Mwizi,kwanini hata asipate ushauri kutoka hata opposition kwa watu kama akina Makani na wanasheria wengine wa kimataifa?
 
Hotuba yote imekaa kuwalinda wezi tu au sijui na mie nitumie terminlogy kama ya Jk badala ya 'Machakubimbi wa siasa' niseme inalinda 'Machakubimbi wa UChumi'

Hotuba yote imejaa Uchunguzi unaendelea.........hadi mwisho.Inaboa sana.
 
Wadanganyika, tusahau neema yoyote chini ya utawala wa CCM. Never, never, never. If we realy wants The Goods changes is must, hata ikibidi wengine tukubali damu zetu zimwagike. Failure of dhati maumivu hadi Yesu atakaporudi.
 
Sawa. Ila kwa kweli inasikitisha.
Sasa tulenge 2010!!!!!!!!!!! Kila mtu aitumie kura yake vizuri 2010. Hapa dawa ni "regime change". Hakuna jingine.
 
...Wanafanya makusudi kuwataja hao. haingii akilini katika watu woote SAFI ambao Waziri Mkuu angeweza kuwaomba ushauri aende kuwaomba ushauri
CHENGE?
MWANYIKA?
MKONO?

lazima kuna ujumbe hapo watanzania tunakejeliwa nao....!

Pinda iweje uombe ushauri kwa hao wabunge waliopitishisha hayo maazimio,wakati wao walikutaka wewe na serikali yako ndio myatekeleze ?
Pinda umejiabisha mbele ya umma wawatanzania,watanzania waleo sio wale aliowaacha nyerere,hiki ni kizazi kipya.
 
PINDA kweli KAPINDA Sikutegemea usanii kama huu.

Unaomba ushauri kwa Mafisadi, unategemea nini,

Halafu unasema kwa kujikosha " Niliongea pia na Mwakyembe" Unafiki na uzandiki mkubwa.

Hawa CCM wasifikiri wana hati miliki ya nchi hii.

Hakika msipotoka 2010, 215 lazima mtoke kwani kizazi cha watoto kilichoandama kitakuwa kimefikia umri wa kulisogelea sanduku

Nalazima tutawahukumu hata kama mtakuwa mmekufa tutafunga pingu kwenye makaburi yenu.
 
Back
Top Bottom