Miziki isiyo ya maombolezo yapigwa marufuku Mwenge, Dar es Salaam

Miziki isiyo ya maombolezo yapigwa marufuku Mwenge, Dar es Salaam

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
IMG-20210318-WA0009.jpg
Inasambaa sana na kwa kasi mitandaoni.

Inasemekana imeandikwa na M/kiti wa mtaa wa Mwenge, Halmashauri ya wilaya ya Kinondoni DSM.

Uandishi wenyewe ni wa kibabe na usio na weledi hata chembe. Eti "...HII NI AMRI SIYO OMBI..."

Hawa MATAGA hawataki kujifunza kwa hiari nadhani...

Hawa ni wazi kuwa ni "kenge" ambaye kujifunza kwake ni mpaka kipigo cha kumtoa damu masikioni na machoni na puani....

Ni vyema mapigo yakaongezwa ili wajifunze in a hard way.
 
Hizi amri nyingine nazo ni shida.
Halafu abadilishe maombolezo ni siku 21 sio 14 tena
 
Mwaka 1994 alipokufa Habyarimana rais wa Rwanda kuna wanyarwanda kadhaa waliokua wakiishi mkoa wa Mwanza walikutana na kufanya tafrija kusherehekea kifo chake, polisi wakaenda kuwakamata kwa kosa la kushangilia kifo hicho, ila Mwalimu Nyerere alijitokeza na kuwataka polisi wawaachie mara moja kwakua hakuna kosa walilofanya, akiwauliza polisi kwani wewe anapokufa adui yako huwezi kushangilia? waacheni watu wafurahie kikubwa wasivunje Sheria
 
Dah

Mtaani kwenye misiba huwa tunapiga nyimbo za faraja. Kwenye Ukristo hakuna nyimbo za huzuni kuna nyimbo za faraja.

Hata hivyo kuna mambo mengi ya kufanya zaidi ya kulazimisha raia.
 
Mwaka 1994 alipokufa Habyarimana rais wa Rwanda kuna wanyarwanda kadhaa waliokua wakiishi mkoa wa Mwanza walikutana na kufanya tafrija kusherehekea kifo chake, polisi wakaenda kuwakamata kwa kosa la kushangilia kifo hicho, ila Mwalimu Nyerere alijitokeza na kuwataka polisi wawaachie mara moja kwakua hakuna kosa walilofanya, akiwauliza polisi kwani wewe anapokufa adui yako huwezi kushangilia? waacheni watu wafurahie kikubwa wasivunje Sheria

Hii sijawahi kuisikia...

Kama ndivyo, Nyerere alikuwa kiongozi kwelikweli...

Laiti na Magufuli angekuwa anafanya intervention ya wasaidizi wake waharibifu kwa haraka kama alivyofanya nyerere, hakika leo angekuwa bado yuko hai..

Lakini kwa kuwa uovu mwingi sana umefanyika chini ya uongozi wa Urais wake na yeye kuwa amenyamaza tu, ni daalili moja muhimu kuwa walikuwa wanafanya kwa maelekezo yake...

Reference kina Paul Makonda, yule DC wa Hai Ole Sabaya, Jerry Muro - DC wa Arumeru, RC Mbeya, Chalamila ni baadhi ya viongozi wateule wa Magufuli wasio na ethics za uongozi, wakatili na walevi wa madaraka..
 
Inasambaa sana na kwa kasi mitandaoni.

Inasemekana imeandikwa na M/kiti wa mtaa wa Mwenge, Halmashauri ya wilaya ya Kinondoni DSM.

Uandishi wenyewe ni wa kibabe na usio na weledi hata chembe. Eti "...HII NI AMRI SIYO OMBI..."

Hawa MATAGA hawataki kujifunza kwa hiari nadhani...

Hawa ni wazi kuwa ni "kenge" ambaye kujifunza kwake ni mpaka kipigo cha kumtoa damu masikioni na machoni na puani....

Ni vyema mapigo yakaongezwa ili wajifunze in a hard way.
R.I.P my hero... dr. Ramadhan mtoro Ongala.
Asili ya mziki
 
Back
Top Bottom