kama kweli unafurahia kifo fanya kwa siri,kutangazia uma kwamba wewe umefurahi,ni upumbavu wa kutafuta matatizo.Watu wamekataa kabisa kuomboleza ni kwa nini walazimishwe? Joto la jana kwenye mabaa limewachoma. Iwe ni fundisho kwa viongozi wote. Mliambiwa watu wanavuja damu sema wanaogopa kusema. Sasa wameonesha wazi. Acheni wale mvinyo na nyama choma na kamziki.
Mimi mzalendo mzee nimejifungia ndani nasoma mtandao ilivyolipuka na reaction za watu ninaowafahamu. Amazing incidence.
Watu hawalazimishwi kulia. Machozi ni automatic reflux. Acha kila mtu aupokee msiba atakavyo. Ni uhuru wake na demokrasia yake binafsi hata kama ya jumla ilipokwa.kama kweli unafurahia kifo fanya kwa siri,kutangazia uma kwamba wewe umefurahi,ni upumbavu wa kutafuta matatizo.
dsm yote si bara wala mabanda ya tv watu wanatizama live maonyesho ya uwanja wa taifa shughuli ya kuaga.wewe na kuwashwa kwako baada ya kuvimbiwa bia zilizo expire unafungulia muziki wa boringo unakatika.wanaweza kukosa polisi ila ukabakwa na wananchi wenzako,kisha kaenda wewe kushtaki polisi.
nenda kwenye msiba jirani yako,kaangue kicheko kama hawajakutoa marinda.Watu hawalazimishwi kulia. Machozi ni automatic reflux. Acha kila mtu aupokee msiba atakavyo. Ni uhuru wake na demokrasia yake binafsi hata kama ya jumla ilipokwa.
Huyo jirani siwezi kumfananisha kama hafananishwi. Kila msiba ni tofauti kama ilivyo huu. Hatuendeshwi kwa hisia za kulazimishana.nenda kwenye msiba jirani yako,kaangue kicheko kama hawajakutoa marinda.
mnapenda kucheza na maisha yenu na ya watu pia.
huna lolote beat mbuzi tu.Huyo jirani siwezi kumfananisha kama hafananishwi. Kila msiba ni tofauti kama ilivyo huu. Hatuendeshwi kwa hisia za kulazimishana.
Niko shamba nalima kuandaa msimu.huna lolote beat mbuzi tu.
si ungeenda taifa pale ukatume ujumbe usikike vyema!!!
nenda pale kachekeee weeee,halafu uje utupe mrejesho.
Anashindana na walevi?
Hii wala sio shida sana. Utawala wa mabavu ndio unamalizika malizika.Come on
Wawaache watu wafanye mambo yao bana.
Wasilazimishe watu waomboleze kama hawataki.
Nuru isipoonekana msije hapa kulia.Hii wala sio shida sana. Utawala wa mabavu ndio unamalizika malizika.
Wananchi walipotoka ni kubaya zaidi. Sasa walau nuru inaonekana.
Hata kama Wananchi wakilia tena, machozi yao hayatakuwa sawa na yale ya miaka 5 iliyopita.
Haya subiri kubembelezwaHata kama Wananchi wakilia tena, machozi yao hayatakuwa sawa na yale ya miaka 5 iliyopita.
Mama ana kauli za faraja sana na za kutia matumaini.
Hivyo hata kama vyuma vitakaza zaidi, ila kauli za mama zitatupa nuru.
Utawala uliopita ulikosa hata kauli zenye huruma, zenye matumaini na zenye hekima kwa wananchi hususani pale wanapokumbana na vilio.
Rejea tetemeko la Kagera, rejea janga la njaa, rejea janga la korona n.k n.k
Wewe utakuwa ukisubiri nini?Haya subiri kubembelezwa
Kwa Lugha nyepesi tu ni kwamba inaonekana Watu wa Mwenge ama hawajui kuwa tuna Msiba au labda wameona Msiba hauwahusu.Inasambaa sana na kwa kasi mitandaoni.
Inasemekana imeandikwa na M/kiti wa mtaa wa Mwenge, Halmashauri ya wilaya ya Kinondoni DSM.
Uandishi wenyewe ni wa kibabe na usio na weledi hata chembe. Eti "...HII NI AMRI SIYO OMBI..."
Hawa MATAGA hawataki kujifunza kwa hiari nadhani...
Hawa ni wazi kuwa ni "kenge" ambaye kujifunza kwake ni mpaka kipigo cha kumtoa damu masikioni na machoni na puani....
Ni vyema mapigo yakaongezwa ili wajifunze in a hard way.