Mizimu


Endelea mkuu umeshusha facts
 
Endelea mkuu umeshusha facts
Mizimu inawatesa wengi
1: wengine wamevaa bangili za chuma mikononi sababu ya mizimu
2: kuna watoto wameacha shule, kila wakienda shule hawaoni ubaoni, wanaona mauza uza kisa mizimu
3: Mizimu ni Upagani moja ya Tamaduni za asili ya Mwafrika, hazina uhalisia katika Ukweli wa Biblia
4: Mizimu ipo tangu enzi ya Kuandika kea Biblia lakini Biblia inazifunua kama ushetani, ushirikina na Upagani (Soma Isaya 8 mlango wa 19 na 20)
 
Kumbe hii mibangili ni ushirikina wa kimizimu, unakuta mtu kavaa bangili kubwa limepauka kiasi kwamba halionyeshi utanashati wowote zaidi ya kumfanya mtu aonekane kama mganga wa kienyeji.
 
kwahyo kila kabila lina majini yake ? maana utakuta kabila hili wanafanya hivi na lile vile kwenye mambo haya.

Je kweli kama majini yanavaa uhusika wa watu hao majini huwa yanakunywa pombe na kutumia vitu vingine ambavyo tunajua kwa majini ni ngumu kuvitumia?
 
turudi hapo kwa Sauli kuinuliwa roho ya Samwel je kilichoinuliwa ni nini?

kuna haja gani ya kusema hayapo wakati hata biblia inatoa kabisa mfano sahihi wa kuinuliwa roho ya Samwel? na tunaona kitu kinatendeka.
Mimi hapa nionacho ni doctrine, lkn kusema sijuh majin sijuh nini hapa tunadanganyana, mizimu ni mizimu na majini ni majini.
 
Nimeshakwambia hizo ni roho chafu, kwa kizungu zinaitwa evil spirits......nisome vizuri unielewe.
 
Soma vizuri kisa cha
Soma vizuri 1 Samweli 16: 14----"Roho wa BWANA akamuhacha Sauli, Roho mchafu akamwingia--- Mizimu, mizuka, majini wote ni mawakala wa shetani!
Haijalishi mizimu ukiitumia inafaida, ni mlinzi, anatoa njozi utabiri nk ,ukweli ni kwamba ni Roho zinazotokana na shetani
 
Swali zuri, aje atoe majibu
 
Kumbe hii mibangili ni ushirikina wa kimizimu, unakuta mtu kavaa bangili kubwa limepauka kiasi kwamba halionyeshi utanashati wowote zaidi ya kumfanya mtu aonekane kama mganga wa kienyeji.
Hiyo ni mizimu, kama Tatizo limetokana na mizimu ya ubabani unavalishwa bangiri mkono wa kulia.
Ikiwa Tatizo limetokana na ukoo wa ujombani(umamani) unavaa bangiri mkono wa kushoto
 
Mimi nilifikiri hawa watani zangu elimu imewakomboa, kumbe bado wanajenga vibanda vya mizimu wanaweka pombe na kahawa......shomilee!
 
Hio ni michezo ya shetani.Shetani anavaa mwili wa mtu yeyeto wa zamani aliyehai na kujifanya yeye kwa kukopi KILA kitu, kumbuka Mzimu unaishi hadi miaka elf 6 so unazo taarifa zote za mtu tangu yupo tumboni na atakuwa nani hadi atakapokufa.Generation nzima ya familia tree yako kuanzia chimbuko la ukoo au kabila fulani unao.
 
Tatizo la mizimu haitaki maendeleo hofu watu wakiendelea watoto watapa elimu na wakipata elimu awatokumbuka kutambika mizimu eti hili mambo yaende.
Zile ni bangili za shaba si ushirikina labda tu kama kuna kitu mtu kaweka.Kama ambavyo mnyama au binadamu apatani na kitu fulani mfano nyoka na mafuta taa,ndivyo ilivyo majini, wachawi nk kuna vitu navyo awapatani navyo so Ili kuwazuia wasikuvae unavaa unatumia vitu wasivyovipenda mfano miti,mimea, vyakula,kemikali,madini.
 
Illusion
 
Imenikuta hii, mke wangu anahita jina langu akiwa amelala na sauti inayotoka ni ya kiume. Nikachukua simu nimrekodi ila naanza tu, akanyamaza. Nikamuamsha hata hajui kilichokuwa kinaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…