Mizinga kuelekea sikukuu ya Eid....

acha uchoyo wewe ....yani wewe nimume wa mtu halafu mi niwe mchepuko nisubirie dudu tu na hatuna future.. kuchunwa lazima wewe na acha uchoyo unafikiria kutiwa na limwanaume limume la mtu ni raha .. pesa zenu ndiyo raha .. sikukuu njema mfyuuuuuu
Mizinga ni kachumbari kwenye mapenzi.
 
Mkuu mi jana nilikuwa TAIFA pale nimechukua namba ya USTAADHATI mmoja hivi mkali,ila nasubiri hadi Idd ipite mkuu ndo nianze makeke.Naepuka mengi yanaoyambatana na sikukuu.


Unamuogopa ustaadh mwenye wake lukuki kukuomba hela ili awanunulie zawadi wake na watoto wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…