Mizinga kuelekea sikukuu ya Eid....

Miss chagga umechafukwa ila punguza kidogo basi kupenda ela mama manake unaua bendii
Mwanamke kwa hela huyo.... Ni shidah [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Lakini sio kwa kiwango cha kusababisha mtoto wa mwanamke mwenzio akagongwe gari, akiwazia kuipata mbunye kwa gharama unazojua unamkwamisha.....
Nawe usitake gharama zinazofanana kwa kila Mwanaume, jaribu kushuka chini kutokana na man uliyempata, wakija wanene uwape za chembe....
 
Dah! kweli bro mi nashangaa mbona namba mpya nyingi zinaingia kwenye simu yangu,afadhali umenishtua kabla mshahara.
Cm inakua busy utafikiri ni ya Operator wa Simu....
Au utaona sms,... "Mambo?.. Pw.
" Mmh baby umenisusa"... Sijakususa, mbona me nipo tu...
"OK, baby nikuambie kitu...".... Ikifikia hapo, kaa mkao wa kupigwa...
Chukua tahadhali. [emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
Kwa wanaume woteeee.
Ukipokea simu ya mwanamke jifanye husikii kisha kata simu na ikibidi zima na utie beteri ili kuepusha hatari ya mifuko hiyo.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] daah! We mtu mbaya saaana... Yaani nimecheka... Hahaha
 
Hizi ndo wiki ukitaka kumtoa mtu out anakuuliza bajeti yako.Ukiitaja tu anakwambia bora umpe yeye kuliko kuharibu hela.
 
Hizi ndo wiki ukitaka kumtoa mtu out anakuuliza bajeti yako.Ukiitaja tu anakwambia bora umpe yeye kuliko kuharibu hela.
Kweliiiii [emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
Hahaaaaaa! wataisoma mwaka huu Hizi operation zilizopo hapa J.F zimenipa somo aisee.
 
Kipindi hichi karibu na siku kuu, usijaribu kuwa na shobo la kuwapigia pigia wapendwa eti kuwatakia siku kuu njema, weeeeh utashangaa unaalikwa alafu wewe ndio mtoa huduma na mahitaji ya sikukuu
 
Mapenz ya kale yanarudishwa na Sikukuu ya Eid..... Wiki hii kuweni makini sana, usije ukaona calls nyiingi ukadhani unapendwa....
Acheni kelele ni wajibu wa mwanaume kuonyesha kuwa inapofika sikukuu lazima awe responsible mnakimbia nini, ndo maana huwa mnadharauliwa halafu mnahisi hampendwi, show off
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hakuna kushuka bwana, we kama unaona mizinga yake mizito kabebe size yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…