Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
mmmhWarembo wa humu mbona waelewa sana,wakikuelewa unapewa mbususu bure kabisa
hahahahahahaWanawake wa humu ni warembo wenye mikoko yao, wana nyumba na wanajiweza kiuchumi wanachotaka wao ni upendo na kuwapelekea moto.
Usihofu ππ
Yaani buku 10 hadi nije kuichukulia ghetto dahπ mbususu yangu itarudi salama kweli?πNjoo gheto uchukue, niko hapa sinza vatcan
Mimi naomba nikupige mzinga wewe mwenye taasisi zake naomba bukuπHaya mzinga mwingine huu hapa, Naomba hata buku 10 mkuuπ
Toa kwanza loan application fee buku 5π si unajua ukihitaji mkopo kuna kiasi unatakiwa kutanguliza mkuuπMimi naomba nikupige mzinga wewe mwenye taasisi zake naomba bukuπ
Inabidi niongeze mzinga uwe buku 10 sasa maana haiwezekani processing fee iwe kubwa zaidi ya kizinga chenyeweπToa kwanza loan application fee buku 5π si unajua ukihitaji mkopo kuna kiasi unatakiwa kutanguliza mkuuπ
π€£ Nimevimbiwa wali maharageWewe umehonga nyumba ngapi hadi sasa au umeshiba wali marage tu.
Napima uwezo wako usije ukakimbia na kizinga changuπ basi toa buku 3 kwanzaInabidi niongeze mzinga uwe buku 10 sasa maana haiwezekani processing fee iwe kubwa zaidi ya kizinga chenyeweπ
Hiyo naimudu nkamuπNapima uwezo wako usije ukakimbia na kizinga changuπ basi toa buku 3 kwanza
π nimeamka salama vipi wewe nkamu?Hiyo naimudu nkamuπ
Umeamkaje lkn boss wangu?
Namshukuru Mungu nimeamka salama piaπ nimeamka salama vipi wewe nkamu?
Nilikua na vimeo mtaani ila nashukuru vimeisha salama, sasa I'm backNamshukuru Mungu nimeamka salama pia
Umehadimika sana siku hizi
Kulikoni
Nilikua na vimeo mtaani ila nashukuru vimeisha salama, sasa I'm backNamshukuru Mungu nimeamka salama pia
Umehadimika sana siku hizi
Kulikoni
Hongera na pole kwa kumaliza vimeo salama, karibu tena nkamuNilikua na vimeo mtaani ila nashukuru vimeisha salama, sasa I'm back
Iphone 5s ya laki na nusu au sioπ€£ Nimevimbiwa wali maharage
Ila nishawahi onga iPhone π€£π€£π€£π€£
Nimeacha funguo juu ya mlango mie hata sipo kwanza, we njoo tu na amani yote. Ukiingia ndani chumba cha kulala funua chini ya mto kuna laki chukua elfu 1O tu.Yaani buku 10 hadi nije kuichukulia ghetto dahπ mbususu yangu itarudi salama kweli?π
Ushamaliza zamu ya usafi eeh πNilikua na vimeo mtaani ila nashukuru vimeisha salama, sasa I'm back
ndivyo wanavojinasibu mkuuUnammezea mate au ID yake ndio unaimezea mate!?