Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Ebu ilete tuione😂😂 mbususu ipotee ? Haijawahi kutokea ila huwa inabaki kama mpyaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu ilete tuione😂😂 mbususu ipotee ? Haijawahi kutokea ila huwa inabaki kama mpyaa
Kuna mmh ja tulionana Dar, siku hiyo nimemuona nikajitambulisha akanifahamu tukakaa tukaanza kupiga story!Mambo vipi wakuu?
Kutokana na miangaiko ya utafutaji wa kila siku; imenibidi kutenga angalau siku mbili ndani ya wiki, nikashangae kwa kubadilisha mazingira ya hapa na pale; angalau nifurahie uwepo wa kuwa hapa duniani.
Sasa hivi, nipo hapa njia panda kwenye hichi kilima, kuelekea mbugani; namngojea huyu mrembo wa jf tuambatane naye ili anipe kampani.
Hofu yangu, naogopa asije akanipiga mizinga mizito mpaka nikapoteza fahani.
Wakuu, kwa uzoefu wenu; mizinga ya warembo wa humu, ni kama ile inayopigwa Ukraine au Somalia?
😂😂 haya ntakuleteaEbu ilete tuione
Naisubiri...😂😂 haya ntakuletea
😂😂😂😂😂 sawa my bad n bougieShetani hazeeki😂 but thank you though !
Alikuwa na mbili, imebidi nikimbie uwanjaLeta mrejesho...
Nourhan🤣 Nimevimbiwa wali maharage
Ila nishawahi onga iPhone 🤣🤣🤣🤣
Hivi we jamaa una matatizo Gani?
He! Wani tag kwani mie ndo nimehongwa iphone 🤣
Haha nataka pilau la kabul 😁 niambie jina la mgahawa wako basi nile Gily Gru anausifia sanaHe! Wani tag kwani mie ndo nimehongwa iphone 🤣
Naishi goba ndani ndani kabisa mtaniletea huku au miyeyusho tu?Yaani mteja wewe sikutaki weka order tu uletewe 😂
Muulize INSIDER MAN kama kuna sehemu bolt hafiki.Naishi goba ndani ndani kabisa mtaniletea huku au miyeyusho tu?
Ok sawa tutawasilianaje sasa?Muulize INSIDER MAN kama kuna sehemu bolt hafiki.
Nachofanya wateja wangu huwa natazama wale wa njia moja kisha wanachangia nauli elfu 2 kila mmoja bolt nampanga watakupa kila mmoja kiasi flani kisha wale wateja wakifikishiwq msosi wao wanatuma pesa yangu Kwa lipa namba.
Mteja wewe sikutaki utasababishwa niachwe na mume wangu 😂Ok sawa tutawasilianaje sasa?
Mgahawa wenyewe upo wapi?
Ok sawa tutawasilianaje sasa?
Mgahawa wenyewe upo wapi?