Mizinga ya warembo wa humu, ni stahimilivu?

Mnawezaje kupata mademu humu? Tena kwa anonymous IDs? Simaanishi kwamba ninatafta demu ila hili jambo hua linanifikirisha sana [emoji848]

Btw kuna mdada humu nammezeaga mate na hajui [emoji39]

Mzamie piemu
Maisha yenywe haya unaogopa nini
Utakachokutana nacho huko unapambana nacho kimya kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ