Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,049
Jogoo na jogoo wanabishana namna ya kumpanda mtetea huku kil mmoja akitoa reference zake....hahahha very interesting.
Hapa naona ubavu na hoja, mmoja ameaksi kabisa serikali ya sasa. Najua jambo moja tu kwamba, unaweza kumtenda mwanadamu jambo lolote baya, ukamnyima na.haki yake. Lakini haki yote ya kweli imekaa kwa Mungu na kila.mtu ataiface.
Hapa naona ubavu na hoja, mmoja ameaksi kabisa serikali ya sasa. Najua jambo moja tu kwamba, unaweza kumtenda mwanadamu jambo lolote baya, ukamnyima na.haki yake. Lakini haki yote ya kweli imekaa kwa Mungu na kila.mtu ataiface.