Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulikuwa wapi siku zote ... kind of am start to uderstand you ... onethig for sure wil PM you
copy: Paw
Ngoja nipite kiwanda cha Urafiki niweze kukariri maneno ya kwenye zile khanga nije kukusuta
Shemeji wala huna haja ya kwenda urafiki MANAKE WENGINE HII NDIYO FANI INAYOTUWEKA MJINI...............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ngoja nikusaidie kidogoooooooo kumtoa nishai Baba V......... WEEE KARAMU SII YAKO MASINIA WABEBA YA NINI??
Mmh! Interesting!. A doctor's head; sounds like....
Karibu tena Partner!
Naomba ufafanuzi, magonjwa yapi hasa? Na kama wakiamua kujivinjari ya kutumia kifudusi inakuwaje?
Mimi nafikiri ni sababu ya kimapokeo zaidi, na pia kisaikolojia tendo haliwezi kufurahiwa kama bi dada akiwa dry
Inawezekana kuna kuwa na hofu ya kuchafua mashuka, si unajua kufua madoa mekundu ni ishu
Ila nasikia inakuwaga tamu kweli, kugusa tu!! Haaaah
mkuu mwanamke hawez kupata mimba akiwa ktk cku zake, kwa sababu wakat huo ovary hazijatoa yai lingne
MziziMkavu, UKOMA? Hii uliambiwa na babu yako ama baba? Na kuhusu kujichua, si uliambiwa utakatika vidole na chululuu kutoweka?
hakuna......hello jf doctors!
Kuna madhara yoyote kwa pande zote mbili endapo tendo la ndoa likafanyika pindi mwanamke akiwa katika siku zake?
Nawasilisha
ule kyepe yai mazoezi mbwiga wewe hufanyi....unashinda kunywa viloba na mabeer yenu yasiopimwa...lazima upate matatizo ya kudindisha.....my friend hiyo ni big noma,Yaani usijaribu kabisaaa,
si unaona siku hizi watu wengi wnalalamika ohoo naishia bao moja tuu mara ohoo jongoo halipandi mtungi, mara ohoooo.....
Mambo ya Walawi 20:18 - "Tena mtu mume akilala na mwanamke aliye na ugonjwa wake, na kufunua utupu wake, amelifunua jito la damu yake, naye mwanamke amefunua jito la damu yake; wote wawili wakatiliwe mbali na watu wao"
Mshenga kawa partner tena, duuuh! Tunaongelea magonjwa ya zinaa pamoja na hepatitis b. Kwa sababu hapo ni full damu. Kama condom ikitumika basi usalama utakuwepo. Nadhani point nzima ni kuwa usijifikirie kuwa salama zaidi just becoz she is bleeding and cant get pregnant.
Honestly? The period can be a horny day. Kama bleeding ni ya kawaida wala mashuka hayachafuki (usiniulize nimejulia wapi, koma!)
Read bruh, READ!
Afu urudie comment yangu ndo utaelewa. With human bodies usikremishe kuwa mimba inapatikana 11th through 14th day of the cycle. Utasandaaa!
Mshenga kawa partner tena, duuuh! Tunaongelea magonjwa ya zinaa pamoja na hepatitis b. Kwa sababu hapo ni full damu. Kama condom ikitumika basi usalama utakuwepo. Nadhani point nzima ni kuwa usijifikirie kuwa salama zaidi just becoz she is bleeding and cant get pregnant.
Honestly? The period can be a horny day. Kama bleeding ni ya kawaida wala mashuka hayachafuki (usiniulize nimejulia wapi, koma!)
Read bruh, READ!
Afu urudie comment yangu ndo utaelewa. With human bodies usikremishe kuwa mimba inapatikana 11th through 14th day of the cycle. Utasandaaa!
Hehehe are you sure pm will help you understand me? Mie mwenyewe sijaji-understand hadi leo! Majangest!
Its ok for a man to daydream about a 'gal'
Cc snowhite
.. I loved the-statement .. "I should say" and that is .. "to be honest":mwaaah:
Hilo jina la "chululu"
alikuwa analitumia maza wakati niko mdogo.
Umenikumbusha mbali sana.
Asante Mshenga kwa mashule, shua wakati wa hedhi kunaposibility ya kutia mimba hasa kwa wale wadada wa short cycle (21 days instead of normal 28 days)
Nimesahau, naomba nikumbushe hepatitis B nao ni ugonjwa wa zinaa? Basi hata mafua ipo siku itakuwa ugonjwa wa zinaa!!! Hahahahah, anakusalimu my wife Preta