... Mhhh ngoja iwe hivi!!!,
This make all work very perfect ... kwanza will make you-understand-your self that means not in-public
Pili, with pm offfcozz.. we will-understand-each other ... hapo huna cha kusema ... better yield faster!!!:clap2:
Wewe kweli kuku mgeni.
Hiyo kamba wamekuvalisha shingoni lazma ikuue. Ukituma pm kwangu
umejitaftia ban ya maisha.
Swali la ugomvi, unaweza kufanya mapenI siku za mvua?
Nadhani nimesema magonjwa ya zinaa NA hepatitis b. Hepatitis b na cervical cancer haziitwi magonjwa ya zinaa japo yanaweza kuambukizwa kwa kupitia kujamiina pia. Ungeweza kusoma zaidi....
Uwezekano upo mkuu, usikariri bailojia ya sekondari, kuna wale wenye short cycles (21 days) hao wanaweza kupata ujauzito wakiwa kwa hedhimkuu mwanamke hawez kupata mimba akiwa ktk cku zake, kwa sababu wakat huo ovary hazijatoa yai lingne
Mbona hizi sala zinafanana?Bibie King'asti I miss you ngojea niombe kisha ndio nilale
Chapter 6-9-13
[TABLE="width: 90%"]
[TR]
[TD]9
[/TD]
[TD]Basi, hivi ndivyo mnavyopaswa kusali: `Baba yetu uliye mbinguni: Jina lako litukuzwe.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]10
[/TD]
[TD]Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11
[/TD]
[TD]Utupe leo chakula chetu tunachohitaji.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]12
[/TD]
[TD]Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13
[/TD]
[TD]Usitutie katika majaribu, lakini utuokoe na yule Mwovu. (Shetani) na utukufu, hata milele. Amina.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Na Nikiomba kwa Dini yangu ya Kiislam.
1. SURAT AL-FAATIH'A AYA 1-7
1. KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
2. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote
3. Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu
4. Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo
5. Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
6. Tuongoe njia iliyo nyooka
7. Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
Ameen.
Jaman jaman jaman ebu tuachage uongo mwanamke atapataje mimba kwny period wakat pale ndo yai linakua limeharibika kwa kukosa mbegu! Ndo mana utasikia mwanamke akisema mwez huu sijaona cku it miz yai halikuharibika coz mimba(mbegu zimeingia) imetungwa zat y damu(uchafu) haujatoka....YAN bleeding ni mimba kushndwa patikana na hvy yai kutorutubika hvy kupelekea kuharibika!
Daah, Hongera bibiye, unajua sana kujenga hoja, manake unaacha na mlango wa kutokea iwapo utabanwa. Saafi
Jaman jaman jaman ebu tuachage uongo mwanamke atapataje mimba kwny period wakat pale ndo yai linakua limeharibika kwa kukosa mbegu! Ndo mana utasikia mwanamke akisema mwez huu sijaona cku it miz yai halikuharibika coz mimba(mbegu zimeingia) imetungwa zat y damu(uchafu) haujatoka....YAN bleeding ni mimba kushndwa patikana na hvy yai kutorutubika hvy kupelekea kuharibika!
King'asti I Liked your Like n this post!! ... shows u care and lots of wisdom!! Bado unafikiri nina kamba etc?!!Lol!! Na Bado unataka nijibu .. about making Love n the rain??! Pls b serious!!!Mhh,.... weweeee!!?!!
Habar wana jamii! naomba kujuzwa ya kuwa ni madhara yapi mtu anaweza kupata endapo kama atafanya mapenzi wakati mwanamke yupo kwenye hedhi?(awe mke au mume?).