Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Wanajamvi miaka kadhaa hapa niliwahi kutoa elimu kuhusu Madhara na namna yakuacha kupiga puchu kwa wanaume (punyeto).

Aliyefanikiwa kuacha ajitokeze hapa atoe ushuhuda!


Sent using Jamii Forums mobile app

ile kitu ni kama nyama ya mtu ukishakula huachi, mimi niliuza mpaka smart na laptop ndio nikaacha kwa bahati sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyeto bhna.[emoji23] [emoji23] kumbavu kabisa!!! Siku niliyoacha nyeto ni siku niliyoacha mwanamke kitandani nikaenda bafuni kupiga kimoja. Aisee usiku huo nilipiga nyeto kwa hasira sana mpaka machozi huku nikiapa sitakaa nirudie tena [emoji3][emoji3][emoji3]. Imagine mtu unaacha mtoto mzuri kitandani eti unaenda kuungurumisha nyeto bafuni kweli?

Maaaamaeh tangia siku hiyo niliacha mpaka na leo sijarudia tena japo vishawishi ni vingi ila najikaza hivyo hivyo. Madhara nyeto iliyoniachia ni wakati nagegeda lazima nivute picha ya sanchi kichwani ndo niweze kupiga bao, bila hivyo ntakesha asee [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

kwa mamlaka niliyopewa na wanachama wa chama chetu tukufu cha chaputa, nakutunuku award ya Brevet d'état-major (BEM) kuanzia sasa utajulikana kama Brevet d'état-major Agustino87.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU
Habari wanaJf?

Hii ni kutoka kwa rafiki yangu mmoja wa karibu sana. Amenisimulia kuwa alianza kufanya mchezo huo tangu yupo darasa la saba hiyo ikiwa mwaka 2000, alisema alianzia kwa kufanya mara moja kwa siku hadi ikafikia kipindi siku kwake ikawa haiwezi kupita bila kufanya.

Baadae ikawa anafanya hadi mara tatu kwa siku kitendo ambacho anasema kilikuwa kikimtesa sana kwani ilikuwa kwake ni lazima afanye ili akili yake ikae sawa lasivyo siku hiyo hatokuwa vizuri (huwa kama anaumwa).

Kwa sasa tayari ana mke na mtoto lakini ameshindwa kuacha licha ya kufundishwa njia mbalimbali kama kutazama mpira, wrestling, kutumia vidonge vya kupunguza ge.nye, kupaka pili pili kiganjani, kujichanganya na watu n.k.

Anaomba ushauri wenu ili aweze kuachana na hali hiyo.
---

---

---



===

MAONI YALIYOTOLEWA NA WADAU:

---

---


---


---



---



===

PIA SOMA:



Kama una nia kweli ya kutaka kuacha punyeto basi anza kuwa shoga.
 
[
endelea tu hivo hivo siku ub*** ukikatika pia ulete mrejesho na picha

kuna maza wa kizungu alikuwa anasimia mumewe aliwahi kukatika mashine wakati wa kwichikwichi, iligusa sijui nini huko ndani
haikukatika kabisa lakini ilipinda, wakaenda hospital madaktari wakaitana kushangaa wakidai its a rare medical condition


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamana hapo kwwnye hicho kitobo ndo mb... Inapita kweli? Labda mtu uwe na mb...nyembamba sana asee...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona hivyo ujue inapita, binadamu hatuko sawa! Wengine vyao unene kama betri ndogo

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
 
Kama una nia kweli ya kutaka kuacha punyeto basi anza kuwa shoga.
Chief kuwa mpole au nilitangaza nahitaji marinda yako?

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
 
Back
Top Bottom