Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Konki konki konki master inabidi aje na huku ....naamini robo tatu ya sisi vijana wataumbuka...

Pia nashauri kutokana na madhara yanayopatika juu ya upigaji wa punyeto Mh.makonda aanzishe operesheni punyeto

Hatutaki vijana magoigoi ndani ya mkoa wetu ukishindwa kushawishi ili upewe papuchi, basi Fanya hima kanunue zinakouzwa

Ila punyeto kwa vijana wa Dar iwe mwiko
 
Wakuu mi nlianza Nyeto 2005 hadi Leo napiga ila nataka kuacha ,hapa nna kama siku 3 sijapiga nafikiri huu ni mwanzo nzuri wa kuacha
 
Wakuu nina miaka 29, ni baba wa familia ya watoto wawili. Nilianza kupiga punyeto mwaka 2008 baada tu ya kubalehe. Nimejitahidi sana kuacha tabia kwa kufanya mazoezi ya nguvu, hata kuingia kwenye maomba ya kufunga na kutubu lakini nilishindwa Nashukuru nimeacha rasmi mwezi wa kumi 2018 baada ya kuugua kwa kuumwa na (pumbu) korodani.Maumivu ya korodani ni makali sana, bora mtu akupige ngumi ya uso maumivu yake yanapoa mapema kuliko ya korodani, kwa aliyewahi pata hili tatizo hawezi kuumiza kichwa kujua namaanisha nini, Watu wengi walinishauri niende hospitali nipate tiba waliyodai itaabatana na upasuaji, niliogopa sana na kujutia kupiga punyeto miaka kedekede wakati nina mke wangu mzuri, lakini ndo hivo tabia ni kama ngozi huwezi kuibadilisha, Mkewangu alipotoka kidogo siku tatu tu lazima ningeingia bafuni nakupata burudani murua bila kuombwa pesa au vocha na wadada wa mtaani, lakini pia magonjwa kama UKIMWI niliamini yasingenisogelea katu,Baada ya kuumwa korodani kwa muda namshukuru mungu nilielekezwa kwa mzee mwenye tiba aliyenisihi kuwa tatizo langu limechangiwa kiasi kikubwa na kupiga punyeto. Baada ya tiba yake sasa nimepona rasmi. VIJANA ACHA PUNYETO KWA AFYA YETU NI HATARI.
Kwaio dawa ya kuacha nyeto watu tuumwe mapumbuh
 
we nenda tu sisi tunasajili wanachama wapya kila siku. Sasa hivi tunasajili vijana kuanzia waliozaliwa mwaka 2000
 
kama unapiga nyeto kwa ajili ya raha basi inakua ngumu kuacha ila inatakiwa iwe kam mazoezi no pees na dawa pekee ya kuacha nyeto ni kujiepusha nasababu bila kujifikiria mara mbili
 
Wewe utakua na matatizo mengine, mi nimeanza kupiga PUNYETO 2002 mpaka leo sijaona tatizo lolote,

Itabidi ulipe fidia maana wewe ni MSALITI
 
Nyinyi vijana mnamatatizo sana
Wanawake mbona wako wengi sana
 
ile kitu inasaidia sana mzee baba, ni booster ile afu ni self service raha iliyoje
 
Kichwa cha habari chahusika. Kutokana na uhaba wa pesa nimegundua mbinu rahisi ya kujiridhisha kimapenzi (pasipo gharama wala hofu ya magonjwa nyemelezi). Ila nimekuwa addicted kiasi haipiti siku bila kujichua. Nifanyeje ili niache?
 
Paka pilipili kwenye mkono af piga mzigo na uhakika matokeo yake utaacha tuuu we pakaga kila siku ukiwa na mzuka[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom