Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Hilo ni pepo la ngono kama umeokoka ina maana wewe ni wakala wa shetani anakutumia kutoa wazungu.Kuokoka na Punyetto vinahusiana nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni pepo la ngono kama umeokoka ina maana wewe ni wakala wa shetani anakutumia kutoa wazungu.Kuokoka na Punyetto vinahusiana nini?
Dawa ya puchu tafuta dem mbona wapo wasiopenda pesa.Kichwa cha habari chahusika. Kutokana na uhaba wa pesa nimegundua mbinu rahisi ya kujiridhisha kimapenzi (pasipo gharama wala hofu ya magonjwa nyemelezi). Ila nimekuwa addicted kiasi haipiti siku bila kujichua. Nifanyeje ili niache?
Ni-PM asiyependa pesaDawa ya puchu tafuta dem mbona wapo wasiopenda pesa.
Ulikuwa unatazama website gani mkuu.Acha kuangalia picha/Video za ngono ndiyo Chanzo kikuu mimi nilitafuta chanzo cha mimi kushindwa kuacha mchezo huo nikagundua kuwa Nisipoangalia hizo video na kuwa kawaida tu! Ila nikiingia kwenye Hizo video ndiyo napata vichocheo vya kupiga Nyeto Nikajiwekea masharti ya kutoziangalia hizo Picha!/Video na baada ya kufanya hivyo mpaka sasa nipo huru sana ila ni baada kuteseka kwa muda mrefu najua Styles zote za Nyeto.
ASANTE sana ndugu. Ni kama umeniona live kila ilikuwa lazima nichungulie porno ndo napata ashkiAcha kuangalia picha/Video za ngono ndiyo Chanzo kikuu mimi nilitafuta chanzo cha mimi kushindwa kuacha mchezo huo nikagundua kuwa Nisipoangalia hizo video na kuwa kawaida tu! Ila nikiingia kwenye Hizo video ndiyo napata vichocheo vya kupiga Nyeto Nikajiwekea masharti ya kutoziangalia hizo Picha!/Video na baada ya kufanya hivyo mpaka sasa nipo huru.
[emoji16][emoji16][emoji16]Ulikuwa unatazama website gani mkuu.
Sihitaji kuzitaja humu maana niliishafanya maamuzi ya kuacha na wewe fanya maamzi kwa faida ya mkeoUlikuwa unatazama website gani mkuu.
Sihitaji kuzitaja humu maana niliishafanya maamuzi ya kuacha na wewe fanya maamzi kwa faida ya mkeo
Acha uongo!Sijawahi kujichua.
Basi njoo unishikie nipige punyeto naona unanifahamu kuliko mke wangu.Acha uongo!