Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
HivyohivyoTatizo hujasema unapigapigaje hiyo kunyeto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HivyohivyoTatizo hujasema unapigapigaje hiyo kunyeto
Why mkuuPunyeto huwezi kuacha kizembe namna hiyo mzee, dawa ni kuoa tu.. Ni rahisi kuacha madawa ya kulevya lakini siyo Nyeto
AhsanteUko idle unategemea utaacha we kua busy tu kama unaweza rudia mzeee lazma utausahau uoo mchezo
Daaah nisaidie mkuuSoon utakuja kulalamika nguvu za kiume hakuna tena.
Duuuh this year namaliza form4kama unakaa home hama kwanza uwe unajinunulia mahitaji na bills the rest ni history
Nenda kakanyage mafuta kwa mwamposa hilo tatizo litaishaHivyohivyo
Ooooh inaweza isiwe na madharaKutokujiamini kunakuja unpoanza kuwa na mawazo kama haya. Kujishtukia kwamba sijui nimeathirika.
Daaah!Nenda kakanyage mafuta kwa mwamposa hilo tatizo litaisha
Ahsant mkuu ngoja nianze na bekitatuKwa umri wako ni ngumu kuacha kwa haraka lakini jitahidi kupunguza taratibu mpaka utaacha kabisa, alafu tafuta mwanamke wakufanya nae kila utakopojisikia hamu.
Mpaka mtu kuathirika basi kakubuhu sana. Lakin kama mara moja au mbili kwa week wala si ishu.Ooooh inaweza isiwe na madhara
Sawa mkuu [emoji106]Wewe unapiga safe punyeto
Bao mbili KWA wiki iyo Safi sana usiache
Ila hakikisha unachanganya na papuchi
Thnk mkuuMpaka mtu kuathirika basi kakubuhu sana. Lakin kama mara moja au mbili kwa week wala si ishu.
Nilipokuja kuwa busy na maisha baada ya kutoka home, nikajikuta tu nimeacha.Duuuh uliachaje apo mbeleni
Duuuh pole mkuu unaweza share nasi mateso yake?Hiyo kitu ni shida sana, Nilikua napiga punyeto darasani mwalimu akiwa anafundisha
Yaani nilishindikana na nimetumia mkono kwa miaka Mingi, hii kitu imeniharibia Mfumo wa Maisha Yangu
Kwa sasa Nimeacha Ila bado Inanitesa Kila Siku
Kupiga kila muda hadi darasani wee ilikuathiri sana.🤣Hiyo kitu ni shida sana, Nilikua napiga punyeto darasani mwalimu akiwa anafundisha
Yaani nilishindikana na nimetumia mkono kwa miaka Mingi, hii kitu imeniharibia Mfumo wa Maisha Yangu
Kwa sasa Nimeacha Ila bado Inanitesa Kila Siku
Nimeona hichi chama cha mafisadi ipo siku tutatumbuliwa tuaibike tuanze kulialia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwamba mbona unataka kutukimbia