Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,012
- 1,995
Malipo ya YouTube huwa yapo vipi? Na Huwa mnalipwa na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua vizuri watu waelewe, metadata ndio nini?Kwa kutumia metadata
Kwa kutumia metadataNi njia zipi za kupata subscriber wengi..??
it includes video tittle, tag, caption, description, thumbnail...
Ndo maana nikaandika kwa biginer au mzoefu so weee uliza ili anaejua atakujibuMtoa mada naye ni mwanafunzi tu sisi,ndo maana mnaona kimya nilimkua kwa mtaalamu mmoja naye anauliza maswali km sisi tunavyomuuliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Youtube itakuhesabia na kukulipa tu kutokana na jinsi watu wanaoangalia video zako wanavyo kutana na kuintaract na matangazo ya Google Adsense mfano, utahesabiwa pindi watazamaji wako watakavyo amua kubofya matangazo yanayoonekana katika video zako.Malipo ya YouTube huwa yapo vipi? Na Huwa mnalipwa na nani?
Njia zipo nyingi but hii inakuhitaji uandike kichwa Cha habari kinachovutia mtazamaji (tittle), maelezo muhimu kuusu video (description), pamoja na add tags
Lakini pia Nilikuwa offline...Mtoa mada naye ni mwanafunzi tu sisi,ndo maana mnaona kimya nilimkua kwa mtaalamu mmoja naye anauliza maswali km sisi tunavyomuuliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ujibu maswali sasa ya wadauLakini pia Nilikuwa offline...
Ninavyojua Mimi unalipwa kulingana na matangazo yatakayopita kwenye video zakoJe ikiwa umepakia(upload) video ya dakika 3 mpaka 4 na ikatazamwa na watu million 1 je YouTuber watalazimika kukulipa kiasi gani Cha pesa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo zuli mkuuMimi kwa ninavyo ona, Ungeanza kuelezea kwanza namna gani mwanzilishi wa youtube channell anavyoanza ,matatizo gani atakumbana nayo, jee youtube channel ikoje, inafanya kazi kazi vipi ,sheria zake zikoje..
Hi itasaidia hata ambae hakuanza aweze kuona hiyo fursa .
Pa ingepunguza maswali mengi amhayo yangekuwa yashajibiwa baada ya hayo maelezo na hapo mwenye ziada ndo aulize....
Mfano mimi sifaham chochote juu ya hilo na nataka nianzishe ila hata sijui A wala B jee nitauliza nini sasa?
Ungefanya hivyo kwa msaada zaidi
Aya sawa... ila nitajibu ninayoyaweza mkuuNdo ujibu maswali sasa ya wadau
Asante kwa support ya huu uzi
Karibu tujifunze mkuuNipo kujifunza