Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Hakuna gari yenye gharama, gharama zinatokana na matumizi yako, ukisema gari flani spea zake ghali si kweli hiyo ndio bei yake iliyopo sababu hakuna mbadala wa hiyo spea wala bei, mtu anakwambia gari flani v8 au v6 zinakula mafuta ukiangalia ndio mfumo wake, sasa wewe unataka v6 au 8 itumie kama ist. Ukitaka kumiliki gari jipange na ukubaliane, na lingine gari sio mke kwamba huwezi muacha, kaa na gari kwa mda hamu inaisha uza nunua nyingine
 
Nina Nissan Xtrail mwaka wa tatu sasa naifurahia sana. Nissan xtrail bodi zake ni ngumu sana yaani unaweza pishana na Nissan xtrail yenye namba A ukadhani D.
 
Crankshaft sensor ya Nissan X-Trail ya mwaka 2004 Ni bei gani? Inauzwa wapi Dar es Salaam?
 
Naona watu siku hizi magari haya ya Nissani Extrail wananunua sana.

Je wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu.

Mkuu, naona nimekuja late.

Nissan X-trail zipo za aina mbili, zile zilizoundwa kati ya mwaka 2001-2007 na zile za tokea 2007 hadi sasa.

Hizi za 2001-2007 zinaweza kupata tatizo la engine kuunguruma kwa muda mrefu na kulifanya gari kama liwe linajivuta. Hii husababishwa na sensors kuanza kulegea hivyo kukosekana mawasiliano kati ya engine, sendors na engine management system.


Mara nyingi utaona taa ya njano kuashiria tatizo hili.

Tatizo lingine ni la camshaft ambapo timing belt inakuwa imechoka hivyo kuanza kuwa loose na kusababisha ku-jam na kupelekea pia brakes kushindwa kufanya kazi.

s-l1600.jpg

Nissan X trail lililoundwa kati ya mwaka 2000 na 2007

Pia kuna tatizo la mafuta kuvuja kwa X-trail za kati ya mwezi june mwaka 2000 - na November mwaka 2007 ambapo ule mpira wa kuingizia mafuta kwenda kwenye tank ya mafuta unakubali kutu kutambaa kwa kasi ya ajabu na kuleta uwezekano wa mafuta kuwa yanaishia hewani.

Hivyo kama unanunua gari hili la 2001- 2007, basi inakupasa uwe na fundi wako ambae ataangalia masuala haya mawili.

Kuhusu Nissan X-trail za mwaka 2007 hadi sasa nazo zina tatizo la steering control ambapo steering shaft inaanza kulegea na kusikika ikipiga kelele wakati wa kukata kona hivyo kupelekea siku moja dereva kushindwa kulidhibiti gari na kusababisha ajali mbaya sana.

Matatizo mengine ni kama yafutayo:

Turbo chargers kuanza kupiga kelele na moshi kuanza kuonekana kwenye engine na hii ni kwa yale magari ya Diesel.

Diesel filter kwa X-trail za diesel huwa zinajaza uchafu mapema Zaidi kuliko kawaida na hii hutokana na uharaka wa kuipiga moto engine na kutaka kuanza kuendesha wakati huohuo na kushindwa kuliacha gari lipige moto na engine ipate joto linalotakiwa.

Baadhi ya X-trail za kuanzia 2007 na kuendelea zina tatizo la umeme ambapo vifaa muhimu kama muziki , madirisha na dashboard kwa ujumla zinakuwa hazipati umeme wa moja kwa moja kutokana na hitilafu na wiring.

Hivyo basi , wakuu unapotaka Nissan Xtrail ya nguvu basi uzingatie matatizo hayo na uhakikishe anekununulia amefanya ukaguzi wa kueleweka kabla hajakabidhi mpunga uliouhangaikia.
 
Xtrail ziko za mjapani na muingereza zina gia sita hizo za mjapani ndiyo mbovu
 
Mkuu, naona nimekuja late.

Nissan X-trail zipo za aina mbili, zile zilizoundwa kati ya mwaka 2001-2007 na zile za tokea 2007 hadi sasa.

Hizi za 2001-2007 zinaweza kupata tatizo la engine kuunguruma kwa muda mrefu na kulifanya gari kama liwe linajivuta. Hii husababishwa na sensors kuanza kulegea hivyo kukosekana mawasiliano kati ya engine, sendors na engine management system.


Mara nyingi utaona taa ya njano kuashiria tatizo hili.

Tatizo lingine ni la camshaft ambapo timing belt inakuwa imechoka hivyo kuanza kuwa loose na kusababisha ku-jam na kupelekea pia brakes kushindwa kufanya kazi.

s-l1600.jpg

Nissan X trail lililoundwa kati ya mwaka 2000 na 2007

Pia kuna tatizo la mafuta kuvuja kwa X-trail za kati ya mwezi june mwaka 2000 - na November mwaka 2007 ambapo ule mpira wa kuingizia mafuta kwenda kwenye tank ya mafuta unakubali kutu kutambaa kwa kasi ya ajabu na kuleta uwezekano wa mafuta kuwa yanaishia hewani.

Hivyo kama unanunua gari hili la 2001- 2007, basi inakupasa uwe na fundi wako ambae ataangalia masuala haya mawili.

Kuhusu Nissan X-trail za mwaka 2007 hadi sasa nazo zina tatizo la steering control ambapo steering shaft inaanza kulegea na kusikika ikipiga kelele wakati wa kukata kona hivyo kupelekea siku moja dereva kushindwa kulidhibiti gari na kusababisha ajali mbaya sana.

Matatizo mengine ni kama yafutayo:

Turbo chargers kuanza kupiga kelele na moshi kuanza kuonekana kwenye engine na hii ni kwa yale magari ya Diesel.

Diesel filter kwa X-trail za diesel huwa zinajaza uchafu mapema Zaidi kuliko kawaida na hii hutokana na uharaka wa kuipiga moto engine na kutaka kuanza kuendesha wakati huohuo na kushindwa kuliacha gari lipige moto na engine ipate joto linalotakiwa.

Baadhi ya X-trail za kuanzia 2007 na kuendelea zina tatizo la umeme ambapo vifaa muhimu kama muziki , madirisha na dashboard kwa ujumla zinakuwa hazipati umeme wa moja kwa moja kutokana na hitilafu na wiring.

Hivyo basi , wakuu unapotaka Nissan Xtrail ya nguvu basi uzingatie matatizo hayo na uhakikishe anekununulia amefanya ukaguzi wa kueleweka kabla hajakabidhi mpunga uliouhangaikia.

Mkuu mi Nissan yangu inasleep ikiwa kwenye mwendo lakini ukitoa D halafu ukiweka kwenye N ukizima gari na kuwasha ukurudisha D inapokea vizuri lakini baada ya mwendo tena inajirudia, tatizo linaweza kuwa nini kwa kuanzia mkuu
 
Asante High Vampire kwa uzi mzuri.
Naomba nijue ubovu wa hz nissan x-trial.

Binafsi nazipenda coz naona ni gari yenye nafasi sana na je kwa ushauri wako kama nataka kuagiza nikiagiza Voxy au Noah ntakuwa nimecheza vema na opportunity cost (kwa ku forgone xtrial)

Asante.
Ninaitumia mwaka wa 4 sasa sijaona tofauti ya bei na Benz au BMW. Nunua gari inayolingana na mfuko wako. Gari yoyote ni matunzo. Ushauri tu.
 
Mkuu mi Nissan yangu inasleep ikiwa kwenye mwendo lakini ukitoa D halafu ukiweka kwenye N ukizima gari na kuwasha ukurudisha D inapokea vizuri lakini baada ya mwendo tena inajirudia, tatizo linaweza kuwa nini kwa kuanzia mkuu
Mkuu, inabidi kwenda garage wakaangalie hiyo gear box. Gearbox za automatic zinasumbua kulingana na matumizi ya watu tofauti.

Hivyo kama ni used Nissan itasumbua ila jaribu kuwaeleza mafundi.

Wanaweza kuja kukwambia ubadili gearbox na hapo ndipo kama unaweza basi unaweza kuagiza ingine kutoka nje.

Nissan yako ni import ya Japan au UK?
 
Mkuu mi Nissan yangu inasleep ikiwa kwenye mwendo lakini ukitoa D halafu ukiweka kwenye N ukizima gari na kuwasha ukurudisha D inapokea vizuri lakini baada ya mwendo tena inajirudia, tatizo linaweza kuwa nini kwa kuanzia mkuu
tatizo lako hapo ni sensor za gearbox gari yako ni 2WD or 4WD?
 
Mkuu, inabidi kwenda garage wakaangalie hiyo gear box. Gearbox za automatic zinasumbua kulingana na matumizi ya watu tofauti.

Hivyo kama ni used Nissan itasumbua ila jaribu kuwaeleza mafundi.

Wanaweza kuja kukwambia ubadili gearbox na hapo ndipo kama unaweza basi unaweza kuagiza ingine kutoka nje.

Nissan yako ni import ya Japan au UK?

Hii ni ya Japan mkuu
 
Back
Top Bottom